Uncategorized
15 December 2022, 8:15 pm
Wakazi wa Mtaa wa uwanja wapondwa mawe na watu wasioonekana
Na Mrisho Sadick Wakazi wa Mtaa wa Uwanja Kata ya Nyankumbu wilayani na Mkoani Geita wamekumbwa na taharuki kufuatia tukio la kurushiwa mawe ya ajabu kwenye makazi yao na watu ambao hawaonekani nyakati za mchana na usiku hali ambayo imeendelea…
12 December 2022, 2:54 pm
Moto wa ajabu wateketeza Nyumba
Inspekta Edward Lukuba Jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoani Geita limewataka wananchi kuendelea kutumia namba ya 114 kwa ajili ya kutoa taarifa za majanga ya moto na matukio yanayohitaji uokozi haraka kwakuwa wengi wao wamekuwa wakitoa…
12 December 2022, 2:26 pm
Serikali yaahidi kuendeleza ushirikiano na viongozi wa dini
Serikali imeahidi kuendelea kushirikiana na viongozi wa Dini hapa nchini kwakuwa wamekuwa msaada katika kuchochea shughuli mbalimbali za maendeleo pamoja na kupambana na vitendo vya Ukatili wa kijinsia katika jamii. Kauli…
12 December 2022, 11:00 am
Mchungaji afariki Dunia akidai atafufuka
Na: Mrisho Sadick: Katika hali ya kushangaza Mtu anaedaiwa kuwa Mchungaji alietambulika kwa jina la Abdiel Raphael mwenye umri wa miaka (42) Mkazi wa Mtaa wa Uwanja kata ya Nyankumbu halmashauri ya mji wa Geita amefariki dunia kwa kile kilichoelezwa…
15 April 2021, 6:00 pm
Wananchi washiriki kutengeneza madawati Geita
Na Paul Lyankando: Serikali ya kijiji cha Ikunguigazi wilayani mbogwe mkoani Geita kwa kushirikiana na wananchi wameendelea kutengeneza madawati ili kuondoa changamoto ya wanafunzi zaidi 890 kusomea chini. Mwenyekiti wa kijiji cha Ikunguigazi Bw Jumanne Manyasa amesema kwa kushirikiana na…
14 April 2021, 5:15 pm
Waumini wa dini ya kiislamu Geita washauriwa kuzidisha upenndo
Na Joel Maduka: Waislamu kote duniani leo hii wameanza kufunga kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo hujizuiya kula na kunywa kuanzia alfajiri hadi jua linapozama takriban siku 30 au 29 kutegemea na muandamo wa mwezi. Shehe Mkuu wa…
14 April 2021, 4:02 pm
Wafugaji wakaidi kuchukuliwa hatua kali Geita
Na Kale Chongela Serikali ya mtaa wa Tambukareli kata ya kalangalala Halmashauri ya mji wa Geita imeanza utekelezaji wa kuwachukulia hatua kali wafugaji ambao hawazingatia taratibu na kanuni za ufugaji maeneo ya mjini. Mwenyekiti wa serikali ya mtaa huo Bw Mabula…
9 April 2021, 12:16 pm
Mwanaume (32) wilayani Chato ajinyonga hadi kufa
Na Mrisho Sadick: Mtu mmoja mwenye umri wa miaka (32) mkazi wa kijiji cha Izumangabo kata ya Bwanga wilayani chato mkoani Geita amejinyonga hadi kufa kwa kutumia kikoi cha mke wake huku chanzo cha tukio hilo kikiwa bado hakijafahamika. Tukio…
8 April 2021, 12:23 pm
Mnyama aina ya kima azua taharuki Geita
Na Mrisho Sadick Mnyama aina ya kima au mbega amezua taharuki katika Mtaa wa uwanja mjini Geita baada ya kuingia katika makazi ya watu huku akiwa hajulikani ametoka wapi. Kima akiwa amejificha chooni Wakizungumza na Storm FM baadhi ya wakazi…
27 March 2021, 3:26 pm
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awaondoa hofu wananchi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa baada ya mazishi ya Dkt. John Magufuli , kinachofuata ni utekelezaji wa ahadi zote ambazo yeye na chama chake (Chama cha Mapinduzi) waliahidi wakati wa kampeni za…