Pangani FM

UZIKWASA

31 March 2026, 18:56

Afukiwa na kifusi akienda kutoa msaada mgodini

tukio hilo lilotekea tarehe 27/3/2026 majira ya saa kumi na moja jioni Na Adelinus Banenwa na Mussa Kagole Mwanaume mmoja mkazi wa mtaa wa Nyamilama kata ya Kabasa alietambulika kwa jina la Mfungo Budigila 62 amefariki dunia kwa kufukiwa na…

24 March 2026, 19:56

Akutwa amefariki chanzo chatajwa ni tembo

Tembo akiwa katika mazingira yake (picha kwa msaada wa mitandao) Baada ya jeshi la polisi kufika walifanya uchunguzi na kukabidhi mwili kwa ndugu kwa ajili ya kuendelea na taratibu za mazishi . Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina…

23/03/2026, 16:31

Tehama yaimarishwa Zanzibar, mapya yanakuja

Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu, Mudrik Ramadhani Soraga, amesema serikali imefanikiwa kutoa mafunzo ya TEHAMA kwa wananchi zaidi ya 7,500 kupitia vituo vya TEHAMA jamii Unguja na Pemba. Na Mary Julius. Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari…

18 March 2026, 3:15 pm

Serikali ya Burundi yapongezwa kulinda, kudumisha amani DRC

Wanyamulenge imempongeza Rais Evariste Ndayishimiye kwa juhudi zake za kusimamia amani nchini DRC,kusaidia na kuwajali watu wa Kongo Na. Bukuru Daniel Jamii ya Wanyamulenge kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokarsia ya Kongo wamempongeza Rais Evarsite Ndayishimiye katika jukumu la serikali yake…

18 March 2026, 14:48

TAKUKURU Kigoma yatoa Iftar kujumuika na jamii

Vitendo vya ukatili ambavyo vimeendelea kutokea katika jamii viongozi wa dini wamehimizwa kuendelea kutoa elimu ili kusaidia kudhibiti vitendo hivyo Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Chuachua, ametoa wito kwa viongozi na waumini wa dini ya…

13 March 2026, 6:05 pm

Watumishi sita wa afya wafa maji Kigoma

watu sita wamethibitika kufariki dunia na miili yao imepatikana, huku watu wengine watatu waliokuwa kwenye boti hiyo wakiendelea kutafutwa na vikosi vya uokoaji kwa kushirikiana na wananchi Na. Abdunuru Shafii Watumishi sita wa Idara ya Afya kutoka Halmashauri ya Wilaya…

10 March 2026, 14:43

Wazazi, walezi watakiwa kushirikiana kuwalinda watoto Kasulu

Biashara haramu ya binadamu ni moja ya matatizo makubwa ya kijamii yanayoikumba dunia ya leo kwa kusafirisha, kudanganya au kulazimisha watu kufanya kazi au vitendo fulani kwa manufaa ya watu wengine bila ridhaa yao. Na Mwandishi wetu Wazazi na walezi…

09/03/2026, 11:53

Wanawake wenye kipato cha kawaida kujitoa kwa wahitaji

Na Lilian Martin Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) wilayani Masasi Bi. Mariam kasembe amewapongeza wanawake waliojitoa kuhudumia watoto wenye mahitaji katika kituo kilichopo kata ya Napupa mtaa wa wapiwapi Licha ya pongezi hizo Bi Mariam alimuomba Mbunge wa jimbo…

9 March 2026, 09:18

Jamii yaaswa kutofumbia macho ukatili Kakonko

Kutoa taarifa za ukatili ni jukumu la kila mwanajamii kwani kutasaidia kulinda maisha ya watu, kuwapatia wahanga msaada, kuzuia ukatili kuendelea na kuhakikisha haki inatendeka. Na Dotto Josephati Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa kuachana na tabia ya kufumbia macho vitendo vya…

4 March 2026, 16:51

Wananchi waaswa kupinga vitendo vya ukatili Kigoma

Ushiriki wa wananchi katika kukemea vitendo vya ukatili ni msingi muhimu wa kujenga jamii salama, yenye haki na usawa na wanaposhiriki kikamilifu, husaidia kuzuia uhalifu, kulinda waathirika, na kuimarisha mshikamano wa kijamii. Na Mwandishi wetu Kuelekea maadhimisho ya siku ya…