Radio Tadio

Chanjo

28 October 2025, 11:13 am

Nyan’ghwale iko shwari kuelekea uchaguzi kesho

Idadi ya wananchi waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ni wilayani Nyang’hwale 124,036 na kuwa jumla ya vituo 360. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Grace Kingalame, amewahakikishia wananchi wa wilaya hiyo kuwa hali…

25 October 2023, 09:11

Zaidi ya 100% ya watoto wapata chanjo ya polio Kigoma

Serikali kupitia idara ya afya Mkoa wa Kigoma imesema imefanikiwa kutoa chanjo ya polio kwa zaidi ya asiliamia 100 kwa watoto. Na, Josephine Kiravu Zaidi ya asilimia 100 ya watoto walio chini ya miaka minane wamepata chanjo ya polio katika…

18 September 2023, 20:14

Toeni ushirikiano watoto wapate chanjo ya polio

Msingi wa binadamu ni afya na unapo kuwa na afya ni lazima uilinde,katika maisha ya binadamu yeyote wakati anazaliwa ni lazima apewe ulinzi wa afya yake kwa kupatiwa chanjo ya magonjwa mbalimbali,hivi karibuni serikali imekuwa na msisitizo wa kila mtanzania…

6 September 2023, 12:09 pm

Wajawazito watakiwa kuzingatia chanjo ya pepopunda

Kwa mujibu wa wataalamu wa Afya wanasema kuwa iwapo mama mjamzito atazikosa chanjo hizo itachangia kupata madhara makubwa na kumuathiri mtoto aliyepo tumboni huku wakishauri kufika mapema katika vituo vya Afya pale tu Mtu atakapohisi dalili za ujauzito. Na Richald…