Podcasts

21 December 2023, 4:23 pm

Mila, desturi zachangia kumnyima mwanamke haki ya kumiliki mali

Mila na desturi zimetajwa kuchangia kumnyima mwanamke haki ya kumiliki mali hali inayomrudisha nyuma kimaendeleo na kuchochea vitendo vya ukatili wa kijinsia . Na Mariam Matundu.Mariam Matundu amezungumza na mwanasheria kutoka Chama Chama Wanasheria Wanawake TAWLA Neema Ahmed ana anaanza…

13 December 2023, 8:39 pm

Leo tunaangazia uongozi kwa wanawake

Ameanza jitihada za kuhakikisha elimu inatolewa kwa wanawake. Na Mariam Matundu.Mifumo dume pamoja na uwoga vimetajwa kuwa sababu ya baadhi ya wanawake kushindwa kuwania nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali wakati wa chaguzi . Diwani wa kata ya Nala bw.…

13 December 2023, 3:27 pm

Biashara ya nyama choma kijiji cha Terrat

Biashara ya nyama choma ni moja ya biashara inayofanya vizuri haswa katika maeneo ya mijini lakini je Vijijini hali ikoje ? Kijiji cha Terrat kilichopo wilaya ya Simanjiro Mkoa wa Manyara huwa na Soko kila siku ya alhamisi ambapo wachuuzi…

12 December 2023, 9:17 pm

Leo tunaangazia Wafanyakazi wa Nyumbani

Baadhi ya wafanyakazi wa Nyumbani wamekuwa hawana uhuru na vipato vyao. Na Mwandishi wetu. Kufuatia kuwepo kwa wimbo la baadhi ya waajiri na wazazi wa wafanyakazi wa nyumbani kutokuwapa uhuru wa kipato wafanyakazi wao baadhi ya wananchi wametoa maoni yao…

8 December 2023, 11:40 am

Makala: Mkenda ahamasisha kilimo cha parachichi Rombo

Mbunge wa Jimbo la Rombo Pro Adolf Mkenda amekabidhi Miche ya maparachichi zaidi ya elfu moja kwa wakulima kutoka vijiji mbali mba doli Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro. Na Elizabeth Mafie Mbunge wa Jimbo la Rombo Prof Adolf Mkenda amekabidhi Miche…

8 December 2023, 11:09 am

Makala: Bei ya mahindi katika soko la Terrat

Wachuuzi wa mahindi katika soko la Terrat Wakaazi wa kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro wamelalamikia hali ya mfumuko wa bei ya mahindi ulivyongezeka kwa zaidi ya asilimia 100 kutoka shilingi elfu 7,000 hadi shilingi elfu 15,000. Na Isack Dickson.…