Radio Tadio

politics

19 Febuari 2026, 2:22 um

Mtoto achomwa kisu cha moto, mama mzazi ahusika

“Amepata majeraha baada ya kuchomwa kisu cha moto na mama  yake mzazi kwa madai ya kuwa na tabia ya kuomba pesa kwa majirani“ Na Rhoda Elias-Katavi Mtoto  mmoja mwenye umri wa miaka 4 ambae ni mkazi wa mtaa wa Mpanda…

18 Febuari 2026, 10:41 mu

Watatu wanusurika kufa moto kufuatia nyumba kuungua Bariadi

“Kuna majanga ambayo hanaweza kuzuilika kama tu tukiwa na utamaduni wa kuangalia mara kwa mara mfumo wa umeme wa majumbani ili kutatua changamoto za kuunguliwa kwa nyumba.” Na,Daniel Manyanga  Watu watatu wa mtaa wa Kidinda wilayani Bariadi mkoani Simiyu wamenusurika…

5 Febuari 2026, 8:18 um

Paulo Bunga wa Malita auliwa na mamba mto Simiyu

“Maendeleo bila watu hayo siyo maendeleo katika kujenga nchi yetu lazima kwanza tuhakikishe usalama wa wananchi maana hawa ndiyo walipa kodi za maendeleo ya taifa ukiona nchi inauchumi imara nyuma yake kuna watu na siyo wanyama”. Na,Daniel Manyanga  Mtoto mmoja…

26 Januari 2026, 15:50

Mvua yaharibu nyumba, mali Itebula Uvinza

Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Kata ya Itebula Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma wameomba serikali na wadau kuwasaidia baada ya nyumba zao kuezuliwa na mvua iliyoambatana na upepo na kusababisha nyumba na mali zao kuharibika. Na Timotheo Leonard  Mvua kubwa iliyonyesha…

14 Januari 2026, 12:55 um

Vikundi 38 vyanufaika na mikopo Kilosa

Mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri ya Wilaya ni mpango wa serikali unaolenga kuwawezesha kiuchumi wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa kutumia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri (asilimia 4 kwa wanawake, 4 kwa vijana na…

17 Oktoba 2025, 7:55 um

Flora aahidi kuwa mtetezi ‘mikopo kichefuchefu’

“Naomba mnichague nitahakikisha watu wote wanapata mikopo bila kuonewa “ Na Katalina Liombechi Mgombea Udiwani Kata ya Viwanjasitini kupitia Chama cha Mapinduzi Flora Kwangu leo akizindua Kampeni zake amesema miongoni mwa mambo atakayoshughulikia ni pamoja na changamoto ya Miundombinu ya…

16 Oktoba 2025, 8:18 um

UMD yaahidi Kuboresha Sekta ya Kilimo

sekta ya kilimo, ambayo ni uti wa mgongo wa uchumi wa Watanzania wengi, Mgombea urais kupitia chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Bi. Mwajuma Notty Mirambo, ameahidi kuboresha mazingira ya kilimo kwa kukifanya kuwa cha biashara na chenye tija…

25 Agosti 2025, 1:01 um

Watoto watatu wafariki kwa kukosa hewa Busega

“Walezi/Wazazi tunalo jukumu kubwa la kuwalinda watoto wetu wakati wote bila kujali mazingira waliyopo ili kuwakinga na vitu vinyoweza kuzuilika maana watoto ni tunu ya taifa lijalo”.  Na,Anitha Balingilaki  Watoto  watatu wa  kutoka kwenye  familia tatu wawili wakiwa wa kitongoji…

Agosti 22, 2025, 3:56 um

264 warejeshwa shule Kagera kupitia mpango wa ‘SEQUIP-AEP’

Kwa kipindi cha miaka minne wasichana hao wamesomeshwa bure na Serikali kupitia mpango wa kuboresha elimu ya Sekondari kwa njia mbadala (SEQUIP-AEP). Na Shafiru Yusuph- Muleba, Kagera Wasichana 264 waliokatizwa na masomo ya Sekondari kwa sababu mbalimbali zikiwemo ujauzito wamerudishwa…