maji
25 January 2024, 16:04
Bilioni 30 kutumika mradi wa maji wa miji 28 Kasulu
Zaidi ya bilioni 30 zimetengwa na Serikali katika halmashauri ya mji kasulu kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa maji wa miji 28 kasulu mjini ambao unajengwa kata ya kumnyika katika halmashauri hiyo. Michael Mpunije Kutoka Wilaya ya Kasulu ametuandalia…
23 January 2024, 5:55 pm
Vyanzo vya maji asili siyo salama zaidi kipindi hiki cha mvua Geita
Serikali wilayani Geita imeendelea kuboresha huduma ya upatikanaji wa maji safi ili kukabiliana na magonjwa ya mlipuko. Na Mrisho Shabani: Serikali wilayani Geita imewataka wakazi wa Kata za Katoro , Ludete na Nyamigota wilaya humo kuepuka kutumia maji ya kwenye…
20 January 2024, 9:48 am
Mradi wa Kata 5 kunufaisha watu zaidi ya laki moja Geita
Serikali imedhamiria kumaliza changamoto ya maji kwa kuendelea kutekeleza miradi mikubwa ya maji hususani vijijini. Mrisho Shabani: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa Bilioni 10.8 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa maji wa…
3 January 2024, 10:27 am
Zaidi ya vijiji 5 maji ni changamoto Geita
Vijiji vitano vya kata ya Bukondo mkoani Geita havina huduma za maji huku zahanati ya Bukondo inayohudumia vijiji vitano katika kata hiyo ikiwa na watumishi wawili tu. Na Zubeda Handrish- Geita Wananchi wa kata ya Bukondo mkoani Geita wamemweleza changamoto…
16 December 2023, 12:01 pm
DC Maswa: Wananchi tunzeni vyanzo vya maji
Wadau wa maji na Wananchi watakiwa kutunza vyanzo vya maji ili kuweza kukabiliana na ukame unaosababishwa na shughuli za kijamii pamoja na mabadiliko ya tabia nchi Na Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Mhe.Aswege Kaminyoge amewataka Wananchi…
16 November 2023, 8:22 pm
DC Maswa aonya wanaohujumu miundombinu ya maji
Na Nicholaus Machunda Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Mh, Aswege Kaminyoge ameonya wananchi wanaohujumu miundombinu ya maji yanayotoka Ziwa Viktoria kuja kata ya Sengwa iliyopo wilayani hapa kupitia wilaya ya Kishapu. Mh Kaminyoge amesema hayo wakati Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ilipotembelea mradi huo ambao umekuwa ukihujumiwa mara kwa mara …
8 November 2023, 17:53
RUWASA yatatua kero ya maji Buhigwe
Wizara ya Maji Kupitia Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA wilayani Buhigwe mkoani Kigoma, wamefanikiwa kufikia asilimia 72.2 ya usambazaji wa huduma ya maji safi na salama kwa wananchi, na kupunguza kwa kiwango kikubwa cha ukosefu wa…
2 November 2023, 5:42 pm
Shida ya maji, fisi vyawatesa wakazi kijiji cha Lubando
Ukosefu wa huduma ya maji safi na salama, tishio la fisi vijijini katika wilaya ya Nyang’hwale umeendelea kuwapa changamoto wananchi wanaoishi maeneo hayo ambao huchangia maji na mifugo huku wakitembea umbali wa kilomita 20 kufuata maji. Na Mrisho Sadick –…
24 October 2023, 2:16 pm
Wizara ya Maji yasaini mkataba na SU-YAPI Engineering Consulting Inc
Mkataba umesainiwa 23 Oktoba, ikiwa ni awamu ya kwanza, mradi ambao utagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 312 kwa ujenzi wa Bwawa lenye ujazo wa lita za maji milioni 440. Na Seleman Kodima Wizara ya Maji imesaini mkataba wa mwaka mmoja…
16 October 2023, 6:44 pm
Wakazi wa Handali walalamika kukosa maji safi na salama
Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA wapo kwenye mpango wa bajeti katika kuhakikisha miundombinu ya maji katika kijiji cha Handali inafufuliwa. Na Mindi Joseph. Kusimama kwa Mradi wa Maji unaogharimu zaidi ya Milioni 600 katika kijiji cha…