Sibuka FM
Sibuka FM
13 December 2025, 3:11 pm
Afisa lishe mkoa wa Mara Bi.Grace Martine mkoa wa Mara kuna 23.4% ya udumavu kwa Watoto,watoto wakipata vitamini A na dawa za minyoo vifo vya watoto vitapungua kwa 24% Na Catherine Msafiri , Wazazi wameaswa kuhakikisha wanawapeleka watoto wao wenye…
3 December 2025, 12:57 am
Halmashauri ya wilaya ya Karagwe mkoa wa Kagera imepata mwenyekiti mpya Bw. Longino Rwenduru baada ya kupigiwa kura 32 za ndiyo kati ya kura 32 zilizopigwa na madiwani wa halmashauri hiyo akirithi mikoba ya mwenyekiti wa muda mrefu Wallace Mashanda…
2 December 2025, 4:24 pm
Wataalamu wa afya wanaendelea kutekeleza afua mbalimbali kwenye jamii ikiwemo kutoa elimu juu ya watu kujikinga na maambukizi mapya ya vvu, kuhamasisha wananchi kupima na kujua afya zao, kuendelea kuhamasisha waliogundulika kuwa na maambukizi kutumia dawa kwa usahihi ili kufubaza…
20 November 2025, 7:55 pm
Usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa UVIDA una athari nyingi ambapo ni pamoja na gharama kubwa ya matibabu, hatari ya ugonjwa wa figo n.k Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa jamii kuhakikisha wanamaliza dozi za dawa wanazokuwa wamepewa…
18 November 2025, 12:54 pm
Rehema Kapile afisa lishe makundi yote sita ya vyakula ni rahisi kupata na hata kwa jamii zenye uchumi wa chini hivyo wajawazito watumie ili kuepukana na athari zinazoweza kutokea akiwa na lishe duni. Na Catherine Msafiri, Ukosefu wa lishe bora kwa…
14 November 2025, 1:00 pm
Dr. Victor Christopher hospitari ya rufaa ya kumbukumbu ya mwalimu Nyerere inapokea wagonjwa wengi wapya kwa mwezi takribani 2500 hadi 3000. Na Catherine Msafiri, Imeelezwa kuwa uzito mkubwa, unywaji wa pombe kupita kiasi, ulaji wa chumvi nyingi vyatajwa kuwa miongoni…
22 October 2025, 9:31 pm
Baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali za kisiasa mkoani Kagera wameendelea na kampeni zao kwa ajili ya kunadi sera zao katika wiki hii ya lala salama Na Theophilida Felician, Missenyi Zikiwa zimesalia siku chache wananchi kutimiza haki na wajibu wao…
13 October 2025, 11:38 am
Wananchi wa kata ya Kyaka wilayani Misseyi mkoa wa Kagera wametakiwa kudumisha amani ili kulisaidia jeshi la polisi kulinda raia na mali zao hasa wakati huu taifa linapojiandaa na uchaguzi mkuu Na Theophilida Felician Kagera. Chama cha ACT WAZALENDO jimbo…
10 October 2025, 12:23 pm
Dkt. Charles ameonya tabia ya kutumia dawa za macho za maji bila ushauri wa kitaalamu,ataja madhara yanayoweza kutokea kama presha ya macho. Na Catherine Msafiri Katika jitihada za kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kutunza afya ya macho, Daktari Bingwa wa…
10 October 2025, 6:43 am
“Lengo ni kuwapenda watoto na kuwajali katika Bwana” Na John Benjamin Jamii mkoani Katavi imesisitizwa kutambua haki za watoto na kuhakikisha kuwa wanalelewa katika mazingira salama yenye heshima na upendo Hayo yamebainishwa na mrakibu na Afisa wa jeshi la polisi…
9 October 2025, 12:06 pm
Bw.Paul Nesphori mtaalamu wa saikolojia na ujasiri Kutoka hospitali ya rufaa ya kumbukumbu ya mwalimu Nyerere aeleza ukatili wa kijinsia ni chanzo cha matatizo ya afya ya akili katika mkoa wa Mara. Na Catherine Msafiri, Ikiwa kesho Dunia ainaadhimisha siku…
6 October 2025, 2:30 pm
Saratani ya matiti inaweza kutibika iwapo itagundulika mapema. Njia za kuzuia ni pamoja na kujichunguza mara kwa mara, kupima kliniki, kuishi maisha yenye afya, na kuepuka vihatarishi kama vile unywaji wa pombe kupita kiasi na uvutaji wa sigara. Na Asha…
5 October 2025, 7:36 pm
Kati ya changamoto zilizoko katika kata ya Mabale, Mgombea udiwani ameshtushwa na hali ya kituo kilichojengwa kwa miti na kukandikwa kwa udongo kutumika kama zahanati ya kijiji cha Kibeo wilaya ya Missenyi mkoani Kagera Na Theophilida Felician, Bukoba. Mgombea udiwani…
3 October 2025, 6:41 pm
Mgombea udiwani anayedai kusukumwa na uchakavu wa miundombinu ya soko la Kashai na kwamba anaweza kutatua changamoto hizo kwa kuwa naye ni mhanga. Na Theophilida Felician, Bukoba Mgombea udiwani kata ya Kashai manispaa ya Bukoba mkoani Kagera kupitia chama cha…
2 October 2025, 7:52 pm
2 October 2025, 5:27 pm
Judith Mbukwa mkuu wa dawati la jinsia na watoto Katavi. Picha na Roda Elias “Ripotini vitendo vya ukatili ili jamii iwe salama” Na Roda Elias Jamii mkoani Katavi imetakiwa kuondokana na dhana ya kuogopa vituo vya polisi hususani dawati la…
1 October 2025, 8:10 am
“Mwaarobaini wa soko la kahawa jimbo la Karagwe ni kufuta vyama vya ushirika na kuongeza thamani ya zao hilo kwa kujenga viwanda kila kata”…Anasema Mhina Na Shabani Ngarama, Karagwe, Kagera Mgombe ubunge jimbo la Karagwe Bw. Rwegasira Hemed Mhina ameahidi…
30 September 2025, 1:28 pm
Halmashauri ya wilaya ya Rorya kinara tatizo la ugonjwa wa selimundu (Sickle cell) kwa asilimia kubwa ikiwa na wagonjwa 1500 kati ya wagonjwa 5037 kwa mkoa wa Mara. Na Catherine Msafiri Imeelezwa kuwa Halmashauri ya wilaya ya Rorya ndio kinara…
29 September 2025, 1:27 pm
Sikiliza makala haya maalumu kuhusu uelewa wa jamii kuhusu uzazi wa mpango hatua ya kujenga jamii na uchumi. Na Dinnah Shambe Katika jamii nyingi, suala la uzazi wa mpango limeendelea kuwa jambo lenye mjadala mkubwa, hasa kutokana na mitazamo tofauti…
19 September 2025, 12:56 pm
Uwepo wa changamoto katika kata mbalimbali katika jimbo la uchaguzi Missenyi mkoani Kagera imekuwa fursa ya wagombea kujinadi wakati wa kampeni za uchaguzi wakiahidi kutatua changamoto hizo endapo watachaguliwa kwa nafasi wanazosigombea Na Theophilida Felician, Missenyi, Kagera. Mhandisi Sweetbert Kaizilege…