![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
msaada
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/39/2024/01/p1260022-scaled.jpg)
3 January 2024, 12:30
Mashirika, wananchi watakiwa kuwakumbuka watoto yatima Kigoma
Wito umetolewa kwa mashirika na wananchi wa mkoani Kigoma kujitokeza na kuchangia vitu mbalimbali kwa ajili ya kuwasaidia watoto wanaolelewa na kituo cha malezi ya watoto Matyazo. Na Lucas Hoha Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Joy…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2024/01/halmashauri-ya-rungwe-mbeya-20240102-0001.jpg)
2 January 2024, 18:54
Dkt. Tulia afanya tendo la huruma kwa wakazi wa Rungwe
Na mwandishi wetu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Tulia Akson Mwansasu kupitia asasi isiyo ya Kiserikali ya Tulia Trust amekabidhi nyumba mbili pamoja na kiti mwendo kwa wakazi wawili wenye mahitaji maalumu katika kata ya Kisondela…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2023/12/songwepressclub-20231228-0001.jpg)
28 December 2023, 18:17
Askari polisi waliotimiza miaka 30 jeshini watoa msaada wa kumuwekea umeme mzee…
Na mwandisi wetu,Songwe Baadhi ya askari Polisi waliotimiza miaka 30 katika utumishi wao ndani ya Jeshi la Polisi Depo la Mwaka 1993, wamemtembelea Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Mkisi ambaye aliwahi kuwa Mkuu wa Shule ya Polisi Moshi (CCP)…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/35/2023/12/feature-picture-scaled.jpg)
21 December 2023, 9:52 pm
HRT watoa msaada kwa wanafunzi wenye uhitaji
Chama cha ushirika wa akiba na mikopo Hai Rural Teachers SACCOS (HRT) wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kimetoa msaada wa sare za shule kwa wanafunzi wenye uhitaji kutoka shule 16 za wilaya ya Siha. Na Elizabeth Mafie Chama cha Ushirika wa …
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/35/2023/12/lukani.jpg)
13 December 2023, 10:30 pm
Jamii yatakiwa kuwasaidia watoto wenye uhitaji
Diwani awaandalia tafrija fupi watoto wenye uhitaji. Na Latifa Boto Diwani wa kata ya Masama Magharibi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro Mashoya Natai ameitaka jamii kuwasaidia watoto wenye mahitaji mbalimbali hususani katika msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka ili…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2023/12/mkoa-wa-songwe-20231212-0001.jpg)
12 December 2023, 18:38
Mkoa wa Songwe watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko Hanang’
Na Mwandishi Wetu,Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Dkt Francis K. Michael, amepokea msaada kutoka kwenye Kikundi cha Tunduma ni Fursa Online 11 Desema 2023. ambacho kimetoa tani moja ya mahindi, kilo 250 za sabuni, mavazi pamoja na viatu…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2023/12/screenshot-20231209-074756-1.jpg)
9 December 2023, 08:00
Mkuu wa mkoa wa Songwe akabidhi msaada kwa wafungwa gereza la vwawa
Na mwandishi wetu,Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Dkt Francis K. Michael kwa kushirikiana na Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Songwe amekabidhi Tarehe 07 Desemba,2023 msaada wenye thamani ya zaidi shilingi milioni 3 kwa wafungwa wa Gereza la…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2023/11/mbeyapressclub-20231114-0004-1.jpg)
14 November 2023, 20:35
Dkt.Tulia azindua ofisi na kugawa bodaboda Kawetele jijini Mbeya
Na Hobokela Lwinga Spika wa Mabunge Duniani ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mbunge wa Mbeya Mjini Dkt Tulia Ackson amezindua tawi la Bodaboda Kawetele Jijini Mbeya pia kukabidhi mkopo wa pikipiki wenye thamani…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/39/2023/10/whatsapp-image-2023-10-24-at-233606-2.jpeg)
25 October 2023, 13:54
Miundombinu mibovu, uhaba wa vifaa vyaitesa shule ya msingi Rutale
Na, Lucas Hoha Licha ya wadau wa maendeleo na serikali kufanya jitihada za kupunguza uhaba wa miundombinu ya madawati na matundu ya vyoo katika shule ya msingi Rutale iliyopo kata ya Kipampa manispaa ya Kigoma Ujiji, bado shule hiyo inakabiliwa…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2023/10/img-20231008-070218-706.jpg)
8 October 2023, 07:17
Wasichana 700 shule ya sekondari Kayuki wapewa taulo za kike
Jukumu la malezi ni la kila mtu, katika kuwezesha mabinti ili kupata elimu kwenye mazingira bora huna budi kuhakikisha mabinti hao wanafunzi wanawekwa kwenye mazingira mzuri kila wakati. Na mwandishi wetu Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya ambaye pia…