Afrika
17 November 2025, 17:12
Wahitimu VETA Kibondo wahimizwa kujikwamua kimaisha
Wahitimu katika chuo cha ufundi stadi veta Wilayani Kibondo mkoani Kigoma wamehimizwa kutumia mafunzo waliyoyapata kwa ajili ya manufaa yao ili waweze kujikwamua katika maisha yao ya kila siku hali itakayopunguza wimbi la vijana wasio na ajira hapa nchini. Na…
24 October 2025, 9:40 am
Vijiji 40 kunufaika na kilimo cha umwagiliaji Manyara
Uchimbaji wa visima virefu 40 vya umwagiliaji, katika vijiji 40 vya Wilaya tano za mkoa wa Manyara kuwanufaisha wananchi Zaidi ya 650 kwa awamu ya kwanza Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amezindua uchimbaji wa visima…
14 October 2025, 11:19 am
Wanasimba wazindua mnara wa kisasa Mpomvu
“Vilevile tunaendelea kushiriki katika shughuli mbalimbali za kijamii kwa kushirikiana na serikali ikiwemo sekta za Afya na elimu” – Katibu wa tawi la Simba Mpomvu Na: Edga Rwenduru Mashabiki na wanachama wa klabu ya Simba katika mtaa wa Mpomvu uliopo…
11 October 2025, 9:59 pm
Geita Gold yawasha taa nyenkundu, Barberian kala tatu kavu
Ushindi huo unaifanya Geita Gold kuanza msimu mpya wa Championship kwa alama tatu muhimu, huku ikionesha dhamira ya wazi ya kurejea katika Ligi Kuu Na Mrisho Sadick: Timu ya Geita Gold FC imeanza kwa kishindo safari yake ya kutafuta kurejea…
7 October 2025, 4:48 am
GGML yaadhimisha miaka 25 kwa mashindano ya gofu Geita
Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeadhimisha miaka 25 tangu kuanzishwa kwake kwa kuandaa mashindano ya gofu katika viwanja vya Lake Victoria Golf Club vilivyopo ndani ya eneo la mgodi mkoani Geita. Na: Ester Mabula Mashindano hayo ni miongoni…
18 September 2025, 08:56 am
Mtwara yapiga hatua dhidi ya talaka holela
Door of Hope Tanzania imewasilisha mrejesho wa mradi wa “Pinga Ukatili, Jenga Amani na Kizazi Chenye Usawa” mkoani Mtwara, ukilenga kupinga ukatili wa kijinsia na kutoa msaada wa kisheria. Viongozi wamesifu mafanikio, ikiwemo kupungua kwa funga nyumba na talaka holela…
9 September 2025, 5:58 pm
Simba tawi la Mkolani yawakumbuka wagonjwa
Kitendo hicho ni mfano wa kuigwa katika jamii kwani tukio hilo limeleta faraja kwa wagonjwa na hamasa kwa watoa huduma. Na Mwandishi Wetu: Kuelekea tamasha la Simba Day siku ya kesho, Mashabiki wa Simba tawi la Mkolani Manispaa ya Geita wamefanya…
4 September 2025, 10:38 am
Wanaobana mkojo hatarini figo kufeli
” Kukaa na mkojo kwa muda mrefu kunaweza kusababisha figo kushindwa kufanya kazi” Na Anna Mhina Wananchi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuacha tabia ya kubana haja ndogo kwa muda mrefu (mkojo) ili kuepukana na madhara…
11 August 2025, 1:09 pm
Simba awaita wadau michuano ya Mapung’o cup
Mashindano hayo ni zaidi ya burudani kwani yanatoa nafasi kwa vijana kuonesha vipaji ambavyo havijaonekana kitaifa. Na Mwandishi Wetu: Mwamuzi maarufu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Ally Simba ameonesha kuridhishwa na kiwango cha ushindani na nidhamu ya wachezaji katika michuano…
3 August 2025, 3:40 pm
Yanga kurudi kama Mbogo kimataifa
Klabu ya Yanga imeahidi kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa msimu huu kuliko wakati wowote. Na Mrisho Sadick: Klabu ya Soka ya Yanga imeendelea kusherehekea mafanikio yake ya msimu wa 2024/25 kwa kutembeza makombe yake matano katika mitaa mbalimbali ya…