Radio Tadio

Afrika

6 September 2022, 10:06 am

Kenya: Kenyatta ajipanga kumkabidhi Ruto ‘mikoba’

Rais Mteulewa Kenya, William Ruto anatarajiwa kuapishwa siku ya Jumanne, Septemba 13, 2022 baada ya Mahakama ya Juu Zaidi kutupilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa urais katika uchaguzi uliofanyika Agosti 9. Sherehe hiyo, inafanyika siku ya saba tangu tarehe…

12 July 2022, 4:40 pm

Atumia ARV miaka 6 bila kuwa na VVU

Mwanamke mmoja raia wa Uganda amejitokeza akitafuta haki kufuatia kugundulika kuwa hana Virusi Vya Ukimwi baada ya miaka sita ya kutumia dawa za kupunguza makali ya virusi hivyo kutokana na kupimwa vibaya. Faridah Kiconco mwenye umri wa miaka 37, alianza…

19 June 2022, 4:51 pm

DRC yafunga mipaka yake na Rwanda

Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo (DRC), imefunga mipaka yake yote na Rwanda huku hali ya mvutano kati ya nchi hizo mbili ukiendelea kuongezeka kufuatia madai ya Rwanda kuunga mkono waasi wa M23 wanaopigana na jeshi la DRC. Mbali…