Radio Tadio

ajira

8 October 2023, 9:24 am

CCWT, benki kuingia makubaliano ya kukopesha wakulima, wafugaji

Vijana wasomi nchini wametakiwa kubadili fikra za kuendelea kusubiri kuajiriwa serikalini na badala yake wachangamkie fursa za ajira  zaidi ya 500,000 zilizopo kwenye sekta ya kilimo na ufugaji. Na Alex Sayi Chama Cha Wafugaji Tanzania CCWT kimebainisha kuwa kinaendelea na…

21 September 2023, 16:17

Walimu 20 Mbeya kunufaika na mafunzo, kupatiwa ajira

Kutokana na vijana wengi kuwa na taaluma za fani mbalimbali bado suala la ajira limekuwa changamoto kwa makundi mbalimbali ya vijana hivyo wadau wanapaswa kuangalia hilo hasa walio kwenye sekta binafsi kutoa fursa ya ya ajira kwa vijana hao Na…

9 March 2023, 3:46 pm

Madereva wa Bodaboda wahamasisha vijana kujiajiri

Madereva wa Bodaboda wilayani Bahi Mkoani Dodoma wamesema kazi wanayoifanya ni kazi rasmi na kuwahamasisha vijana wasio na ajira kuacha kukaa vijiweni bali watafute hata kazi ya bodaboda ili wajikimu kimaisha. Na Benard Magawa. Madereva wa Bodaboda wilayani Bahi Mkoani…

23 January 2023, 11:25 am

Bodaboda Bahi walalamika kuto nufaika na stendi

Na; Bernad Magawa . Madereva wa bodaboda wilayani Bahi Mkoani Dodoma wameelezea kutokunufaika na stendi ya mabasi wilayani humo . Hayo yamesema na Mwenyekiti wa madereva wa boda boda Wilaya ya Bahi Bw Mohamedi Mongoya mapema leo wakati akizungumza na…

6 January 2023, 8:57 am

Ujuzi wa mama yake wamtoa kimaisha.

Na Zubeda Handrish: Kijana Benjamin Samweli mzaliwa wa Mwanza mkazi wa Geita amezungumzia namna ambavyo mama yake mzazi amesaidia kwa kiasi kikubwa yeye kuingia kwenye biashara ya kutengeneza Culture. Kuanza kwa kumsaidia mama yeke kutengeneza hadi kufungua ofisi yake binafsi…

29 November 2021, 1:56 pm

Tanzania yaahidi kuendeleza ushirikiano na India

Na; Fred Cheti. Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na Serikali ya Uganda katika mambo mbalimbali ikwemo katika masuala ya elimu na biashara ili kuendelea kukuza uhusiano uliopo baina ya nchi hizo. Hayo yamesemwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…