Maendeleo
11 April 2024, 19:54
Mbunge Mwantona akabidhi mifuko 50 ya saruji shule ya msingi Kibwe
Baada ya uchakavu wa miundombinu katika shule ya msingi Kibwe Mbunge Mwantona ametoa msaada wa mifuko hamsini ya saruji wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya Na Ezra Mwilwa Mbunge wa Jimbo la Rungwe Mhe Anton Mwantona leo Amekabidhi mifuko 50 ya…
24 March 2024, 09:04
Ujenzi Stendi ya Chimbuya Songwe kukamilika mwezi mei 2024
Baada ya kilio cha stendi ya kuegesha magari ya mizigo songwe hatimaye swala hilo limepatiwa ufumbuzi Na Ezra Mwilwa Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Songwe, Mhandisi Suleiman Bishanga amesema Matengenezo ya mahali pa kuegesha malori eneo…
21 March 2024, 09:07
Mjane mwenye watoto sita kupata nyumba kutoka taasisi ya Tulia Trust
Mjane aliyekuwa akiishi kwenye nyumba ya maturubai Mbeya ameonwa na jicho la mbunge na spika wa Tanzania Dkt.Tulia Mwansasu Ackson ambaye pia ni Rais wa IPU baada ya kuishi kwa muda mrefu kwenye nyumba yenye maturubai. Na Ezra Mwilwa Taasisi…
20 March 2024, 16:47
Afisa tarafa akerwa na watendaji wazembe
Unapoaminiwa na kupewa kufanya kazi fulani huna budi kuonyesha jitihada zako za utendaji kazi kwa weledi. Na mwandishi wetu Afisa Tarafa ya Ilongo Magdalena Sikwese ameagiza Maafisa Watendaji wa Kata na Vijiji kuhakikisha wanatumia nafasi zao kwa kuwatumikia Wananchi vizuri…
29 February 2024, 17:06
Rungwe yazindua chanjo ya minyoo, kichocho
Na mwandishi wetu Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mhe. Jaffar Haniu tarehe 28.2.2024 amezindua zoezi la chanjo ya minyoo na kichocho ikiwa ni sehemu ya kutokomeza magonjwa yote yasiyopewa kipaumbele katika jamii. Zoezi hili limefanyika katika shule ya msingi Katumba…
29 February 2024, 16:52
Wananchi Makongolosi waishukru serikali kwa kupeleka huduma za upasuaji
Na mwandishi wetu Wananchi wa Mamlaka ya mji mdogo Makongolosi wameushukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwapelekea vifaa tiba katika kituo cha afya cha Makongolosi kwani…
29 February 2024, 16:43
Chunya yaongoza ukusanyaji mapato mkoa wa Mbeya
Na Mwandishi wetu Halmashauri ya wilaya ya Chunya imeendelea kuziongoza halmashauri za mkoa wa Mbeya katika ukusanyaji wa mapato kwa tofauti ya zaidi ya asilimia arobaini (40%) baada ya kukusanya shilingi bilioni 7.3 sawa na asilimia 133 kwa kipindi cha…
27 February 2024, 18:57
SACP atembelea Ofisi za mkoa wa Songwe na kukutana na mwenyeji wake mkuu wa mkoa
Na Mwandishi wetu Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Mkoa Dkt. FRANSIS MICHAEL amempongeza Kamanda wa Polisi Mkoani humo kwa kupandishwa cheo hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na…
22 February 2024, 20:48
Wananchi Tunduma wasisitizwa ulinzi shirikishi kulinda amani
Na Mwandishi wetu Songwe Wananchi wa Kata ya Mwakakati Mjini Tundu ma Mkoani Songwe wam etakiwa kuendeleza ushir ikiano na Jeshi la Polisi katika kuhimarisha vikun di vya ulinzi shirikishi ili kuweka maeneo yao salama. Rai hiyo ilitolewa Febr uari…
22 February 2024, 20:42
Homera aongoza kikao kamati ya ushauri mkoa wa Mbeya
Na Mwandishi wetu Leo February 22, 2024 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Z Homera ameongoza Kikao Cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Mbeya(RCC) kilicholenga kujadili, kushauri na Kutoa Mapendekezo juu ya Namna bora ya kutatua baadhi ya…