Sibuka FM

Jamii

30 April 2024, 7:04 pm

Miti million moja na nusu kurejesha uoto wa asili Maswa

Maswa kurejesha uoto wa asili kwa zoezi endelevu la upandaji miti ili kuhakikisha wilaya inatunza vyanzo vya maji nakuifanya Maswa kuwa ya kijani. Na,Poul Yohana Halmashauri ya wilayani Maswa mkoani Simiyu imepanda miti 252 katika jengo la wanafunzi wenye mahitaji…

22 April 2024, 11:36 am

Maswa usalama wa mtoto siyo jukumu la walimu pekee

Usalama wa mtoto siyo jukumu la walimu wala mamlaka zinazohusika na maswala hayo wazazi ni nguzo muhimu sana katika kuyatengeneza maisha ya mtoto na kumwandalia misingi iliyo bora ili kuweza kukomesha vitendo vya ukatili dhidi yao. Na, Daniel Manyanga  Katika…

11 March 2024, 5:43 pm

Ongezeko la mamba mto Simiyu latishia maisha ya wananchi

Na,Alex Sayi-Simiyu Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania TAWA Kanda ya Ziwa, wabainisha kuwa  uwepo wa mtawanyiko wa Maji kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha kwa hivi sasa kumechangia ongezeko la Mamba mto Simiyu hivyo kuhatarisha maisha ya wananchi wanaoishi karibu na…

1 March 2024, 5:03 pm

Wanawake jamii ya kihadzabe Meatu waomba msaada wa Rais Samia

Jamii ya kihadzabe  inayoishi pembezoni mwa pori la hifadhi Makao Wilayani Meatu Mkoani Simiyu yahofia kutoweka kutokana na mabadiliko ya tabia ya Nchi. Na,Alex Sayi Wanawake wa jamii ya kihadzabe wamuomba Rais Dkt,Samia kulinusuru kabila hilo ili lisiweze kutoweka kutokana…

16 July 2021, 1:37 pm

RC Kafulila awahakikishia wakazi wa kijiji cha Malampaka kutatua Kero za…

Mkuu  wa  Mkoa  wa  Simiyu    Mh   David Kafulila amewahakikishia  wananchi  wa   Malampaka  na   mkoa   wa  Simiyu kutatua  Kero  zote  zinazowakabili   ili kuendana  na  kasi  ya  Rais   wa   awamu  ya  Sita  Mh, Samia   Suluhu   Hasani. Mh,   Kafulila  amesema  hayo  wakati  akizungumza …