Pangani FM
Pangani FM
11 February 2026, 8:59 pm
Na Denis Mtamwega. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelitaka Jeshi la Polisi kutumia kitengo cha Makosa ya kimtandao katika kuthibiti matukio ya uhalifu dhidi ya mitandao ikiwemo utapeli wa mitandao na vitendo vya uvunjifu wa maadili…
8 February 2026, 9:45 pm
Madaktari walithibitisha kuwa chanzo cha tukio hilo ni mtoto kunywa maji. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kuacha tabia ya kuchimba madimbwi pamoja na mashimo ya choo kisha kubaki wazi muda mrefu ili kuepuka madhara ya watoto kudumbukia na…
6 February 2026, 7:31 pm
Tukio hilo limetokea tangu siku ya Alhamis tarehe 5 Feb 2026 majira ya saa kumi za jioni ambapo tangu wakati huo hadi sasa jitihada za kumtafuta mtoto huyo zinaendelea. Na Adelinus Banenwa Mtoto mmoja aliyetambulika kwa jina la Enock Kulwa…
2 February 2026, 6:59 pm
Katika kuadhimisha miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi, kata ya Masama Kati imepanda miti katika kituo cha Afya Masama kati pamoja na kutembelea jengo la wamama wajawazito na kuwalipia gharama za matibabu. Na Oliver Joel, Hai-Kilimanjaro Katika kuadhimisha miaka 49…
28 January 2026, 15:04
Familia ni msingi muhimu sana katika malezi na ukuaji wa mtoto kwani mtoto hupata upendo, ulinzi, maadili na mwelekeo wa maisha, hata hivyo, pale migogoro inapojitokeza mara kwa mara ndani ya familia, huathiri vibaya maendeleo ya ukuaji wa mtoto katika…
18 January 2026, 4:14 pm
kulelewa kwa mtoto na mzazi mmoja pekee kunaweza kusababisha changamoto mbalimbali ikiwemo upweke, msongo wa mawazo na athari nyingine za kisaikolojia Ezra Mesharck Wazazi wametakiwa kushirikiana kikamilifu katika malezi ya watoto wao ili kuhakikisha watoto wanakua katika mazingira salama, yenye…
6 January 2026, 10:59 am
Taarifa iliyotolewa kwa njia ya simu na Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara, Augustin Magere, chanzo cha moto huo kimebainika kuwa ni sebuleni mwa nyumba hiyo. Na Thomas Masalu, Majanga yameikumba familia moja katika eneo…
12 December 2025, 18:11
Wadau mbalimbali wa masuala ya ukatili wa kijinsia kwa kushirikiana na Serikali wametakiwa kuendelea kutoa elimu na mikakati ya kukabiliana na vitendo vya ukatili Na Hagai Ruyagila Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Hassan Rugwa, amewataka wadau wa maendeleo kuendelea…
8 December 2025, 16:23
Wito umetolewa kwa jamii kuendelea kukemea vitendo vya ukatilii ambavyo vimekuwa vikifanyika kwa jamii Na Prisca Kizeba Wanawake Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameaswa kuwalinda watoto wao dhidi ya vitendo vya ukatili unaoendela katika jamii Hayo yamesemwa na Afisa Ustawi…
28 November 2025, 15:31
Wakati tukiwa ndani ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na elimu ikiendelea kutolewa katika maeneo mbalimbali na makundi mbalimbali hasa watoto na wanawake, serikali imetakiwa kuweka sheria kali dhidi ya watuhusu wa matukio ya ukatili Na Sadick Kibwana…