Storm FM
Storm FM
22 September 2025, 12:23
Wafugaji na wakulima wameomba Serikali na wadau mbalimbali wa maendeleo kuendeleaa kuwapa mikopo ili waweze kuendesha shughuli zao na kuongeza thamani ya bidhaa wanazozalisha Na Tryphone Odace Benki ya Kilimo Tanzania TADB imesema inaendelea kufanya mapinduzi ya kilimo kwa kuwawezesha…
September 21, 2025, 8:40 am
Ikiwa ni utekelezaji wa agizo la serikali la matumizi ya nishati safi Na Stephano Simbeye KIKOSI cha Jeshi la kujenga Taifa (JKT) 845KJ Itaka wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kimeanza kufundisha jinsi ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia taka za shambani.…
19 September 2025, 12:43 PM
Wakati mwingine wananchi hususani wanaoishi vijijini wanaishi kwa mazoea, kama mtu amezaliwa na kukulia kwenye nyumba isiyo na shimo la taka na yeye analazimisha aishi hivyo siku zote Na Neema Nandonde Kuelekea maadhimisho ya siku ya usafi duniani ambayo hufanyika…
15 September 2025, 12:39 pm
“Tunawashuru walimu kwa kutuandalia safari hii kwani imekuwa yenye tija kwetu katika kufahamu tabia za wanyama” – Mwanafunzi Na: Kale Chongela Wanafunzi wa shule ya msingi Mkoani iliyopo kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita wametembelea shamba la wanyama…
September 11, 2025, 4:47 pm
Ni ya utoro, wizi na uharibifu Na Asteria Kibiki Watoto wanaojihusisha na vitendo vya kuokota vyuma chakavu katika kata ya Ichenjezya, wilayani Mbozi mkoani Songwe wanatuhumiwa kuongoza kwa utoro shuleni na kujifunza tabia za wizi na uharibifu. Pamoja na kutoroka…
30 August 2025, 1:10 pm
“Hatuna utaratibu wa kuwakata wagonjwa wetu miguu” Na Anna Mhina Baadhi ya madereva pikipiki maarufu kama bodaboda wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kuingilia kati suala la kupatiwa haki ya huduma za kiafya pindi wanapopata ajali. Wakizungumza na…
23 August 2025, 8:14 pm
Malezi bora ndiyo msingi wa mafanikio ya baadaye kwani mtoto anayekuzwa katika mazingira mazuri huwa na nafasi kubwa ya kutimiza ndoto zake. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Sakika Mohamed amewataka wazazi na walezi kuweka kipaumbele…
August 19, 2025, 3:20 pm
Baadhi ya wananchi mkoani Kagera wameaswa kuachana na vitendo ya uchomaji hovyo mbuga na mistu ili kutunza mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Na Anold Deogratias Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kagera limetoa onyo kali…
August 13, 2025, 3:18 pm
Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA, imeamua kutoa msamaha wa ushuru kwa malighafi zinazoagizwa kutoka nje ya nchi, ikiwa ni hatua ya kuimarisha uzalishaji wa bidhaa ndani ya nchi na kuweka usawa wa bei sokoni. Na Jenipha Lazaro Meneja…
August 4, 2025, 6:54 pm
Wasimamizi wanatakiwa kufuata sheria, taratibu na miongozo ya Tume Huru ya Uchaguzi kwa kushirikisha vyama vyote vya siasa vyenye usajili kamili katika hatua zote kuepuka migogoro Na Shafiru Athuman- Muleba, Kagera Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata Wilayani Muleba Mkoani…