Radio Tadio

Afrika

July 10, 2025, 5:17 pm

Viongozi Kahama watakiwa kusikiliza, kutatua kero za wananchi

”kasikilizeni na kuzitatua changamoto mbalimbali za wananchi wenu pamoja na kushirikiana katika suala ya maendeleo” Mboni Mhita Na Sebastian Mnakaya Viongozi wa wilayani ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kusikiliza na kutatua changamoto mbali mbali za wananchi wao pamoja na…

2 June 2025, 6:45 pm

Wanafunzi 126 kuuwakilisha mkoa wa Geita UMITASHUMTA

Geita watarajia mafanikio makubwa katika mashindano ya UMITASHUMTA baada ya mchujo makini uliofanyika kuwapata wachezaji mahiri. Na Mrisho Sadick: Jumla ya wanafunzi 126 wa shule za msingi kutoka mkoa wa Geita wamechaguliwa kuuwakilisha mkoa huo kwenye mashindano ya UMITASHUMTA ngazi…

7 May 2025, 12:56 pm

Wakulima Manyara watakiwa kuacha kutegemea kilimo cha mvua

kwa upande wake  mwakilishi kutoka ofisi ya mkoa wa manyara Magreth wiza aliyekuwa mgeni rasmi,amesema kuna haja ya wakulimà kuvuna maji kipindi cha mvua ili kulima kilimo cha umwagiliaji hususani  msimu wa kiangazi na kuacha kutegemea mvuaa ambayo haitoi matokeao…

1 May 2025, 4:32 pm

Aliyemchoma mtoto wake mkono ahukumiwa, Bunda

Katika utetezi wake mshitakiwa aliiomba mahakama imuachie huru kutokana na yeye kuwa ni mjane na ana watoto watano wanamtegemea. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilaya ya Bunda imemuhukumu kifungo cha masharti (condition discharge) cha kutokutenda kosa lolote ndani ya miezi…

31 March 2025, 4:18 pm

Watumishi Geita watakiwa kutumia michezo kuondoa tofauti zao

Michezo ni nguzo muhimu katika kuimarisha mahusiano na kuongeza uwajibikaji kazini kwa watumishi wa umma. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita Grace Kingalame amewataka watumishi wa serikali Mkoani Geita kutumia michezo kuondoa tofauti zao nakuweka mbele…

27 December 2024, 9:50 pm

Wachezaji zaidi ya 20 waikimbia Biashara United

Wakati ligi ya Championship ikielekea katika mzunguko wa pili timu ya Biashara United inakabiliwa na changamoto ya kiuchumi. Na Mrisho Sadick: Wachezaji zaidi ya 20 na benchi la ufundi la timu ya Biashara United ya mkoani Mara wameikimbia timu hiyo…