Pangani FM
Pangani FM
10 March 2026, 14:43
Biashara haramu ya binadamu ni moja ya matatizo makubwa ya kijamii yanayoikumba dunia ya leo kwa kusafirisha, kudanganya au kulazimisha watu kufanya kazi au vitendo fulani kwa manufaa ya watu wengine bila ridhaa yao. Na Mwandishi wetu Wazazi na walezi…
09/03/2026, 11:53
Na Lilian Martin Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) wilayani Masasi Bi. Mariam kasembe amewapongeza wanawake waliojitoa kuhudumia watoto wenye mahitaji katika kituo kilichopo kata ya Napupa mtaa wa wapiwapi Licha ya pongezi hizo Bi Mariam alimuomba Mbunge wa jimbo…
9 March 2026, 09:18
Kutoa taarifa za ukatili ni jukumu la kila mwanajamii kwani kutasaidia kulinda maisha ya watu, kuwapatia wahanga msaada, kuzuia ukatili kuendelea na kuhakikisha haki inatendeka. Na Dotto Josephati Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa kuachana na tabia ya kufumbia macho vitendo vya…
4 March 2026, 16:51
Ushiriki wa wananchi katika kukemea vitendo vya ukatili ni msingi muhimu wa kujenga jamii salama, yenye haki na usawa na wanaposhiriki kikamilifu, husaidia kuzuia uhalifu, kulinda waathirika, na kuimarisha mshikamano wa kijamii. Na Mwandishi wetu Kuelekea maadhimisho ya siku ya…
11/02/2026, 20:59
Na Denis Mtamwega. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelitaka Jeshi la Polisi kutumia kitengo cha Makosa ya kimtandao katika kuthibiti matukio ya uhalifu dhidi ya mitandao ikiwemo utapeli wa mitandao na vitendo vya uvunjifu wa maadili…
8 February 2026, 21:45
Madaktari walithibitisha kuwa chanzo cha tukio hilo ni mtoto kunywa maji. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kuacha tabia ya kuchimba madimbwi pamoja na mashimo ya choo kisha kubaki wazi muda mrefu ili kuepuka madhara ya watoto kudumbukia na…
6 February 2026, 19:31
Tukio hilo limetokea tangu siku ya Alhamis tarehe 5 Feb 2026 majira ya saa kumi za jioni ambapo tangu wakati huo hadi sasa jitihada za kumtafuta mtoto huyo zinaendelea. Na Adelinus Banenwa Mtoto mmoja aliyetambulika kwa jina la Enock Kulwa…
2 February 2026, 6:59 pm
Katika kuadhimisha miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi, kata ya Masama Kati imepanda miti katika kituo cha Afya Masama kati pamoja na kutembelea jengo la wamama wajawazito na kuwalipia gharama za matibabu. Na Oliver Joel, Hai-Kilimanjaro Katika kuadhimisha miaka 49…
28 January 2026, 15:04
Familia ni msingi muhimu sana katika malezi na ukuaji wa mtoto kwani mtoto hupata upendo, ulinzi, maadili na mwelekeo wa maisha, hata hivyo, pale migogoro inapojitokeza mara kwa mara ndani ya familia, huathiri vibaya maendeleo ya ukuaji wa mtoto katika…
18 January 2026, 4:14 pm
kulelewa kwa mtoto na mzazi mmoja pekee kunaweza kusababisha changamoto mbalimbali ikiwemo upweke, msongo wa mawazo na athari nyingine za kisaikolojia Ezra Mesharck Wazazi wametakiwa kushirikiana kikamilifu katika malezi ya watoto wao ili kuhakikisha watoto wanakua katika mazingira salama, yenye…