mazingira
27/03/2026, 19:11
Himofilia kutibiwa hospitali ya Rufaa Geita
Tanzania ina wagonjwa wapatao 6700 wa Himofilia ambapo mikakati mbalimbali imeendelea kuchukuliwa na serikali katika kurahisisha matibabu ya ugonjwa huo kwa urahisi. Na: Ester Mabula Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Geita imezindua rasmi mradi wa mpango jumuishi wa huduma…
16 Machi 2026, 13:43
DUWASA yaendelea na ukarabati bomba kubwa la maji taka
Meneja wa Kitengo cha Majitaka na Usafi wa Mazingira DUWASA, Mhandisi Ores John, amesema kuwa mamlaka hiyo inashirikiana na wataalamu kutoka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuhakikisha matengenezo yanafanyika haraka. Na Anwary Shaban Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira…
06/12/2024, 08:22
Vyoo, visima na nyumba vyazingirwa na maji Ibolelo, Geita
Ni moja ya eneo lililopo mtaa wa Ibolelo, kata ya Nyankumbu mjini Geita ambalo limeathirika na mvua, Je wananchi wanaishi vipi katika mazingira haya?. Na: Ester Mabula – Geita Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita zimeendelea…
3 Disemba 2024, 11:56
Wakazi wa Bahi road walalamika kero ya maji taka
Hali hiyo inahatarisha usalama wa afya za wananchi katika eneo hilo. Na Waandishi wetu. Wananchi wa Mtaa wa Bahi Road Jijini Dodoma wamepaza sauti zao juu mitaro inayotiririsha majitaka na chemba katika maeneo yao. Wakizungumza na taswira ya habari wamesema…
2 Septemba 2024, 18:30
Jinsi mikoko inavyotumiwa na wageni kuwa sehemu ya haja katika kijiji cha Kipumb…
Kijiji cha Kipumbwi miongoni mwa vijiji vinavyoongoza kwa ukusanyaji wa mapato katika halmashauri ya wilaya ya Pangani, ina choo kimoja cha wageni chenye matundu 11. Na Cosmas Clement Wananchi wa Kijiji cha Kipumbwi wilayani Pangani wameiomba serikali kujenga vyoo kwa…
20 Agosti 2024, 18:31
Naibu PM azindua mwongozo usimamizi wa huduma za majitaka, tope kinyesi
Picha ni Mwakilishi wa Mgeni Rasmi katika kongamano la kwanza la kitaifa la Usafi wa Mazingira 2024 ,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu) William Lukuvi. Picha na Selemani Kodima. Wizara ya Maji kwa kushirikiana na Ofisi…
2 Agosti 2024, 21:58
Ukusanyaji mapato mazao ya misitu ya vijiji yawaibua madiwani Pangani
Wakala wa Huduma za Misitu umeundwa kwa madhumuni ya kuhakikisha; Uwepo wa usimamizi madhubuti na wenye ufanisi na tija wa rasilimali za misitu na nyuki, kuongeza ubora na thamani ya kifedha katika kutoa huduma kwa umma; na kuendelea kukuza na…
10 Juni 2024, 18:53
DUWASA yapiga marufuku matumizi ya maji taka
Serikali ya Awamu ya Sita imetenga shilingi Bilion 160 kwa ajili ya kutekeleza ujenzi wa mabwawa 16 ya kutibu maji taka katika kata ya Nzuguni na mradi huu utaanza kutekelezwa mwazi July 2024. Na Mindi Joseph.Mamlaka ya maji safi na…
3 Aprili 2024, 18:13
DUWASA yaendelea na ukaguzi miundominu ya maji taka
Katika zoezi hilo DUWASA imebaini kuzidiwa na miundombinu ya majitaka eneo la Makole. Na Seleman Kodima.Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imeendelea na zoezi la ukaguzi wa miundombinu ya majitaka katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dodoma…
02/02/2024, 16:12
Taharuki mlipuko na maporomoko ya tope Chato
Siku chache baada ya kutokea kwa maporomoko makubwa ya tope mkoani Manyara hali hiyo imejitokeza Chato mkoani Geita japo siyo kwa ukubwa. Na Mrisho Shabani Wakazi wa kitongoji cha Iloganzara kijiji cha Songambele wilayani Chato Mkoani Geita wamekumbwa na taharuki…