Storm FM
Storm FM
20 October 2025, 12:51 pm
Hii ni awamu ya nne kupokea madakari bingwa wa mama samia nakwamba katika awamu zilizopita zaidi ya watu 10,000 walifikiwa na huduma hizo. Na Mrisho Sadick: Mkoa wa Geita umepokea madaktari Bingwa 42 kutoka kambi ya Mama Samia watakaotoa huduma…
October 16, 2025, 8:02 am
Kwa ajili ya watoto wachanga wanaozaliwa kabla ya muda (njiti) Na Ezekiel Mwinuka Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU nchini Crispin Chalamila amekabidhi vifaa hivyo leo na kwamba vimenunuliwa kwa michango ya watumishi nchini wa Takukuru nchini kwa lengo la kuunga juhudi…
5 October 2025, 6:40 pm
Baadhi ya wachangiaji wa mada.Picha na Anna Mhina “Tunashindwa kuhudhuria kwasababu hawatekelezi ahadi zao” Na Anna Mhina na Roda Elias Baadhi ya wanawake wa mtaa wa Mpadeko uliopo kata ya Makanyio wilayani Mpanda mkoani Katavi wameiomba mamlaka husika kutoa elimu…
2 October 2025, 7:52 pm
2 October 2025, 5:27 pm
Judith Mbukwa mkuu wa dawati la jinsia na watoto Katavi. Picha na Roda Elias “Ripotini vitendo vya ukatili ili jamii iwe salama” Na Roda Elias Jamii mkoani Katavi imetakiwa kuondokana na dhana ya kuogopa vituo vya polisi hususani dawati la…
2 October 2025, 2:47 pm
Omary Yusuph daktari kitengo cha magonjwa ya wanawake na uzazi. Picha na Anna Mhina “Kuna madhara mengi mojawapo kujifungua kwa operation” Na Anna Mhina Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Msasani uliopo kata ya Mpanda Hotel manispaa ya Mpanda mkoani…
30 September 2025, 12:00 pm
Karibu kusikiliza makala maalumu kuhusu afya ya uzazi. Makala hii inaletwa kwako kupitia Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na WELL SPRING ambao wanatekeleza mradi wenye lengo la kutoa elimu na uchechemuzi juu ya afya ya…
25 September 2025, 7:21 pm
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limewataka wananchi kuwa na uelewa wa vigezo vya kisheria vinavyohitajika ili kesi za udhalilishaji ziweze kufikishwa mahakamani na haki kutendeka kwa waathirika.Akizungumza katika mahojiano maalum na Zenji FM, Mkuu wa…
22 September 2025, 10:28 am
“Habari zisizo na maadili huleta taharuki katika Jamii”DC Sitta Na Adelphina Kutika Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Mhe. Benjamin Sitta, amewaagiza waandishi wa habari kutumia mitandao ya kijamii kwa kuandika na kusambaza habari zenye tija kwa jamii, na si zile…
19 September 2025, 12:38 pm
Baadhi ya washiriki wakiwa kwenye mjadala, aliyesimama ni mtangazaji wa Mpanda radio FM Betord Chove. Picha na Benny Gadau “Ili niweze kupiga kura cha kwanza niwe na kitambulisho” Na Betord Chove na Benny Gadau Mpanda radio FM kwa kushirikiana taasisi…