Afrika
3 August 2026, 1:15 pm
Viingilio kuiona Yanga Bukombe vyatajwa
Tamasha hilo litafanyika ikiwa ni sehemu ya utambulisho wa Uwanja mpya wa kisasa wa Bukombe, ambao utatumika na Geita Gold FC katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2026/2027. Na Mrisho Sadick: Waandaaji wa Tamasha la Joto la…
3 August 2026, 12:33 pm
Yanga SC kutua kesho uwanja mpya wa Bukombe Geita
Uwanja huo umejengwa kwa viwango vya kisasa na una miundombinu muhimu ikiwemo mfumo wa taa za kisasa. Eneo la kuchezea lina nyasi bandia zenye ithibati ya FIFA Daraja la Kwanza, lenye urefu wa mita 105 na upana wa mita 68.…
22 July 2026, 6:44 pm
Mgusu star yaichapa Kalamata FC mashindano Buhabi Cup
Wachezaji wa Mgusu Star kwenye picha ya pamoja.Picha na Kale Chongela Mgusu Star ilianza kuifunga Kalamata Fc bao la kwanza katika dakika ya 19 kipindi cha kwanza na Gori la pili limefugwa dakika ya 65 kipindi cha pili, Gori la tatu limefugwa dakika…
14 July 2026, 09:42
Vijana Kilolo watakiwa kutumia chuo cha Veta kujiajiri
Kamati ya Siasa Mkoa wa Iringa imekagua ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Wilaya ya Kilolo kinachojengwa kwa gharama ya Sh bilioni 1.6 kupitia fedha za mapato ya ndani ya Serikali. Na Hafidh Ally Vijana Halmashauri ya Wilaya ya…
22 June 2026, 7:20 pm
Wananchi watakiwa kufanya mazoezi kuepuka magonjwa yasiyoambukiza Geita
Mazoezi ya mara kwa mara yana mchango mkubwa katika kupunguza hatari ya kupata magonjwa kama shinikizo la damu, kisukari, magonjwa ya moyo pamoja na unene uliopitiliza. Na Mrisho Sadick: Wananchi Mkoani Geita wamehimizwa kufanya mazoezi kuwa sehemu ya maisha yao…
22 June 2026, 5:41 pm
Mil. 300 kukarabati Nyankumbu huku uwanja wa Magogo kuanza kujengwa
Serikali mkoani Geita imevalia njuga suala la kuboresha miundombinu baada ya Geita Gold kupanda ligi kuu soka ya NBC Tanzania bara. Na: Ester Mabula Halmashauri ya Manispaa ya Geita Mkoani Geita imepanga kutumia zaidi ya shilingi milioni 300 kwa ajili…
20 June 2026, 6:55 pm
Academy ya mpira yazinduliwa kukuza vipaji Geita
Kituo cha Twist Elite Football Academy kitakuwa kikiendesha shughuli zake katika viwanja vya shule ya sekondari ya Waja boys iliyopo halmashauri ya manispaa ya Geita chini ya kocha Choki Abeid pamoja na makocha wengine wenye uzoefu wa kuibua vipaji vya…
11 June 2026, 4:02 pm
Makocha wa makipa watakiwa kujiepusha na vitendo vya ubashiri michezoni
Washiriki wa mafunzo hayo ni kutoka mikoa ya Geita , Dar es salaam, Mwanza , Ruvuma, Dodoma , Njombe , Mbeya na mikoa mingine ya Tanzania wamechangamkia fursa hiyo. Na Mrisho Sadick: Mjumbe wa Kamati tendaji ya Shirikisho la Mpira…
5 June 2026, 22:19
Wenyeviti wa vitongoji Maswa walia na TARURA ubovu wa barabara
Kila mmoja akitimiza wajibu wake katika kufanya kazi hautakuwa na migogoro yoyote, Lakini kwasababu tunafanya kazi kwa matakwa ya watu fulani ndio maana inafikia hatua ya mizozo kama hii ” Bi Caroline Shayo -Mwenyekiti wa mamlaka ya mji mdogo Maswa”…
15 May 2026, 11:57
Matarajio wavuvi ujenzi soko la samaki Afrika Mashariki Kipumbwi, Pangani
Na Rajabu Mrope Mwalo wa Kipumbwi, ndani ya Wilaya ya Pangani ndipo kitovu cha uvuvi ambapo boti zaidi ya 400 na wavuvi zaidi ya 6000 kutoka ndani nan je ya wilaya ya Pangani wanajishghulisha na shuhguli hii. Kwa mujibu wa…