Radio Tadio

Chanjo

25 October 2023, 09:11

Zaidi ya 100% ya watoto wapata chanjo ya polio Kigoma

Serikali kupitia idara ya afya Mkoa wa Kigoma imesema imefanikiwa kutoa chanjo ya polio kwa zaidi ya asiliamia 100 kwa watoto. Na, Josephine Kiravu Zaidi ya asilimia 100 ya watoto walio chini ya miaka minane wamepata chanjo ya polio katika…

18 September 2023, 20:14

Toeni ushirikiano watoto wapate chanjo ya polio

Msingi wa binadamu ni afya na unapo kuwa na afya ni lazima uilinde,katika maisha ya binadamu yeyote wakati anazaliwa ni lazima apewe ulinzi wa afya yake kwa kupatiwa chanjo ya magonjwa mbalimbali,hivi karibuni serikali imekuwa na msisitizo wa kila mtanzania…

6 September 2023, 12:09 pm

Wajawazito watakiwa kuzingatia chanjo ya pepopunda

Kwa mujibu wa wataalamu wa Afya wanasema kuwa iwapo mama mjamzito atazikosa chanjo hizo itachangia kupata madhara makubwa na kumuathiri mtoto aliyepo tumboni huku wakishauri kufika mapema katika vituo vya Afya pale tu Mtu atakapohisi dalili za ujauzito. Na Richald…

30 March 2023, 7:23 pm

Halmashauri zatakiwa kuhakikisha watoto wanapatiwa chanjo

Amewataka wataalamu wa afya kila wanapo kwenda kufanya huduma za mkoba lazima na huduma ya utoaji chanjo iwepo . Na Alfred Bulahya Serikali kupitia Wizara ya Afya imewataka Waganga wakuu wa Mikoa na Halmashauri nchini kuhakikisha watoto wote chini ya…