Radio Tadio

Afrika

9 September 2026, 3:54 pm

Geita Gold FC kula sahani moja na Yanga SC Septemba 15

Baada ya Geita Gold FC kumalizana na Simba SC sasa silaha zao wamezihamishia kwa wananchi Yanga ambapo mchezo huo utapigwa hivi karibuni. Na Mrisho Sadick: Klabu ya Geita Gold FC imeendelea na maandalizi kuelekea mchezo wake dhidi ya Yanga SC…

8 September 2026, 8:19 am

Kufutwa sheria ya utaifishaji mifugo kicheko kwa wafugaji

Moja ya changamoto zilizokuwepo ni pamoja na mifugo kukamatwa ijumaa kisha kwa weekend inakwenda kuuzwa  ikidaiwa haina mwenyewe. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa wafugaji taifa Mrida Mshota ameipongeza serikali kwa kufuta sheria ya utaifishaji mifugo akisema uamuzi huo unakwenda kuleta…

27 August 2026, 1:13 pm

Kampeni ya kitaifa chanjo ya polio yaanza kutolewa

Mratibu wa Elimu ya Afya kwa Umma (DHO) Wilaya ya Simanjiro, Ghati Megewa, akiwa studio za Orkonerei Fm Radio (Picha na Isack Dickson) Katika kuunga mkono juhudi za serikali za kulinda afya za watoto nchini, Wilaya ya Simanjiro imekamilisha maandalizi…

16 August 2026, 5:09 pm

Manara ashangazwa ligi ya Misungwi Cup Ludete Katoro

Manara ashangazwa na umati mkubwa wa mashabiki katika fainali ya misungwi Cup Kata ya Ludete mamlaka ya mji wa Katoro wilayani Geita. Na Mrisho Sadick: Msemaji wa Timu za Taifa Tanzania Haji Manara amezitaka mamlaka za Serikali mkoani Geita kujenga…

15 August 2026, 7:41 pm

Hatari ya kumwachia mtu ardhi kwa miaka 12 bila mkataba

Wananchi wanaotaka kumwachia mtu kutumia eneo lao wanapaswa kuweka makubaliano ili kuepuka migogoro. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa kumruhusu mtu kukaa au kutumia eneo lako bila makubaliano rasmi kwa muda mrefu kunaweza kusababisha changamoto za kisheria kuhusu umiliki wa eneo…