Radio Tadio

Uongozi

17 November 2025, 3:50 pm

Wanawake watakiwa kutokuwa na hofu katika fani ya udereva

Hata hivyo, madereva hao wamebainisha changamoto wanazokumbana nazo, ikiwemo kutoaminika na baadhi ya watu kutokana na jinsia yao, hali ambayo wamesema inapaswa kubadilika ili kutoa nafasi sawa kwa wote. Na Farashuu Abdallah.Wanawake nchini wametakiwa kuondoa hofu ya kujifunza fani ya…

1 April 2024, 15:19 pm

Wanaume kikwazo kwa wanawake kuwa viongozi – Makala

“Changamoto hizo ni kwa baadhi ya wanaume wenye tabia ya kuwakataza wake zao kushiriki masuala ya uongozi” Na Musa Mtepa Ni kipindi kinachoelezea changamoto zinazosababisha wanawake kutoshiriki kwa asilimia kubwa kwenye nafasi za kisiasa na uongozi . Kupitia kipindi hii…

23 November 2023, 17:44

Tumieni fursa vyuoni kuwa viongozi wa badae

Na Ezra Mwilwa Vijana Waliopo vyuoni wameshauriwa kujianda na masuala ya uongozi katika nyanja Mbalimbali za kijamii. Wito huo umetolewa na Mch.Agines Njeyo katika semina iliyoandaliwa na Wanafunzi wa Makanisa ya CCT Chuo kikuu Teofilo Kisanja ambapo amesema katika nyakati hizi vijana…