Radio Tadio

Afrika

14 July 2026, 09:42

Vijana Kilolo watakiwa kutumia chuo cha Veta kujiajiri

Kamati ya Siasa Mkoa wa Iringa imekagua ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Wilaya ya Kilolo kinachojengwa kwa gharama ya Sh bilioni 1.6 kupitia fedha za mapato ya ndani ya Serikali. Na Hafidh Ally Vijana Halmashauri ya Wilaya ya…

20 June 2026, 6:55 pm

Academy ya mpira yazinduliwa kukuza vipaji Geita

Kituo cha Twist Elite Football Academy kitakuwa kikiendesha shughuli zake katika viwanja vya shule ya sekondari ya Waja boys iliyopo halmashauri ya manispaa ya Geita chini ya kocha Choki Abeid pamoja na makocha wengine wenye uzoefu wa kuibua vipaji vya…

May 12, 2026, 3:40 pm

LVRLAC yaridhishwa hatua ujenzi soko kuu Muleba

Mradi huo unaojengwa kwa mapato ya ndani unatarajiwa kuanza kutumika kwa awamu ya kwanza mwezi Juni 2026 huku awamu ya pili pamoja na eneo lote la soko ikikamilika Septemba 2026. Na Shafiru Yusuph- Muleba, KAGERA ‎‎Mamlaka ya Serikali za Mitaa…

21 April 2026, 9:52 pm

Yowe haiui mtu bali watu ndiyo wanaoua

Ipo sheria ya ukamataji ambayo inaelekeza ukamataji salama na pindi wananchi wanaoshiriki ulinzi shirikishi wakikamata muhalifu wanatakiwa kutoa taarifa. Na Adelinus Banenwa Wananchi watakiwa kutojichukulia sheria mkononi ikiwemo kuhusuka katika mauaji ya wahalifu kwa kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha…