
Afrika

27 November 2022, 7:45 am
Mbunge KABATI Asisitiza Kutumia Michezo Ya Mabunge Afrika Mashariki Kuleta Aman…
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa, Dkt. Ritta Kabati ametoa wito kwa nchi za Jumuiya Ya Afrika Mashariki kuitumia michezo ya mabunge ya Jumuiya hiyo kuleta amani kwa nchi za Jumuiya Afrika Mashariki zenye migogoro ya kisiasa. Kabati ameyasema…

6 September 2022, 10:06 am
Kenya: Kenyatta ajipanga kumkabidhi Ruto ‘mikoba’
Rais Mteulewa Kenya, William Ruto anatarajiwa kuapishwa siku ya Jumanne, Septemba 13, 2022 baada ya Mahakama ya Juu Zaidi kutupilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa urais katika uchaguzi uliofanyika Agosti 9. Sherehe hiyo, inafanyika siku ya saba tangu tarehe…

10 August 2022, 15:29 pm
KIPINDI (LIVE): Elimu ya namna ya kudhibiti Ugonjwa Kifua Kikuu (TB)
Ugonjwa wa kifua kikuu ni ugonjwa unaoennezwa kwa njia ya hewa na hii huenezwa kwa njia tofauti, ungana na mwandishi wetu Mwanahamisi chikambu pamoja Dk. Boniface Jengela ambaye ni mratibu wa kudhibiti kifua kikuu (TB) na ukoma katika halmshauri ya…

12 July 2022, 4:40 pm
Atumia ARV miaka 6 bila kuwa na VVU
Mwanamke mmoja raia wa Uganda amejitokeza akitafuta haki kufuatia kugundulika kuwa hana Virusi Vya Ukimwi baada ya miaka sita ya kutumia dawa za kupunguza makali ya virusi hivyo kutokana na kupimwa vibaya. Faridah Kiconco mwenye umri wa miaka 37, alianza…

19 June 2022, 4:51 pm
DRC yafunga mipaka yake na Rwanda
Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo (DRC), imefunga mipaka yake yote na Rwanda huku hali ya mvutano kati ya nchi hizo mbili ukiendelea kuongezeka kufuatia madai ya Rwanda kuunga mkono waasi wa M23 wanaopigana na jeshi la DRC. Mbali…

29 April 2022, 9:17 am
Dkt.Mpango Awasili Nchini Kenya Kumuwakilisha Rais Katika Mazishi Ya Hayati Mwai…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 29 Aprili 2022 akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta uliopo Nairobi nchini Kenya alipoenda kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…