Afrika
9 September 2026, 9:34 pm
Apanda mlingoti wa bendera akiwa uchi akishinikiza kumuona mgonjwa
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo, huku mtuhumiwa akitarajiwa kufikishwa mahakamani Na Adelinus Banenwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linamshikilia Dickson Juma, mwenye umri wa miaka 32, mkazi wa Kiabakari, Wilaya ya Butiama, kwa tuhuma za…
9 September 2026, 3:54 pm
Geita Gold FC kula sahani moja na Yanga SC Septemba 15
Baada ya Geita Gold FC kumalizana na Simba SC sasa silaha zao wamezihamishia kwa wananchi Yanga ambapo mchezo huo utapigwa hivi karibuni. Na Mrisho Sadick: Klabu ya Geita Gold FC imeendelea na maandalizi kuelekea mchezo wake dhidi ya Yanga SC…
8 September 2026, 8:19 am
Kufutwa sheria ya utaifishaji mifugo kicheko kwa wafugaji
Moja ya changamoto zilizokuwepo ni pamoja na mifugo kukamatwa ijumaa kisha kwa weekend inakwenda kuuzwa ikidaiwa haina mwenyewe. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa wafugaji taifa Mrida Mshota ameipongeza serikali kwa kufuta sheria ya utaifishaji mifugo akisema uamuzi huo unakwenda kuleta…
27 August 2026, 1:13 pm
Kampeni ya kitaifa chanjo ya polio yaanza kutolewa
Mratibu wa Elimu ya Afya kwa Umma (DHO) Wilaya ya Simanjiro, Ghati Megewa, akiwa studio za Orkonerei Fm Radio (Picha na Isack Dickson) Katika kuunga mkono juhudi za serikali za kulinda afya za watoto nchini, Wilaya ya Simanjiro imekamilisha maandalizi…
26 August 2026, 4:03 pm
Kampeni ya polio Simanjiro: Watoto zaidi ya laki moja kufikiwa
Na Joyce Elius Zaidi ya watoto 116,125 wenye umri chini ya miaka 10 katika Wilaya ya Simanjiro, Mkoani Manyara, wanatarajiwa kufikiwa na kupatiwa chanjo ya matone ya Polio. Kampeni hiyo kabambe inalenga kukinga kundi hilo dhidi ya maambukizi ya virusi…
22 August 2026, 1:07 pm
Polisi Jamii Run Club kuimarisha mahusiano na jamii Geita
Polisi Jamii ilianzishwa Agosti 25, 2006 na IGP Mstaafu Said Mwema kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya Jeshi la Polisi na Jamii ambapo maadhimisho hayo yameenda sambamba na zoezi la uchangiaji wa damu wa hiari. Na: Ester Mabula Jeshi…
22 August 2026, 12:35 am
Madiwani waridhia kukamilisha uwanja wa Magogo kwa fedha za ndani
Ujenzi wa uwanja huo awali ulikuwa chini ya fedha za uwajibikaji wa Kampuni kwa jamii (CSR) zinazotolewa na kampuni ya GGML ambapo baraza la madiwani limeridhia fedha hizo zitumike kwenye miradi mingine ya maendeleo. Na: Ester Mabula Baraza la madiwani…
16 August 2026, 5:09 pm
Manara ashangazwa ligi ya Misungwi Cup Ludete Katoro
Manara ashangazwa na umati mkubwa wa mashabiki katika fainali ya misungwi Cup Kata ya Ludete mamlaka ya mji wa Katoro wilayani Geita. Na Mrisho Sadick: Msemaji wa Timu za Taifa Tanzania Haji Manara amezitaka mamlaka za Serikali mkoani Geita kujenga…
15 August 2026, 7:41 pm
Hatari ya kumwachia mtu ardhi kwa miaka 12 bila mkataba
Wananchi wanaotaka kumwachia mtu kutumia eneo lao wanapaswa kuweka makubaliano ili kuepuka migogoro. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa kumruhusu mtu kukaa au kutumia eneo lako bila makubaliano rasmi kwa muda mrefu kunaweza kusababisha changamoto za kisheria kuhusu umiliki wa eneo…
8 August 2026, 7:11 pm
Wananchi waaswa kutumia wataalam wa sheria mikataba ya mauziano
Kwa mujibu wa sheria, wananchi wanapaswa kutumia wataalamu wa sheria katika kusimamia na kuandaa mikataba ya mauziano, ili kuhakikisha taratibu za kisheria zinafuatwa na kulinda haki za wahusika. Na Adelinus Banenwa Wakili Aloyce Kaditanus amesema wenyeviti wa mitaa, vijiji na…