maji
21 October 2025, 8:23 am
Mikutano 65 ya injili yaleta mabadiliko makubwa Geita
Lengo la huduma hiyo sasa ni kufika nje ya mkoa wa Geita ili kufikisha ujumbe wa Injili kwa Watanzania wengi zaidi. Na Kale Chongela – Geita Uwepo wa mikutano ya Injili katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita umeendelea kuleta…
10 September 2025, 3:44 pm
Migogoro ya familia inavyoathiri zoezi la unyonyeshaji
Afisa Ustawi wa Jami jiji la Dodoma Rosemary Nicodemus wakati akizungumza na Taswira ya Habari anasema uwepo wa migogoro katika familia ni jambo linaloathiri zoezi la unyonyeshaji kwa mama. Na Lilian Leopold.Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeeleza kuwa moja ya…
26 August 2025, 3:37 pm
Unyonyeshaji kwa mtoto mama akifariki baada ya kuzaliwa
Je, mtoto ambaye amezaliwa na mama yake kufariki ni hatua zipi zinapaswa kufuata ili kumpatia maziwa? Na Yussuph Hassan.Leo tunaangazia namna sahihi ya unyonyeshaji wa maziwa ya mama kwa mtoto ambaye mzazi wake amefariki baada ya kuzaliwa. Huu ni mwanzo…
8 August 2025, 4:08 pm
Unyonyeshaji wafikia asilimia 66 nchini
Wiki ya unyonyeshaji inakwenda na kaulimbiu isemayo thamini unyonyeshaji weka mazingira wezeshi kwa mama na watoto kupitia ligi ya mpira. Na Anwary Shaban. Takwimu za miaka 30 iliyopita zinaonesha unyonyeshaji wa mama kwa mtoto zilikuwa chini ukilinganisha na kwa mwaka…
4 August 2025, 5:42 pm
Wanaume watakiwa kushiriki wakati wa unyonyeshaji
Maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji hufanyika kila mwaka kuanzia tarehe 1-7 Agasti Na LovenesMiriam. Imeelezwa kuwa ushirikishaji wa wanaume katika suala la unyonyeshaji kwa mama ni muhimu ili kuhakikisha afya ya mama na mtoto. Hayo yamebainishwa na Bi Neema Joshua…
12 August 2024, 4:19 pm
Akina mama wanaonyonyesha watakiwa kuripoti wanaponyimwa muda
Kwa mujibu wa Sheria ya Kazi na Ajira ya mwaka 2004 kifungu cha 33 (10) kinatoa haki kwa mama aliyejifungua kwenda kunyonyesha mtoto saa 2 hadi miezi sita baada ya kutoka likizo ya uzazi kulingana na makubaliano na waajiri. Na…
8 August 2024, 4:22 pm
Akina mama wanaonyonyesha watoto watakiwa kuheshimu muda
Afisa Lishe wa Halmashauri ya jiji la Dodoma Bi. Seminieva Juma akizungumzia juu umuhimu wa kunyonyesha. Na Seleman Kodima.Ikiwa jana ni kilele cha maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji duniani yalioanza tangu Agosti mosi, akina mama wanaonyonyesha watoto wametakiwa kuheshimu muda…
25 January 2024, 16:04
Bilioni 30 kutumika mradi wa maji wa miji 28 Kasulu
Zaidi ya bilioni 30 zimetengwa na Serikali katika halmashauri ya mji kasulu kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa maji wa miji 28 kasulu mjini ambao unajengwa kata ya kumnyika katika halmashauri hiyo. Michael Mpunije Kutoka Wilaya ya Kasulu ametuandalia…
23 January 2024, 5:55 pm
Vyanzo vya maji asili siyo salama zaidi kipindi hiki cha mvua Geita
Serikali wilayani Geita imeendelea kuboresha huduma ya upatikanaji wa maji safi ili kukabiliana na magonjwa ya mlipuko. Na Mrisho Shabani: Serikali wilayani Geita imewataka wakazi wa Kata za Katoro , Ludete na Nyamigota wilaya humo kuepuka kutumia maji ya kwenye…
20 January 2024, 9:48 am
Mradi wa Kata 5 kunufaisha watu zaidi ya laki moja Geita
Serikali imedhamiria kumaliza changamoto ya maji kwa kuendelea kutekeleza miradi mikubwa ya maji hususani vijijini. Mrisho Shabani: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa Bilioni 10.8 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa maji wa…