Radio Tadio

Afrika

3 August 2026, 1:15 pm

Viingilio kuiona Yanga Bukombe vyatajwa

Tamasha hilo litafanyika ikiwa ni sehemu ya utambulisho wa Uwanja mpya wa kisasa wa Bukombe, ambao utatumika na Geita Gold FC katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2026/2027. Na Mrisho Sadick: Waandaaji wa Tamasha la Joto la…

3 August 2026, 12:33 pm

Yanga SC kutua kesho uwanja mpya wa Bukombe Geita

Uwanja huo umejengwa kwa viwango vya kisasa na una miundombinu muhimu ikiwemo mfumo wa taa za kisasa. Eneo la kuchezea lina nyasi bandia zenye ithibati ya FIFA Daraja la Kwanza, lenye urefu wa mita 105 na upana wa mita 68.…

22 July 2026, 6:44 pm

Mgusu star yaichapa Kalamata FC mashindano Buhabi Cup

Wachezaji wa Mgusu Star kwenye picha ya pamoja.Picha na Kale Chongela Mgusu Star ilianza kuifunga Kalamata Fc bao la kwanza katika dakika ya 19 kipindi cha kwanza na Gori la pili limefugwa dakika ya 65 kipindi cha pili, Gori la tatu limefugwa dakika…

14 July 2026, 09:42

Vijana Kilolo watakiwa kutumia chuo cha Veta kujiajiri

Kamati ya Siasa Mkoa wa Iringa imekagua ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Wilaya ya Kilolo kinachojengwa kwa gharama ya Sh bilioni 1.6 kupitia fedha za mapato ya ndani ya Serikali. Na Hafidh Ally Vijana Halmashauri ya Wilaya ya…

20 June 2026, 6:55 pm

Academy ya mpira yazinduliwa kukuza vipaji Geita

Kituo cha Twist Elite Football Academy kitakuwa kikiendesha shughuli zake katika viwanja vya shule ya sekondari ya Waja boys iliyopo halmashauri ya manispaa ya Geita chini ya kocha Choki Abeid pamoja na makocha wengine wenye uzoefu wa kuibua vipaji vya…