Pangani FM
Pangani FM
12 December 2025, 18:11
Wadau mbalimbali wa masuala ya ukatili wa kijinsia kwa kushirikiana na Serikali wametakiwa kuendelea kutoa elimu na mikakati ya kukabiliana na vitendo vya ukatili Na Hagai Ruyagila Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Hassan Rugwa, amewataka wadau wa maendeleo kuendelea…
8 December 2025, 16:23
Wito umetolewa kwa jamii kuendelea kukemea vitendo vya ukatilii ambavyo vimekuwa vikifanyika kwa jamii Na Prisca Kizeba Wanawake Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameaswa kuwalinda watoto wao dhidi ya vitendo vya ukatili unaoendela katika jamii Hayo yamesemwa na Afisa Ustawi…
28 November 2025, 15:31
Wakati tukiwa ndani ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na elimu ikiendelea kutolewa katika maeneo mbalimbali na makundi mbalimbali hasa watoto na wanawake, serikali imetakiwa kuweka sheria kali dhidi ya watuhusu wa matukio ya ukatili Na Sadick Kibwana…
25 November 2025, 17:08
Katika kukabiliana na vitendo vya ukatili kwenye jamii, wanamabadiliko wa masuala ya ukatili wa kijinsia wamepewa baiskeli ili waweze kuwafikia wahanga wa vitendo hivyo. Na Hagai Ruyagila Shirika la Kivulini kwa kushirikiana na shirika la Plan International chini ya ufadhili…
18 November 2025, 13:04
Vitendo vya ukatili kwa vijana ni tabia au matendo yanayowadhuru kimwili, kihisia, kijinsia, au kijamii na ukatili huu unaweza kufanywa na watu wazima, wenzao, au hata mamlaka. Na Sadick Kibwana Vijana katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameiomba Serikali kuendelea kutoa…
23 October 2025, 12:41
Licha ya jitihada mbalimbali za Serikali na wadau kutoa elimu ya masuala ya ukatili bado ukatili kwa njia ya mitandao umeonekana kuwa tatizo kwenye jamii Na Mwandishi wetu Makundi yenye jukumu la malezi katika jamii yametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya…
22 October 2025, 8:47 pm
“Wananchi acheni kudanganyana kuandamana bila sababu za msingi bali mnatakiwa muandamane kwenda kupiga kura na kuwachagua viongozi sahihi.“ Na Theresia Damasi Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa kigoma Kamishna msaidizi mwandamizi Emmanuel Filemon Makungu amewataka wananchi wa mkoa wa…
14 October 2025, 8:26 pm
Wasichana hao waliozalishwa katika umri mdogo na kutelekezwa walifikiwa na Shirika la EDO na kupatiwa mafunzo ya ujuzi wa ushonaji na kilimo cha bustani ya mbogamboga na matunda hivyo kuwasaidia kujitegemea wao na familia zao. Na Nicolatha Mpaka Wakina mama…
10 October 2025, 12:32
Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo katika kutoa elimu na hamasa kwa wananchi ili waweze kushiriki katika mikakati ya kutokomeza vitendo vya ukatili kwenye jamii. Na Mwandishi wetu Wananchi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa tayari…
September 29, 2025, 5:50 pm
Wamiliki wa nyumba za kulala wageni wilayani Muleba wameaswa kutekeleza wajibu wao wa ulipaji kodi, pamoja na kutumia mashine za kielektroniki ili kulipa kodi sahihi kwa mamlaka ya mapato nchini TRA. Na Anold Deogratias Mamlaka ya Mapato Tanzania – TRA…