politics
26 Januari 2026, 15:50
Mvua yaharibu nyumba, mali Itebula Uvinza
Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Kata ya Itebula Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma wameomba serikali na wadau kuwasaidia baada ya nyumba zao kuezuliwa na mvua iliyoambatana na upepo na kusababisha nyumba na mali zao kuharibika. Na Timotheo Leonard Mvua kubwa iliyonyesha…
14 Januari 2026, 12:55 um
Vikundi 38 vyanufaika na mikopo Kilosa
Mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri ya Wilaya ni mpango wa serikali unaolenga kuwawezesha kiuchumi wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa kutumia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri (asilimia 4 kwa wanawake, 4 kwa vijana na…
18 Oktoba 2025, 8:23 um
Dkt. Nchimbi: Wakulima watarajie kilimo chenye tija
Mkutano huo katika kata ya Mwaya ulihudhuriwa pia na viongozi mbalimbali wa CCM wa kitaifa na mkoa, ambao walisisitiza mshikamano na amani katika kipindi chote cha kampeni na hata baada ya uchaguzi Na Katalina Liombechi Mgombea mwenza wa urais kupitia…
17 Oktoba 2025, 7:55 um
Flora aahidi kuwa mtetezi ‘mikopo kichefuchefu’
“Naomba mnichague nitahakikisha watu wote wanapata mikopo bila kuonewa “ Na Katalina Liombechi Mgombea Udiwani Kata ya Viwanjasitini kupitia Chama cha Mapinduzi Flora Kwangu leo akizindua Kampeni zake amesema miongoni mwa mambo atakayoshughulikia ni pamoja na changamoto ya Miundombinu ya…
16 Oktoba 2025, 8:18 um
UMD yaahidi Kuboresha Sekta ya Kilimo
sekta ya kilimo, ambayo ni uti wa mgongo wa uchumi wa Watanzania wengi, Mgombea urais kupitia chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Bi. Mwajuma Notty Mirambo, ameahidi kuboresha mazingira ya kilimo kwa kukifanya kuwa cha biashara na chenye tija…
25 Agosti 2025, 1:01 um
Watoto watatu wafariki kwa kukosa hewa Busega
“Walezi/Wazazi tunalo jukumu kubwa la kuwalinda watoto wetu wakati wote bila kujali mazingira waliyopo ili kuwakinga na vitu vinyoweza kuzuilika maana watoto ni tunu ya taifa lijalo”. Na,Anitha Balingilaki Watoto watatu wa kutoka kwenye familia tatu wawili wakiwa wa kitongoji…
Agosti 22, 2025, 3:56 um
264 warejeshwa shule Kagera kupitia mpango wa ‘SEQUIP-AEP’
Kwa kipindi cha miaka minne wasichana hao wamesomeshwa bure na Serikali kupitia mpango wa kuboresha elimu ya Sekondari kwa njia mbadala (SEQUIP-AEP). Na Shafiru Yusuph- Muleba, Kagera Wasichana 264 waliokatizwa na masomo ya Sekondari kwa sababu mbalimbali zikiwemo ujauzito wamerudishwa…
Agosti 22, 2025, 2:04 um
Kilimo cha mbogamboga hatarini kutokana na utupaji taka hovyo Kijenge Kusini
Familia moja iliyopo barabara ya Losaru mtaa wa Bondeni, Kijenge Kusini jijini Arusha imelalamikia utupaji wa taka hovyo na utiririshaji wa maji taka unaofanywa na baadhi ya wapangaji waliopo eneo hilo, hali inayohatarisha afya za wakazi pamoja na usalama wa…
Agosti 21, 2025, 2:07 mu
Shilingi bilioni 45 kujenga madaraja matano Kagera
Shilingi bilioni 45 zinatarajiwa kutumika kujenga madaraja matano mkoani Kagera ambayo yamekuwa hatarishi hasa nyakati za mvua hali inayokwamisha shughuli za usafiri na ufarishaji mkoani Kagera. Na Avitus Kyaruzi Serikali inatekeleza ujenzi wa madaraja matano ambayo yamekuwa hatarishi hasa nyakati…
Agosti 4, 2025, 6:54 um
Wasimamizi waonywa dhidi ya upendeleo wa kisiasa
Wasimamizi wanatakiwa kufuata sheria, taratibu na miongozo ya Tume Huru ya Uchaguzi kwa kushirikisha vyama vyote vya siasa vyenye usajili kamili katika hatua zote kuepuka migogoro Na Shafiru Athuman- Muleba, Kagera Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata Wilayani Muleba Mkoani…