afya
4 August 2021, 4:54 am
Upatikanaji wa huduma za afya bado ni changamoto.
Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya mji wa Geita bado inakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa huduma za afya kwa baadhi ya maeneo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo upungufu wa watumishi pamoja na kushindwa kukamilika kwa majengo ya Zahanati. Hayo yamebainishwa…
3 August 2021, 2:19 pm
Mtoto alishwa kinyesi Ikulwa.
Na Zubeda Handrish: Mtoto wa darasa la nne ambaye ni mkazi wa kata ya Ikulwa mkoani Geita anadaiwa kulishwa kinyesi na mama yake mlezi (wa kambo) ikisemekana chanzo ni ugomvi wa wazazi. Afisa maendeleo katika kata hiyo Bi. Tabisa James Yawanga amesikitishwa…
24 March 2021, 6:45 pm
Waganga na wakunga wa tiba asili Tanzania wamlilia Dkt. Magufuli
Na Mrisho Sadick – Geita Siku chache baada ya kufariki aliekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Umoja wa waganga na wakuga wa tiba asili Tanzania (UWAWATA) umesema kufariki kwa kiongozi huyo ameacha pengo kubwa…