Pangani FM
Pangani FM
16 December 2025, 11:03 am
Mwezi wa Afya na Lishe ni kampeni ya kitaifa inayofanyika kila mwaka kuanzia Desemba 1 hadi 31, yenye lengo la kuboresha afya ya mama na mtoto kwa kutoa huduma muhimu za lishe katika vituo vya kutolea huduma za afyana huduma…
12 December 2025, 8:16 pm
picha kwa msaada wa AI Na mwandishi wetu Evanda Barnaba Kuhudhuria maadhurio ya kliniki ya mtoto ni jambo la muhimu sana kwa mzazi, kwani ni fursa ya kipekee ya kufuatilia maendeleo ya afya ya mtoto wako. Kliniki inatoa nafasi ya…
December 3, 2025, 5:07 pm
Madiwani wa Kata mbalimbali katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameahidi kusimamia miradi yote ya maendeleo pamoja na kusimamia ukasanyaji wa mapato katika Halmashauri hiyo ili kuiwezesha serikali kujitegemea kupitia mapato ya ndani. Na; Sharifat Shinji Madiwani wateule katika Halmashauri ya…
24 November 2025, 2:15 pm
Matumizi holela ya dawa yanatajwa kuwa moja kati ya sababu zinaochangia usugu wa vimelea dhidi ya dawa ambayo husababisha vifo vya watu millioni 1.1 kila mwaka duniani. Na Sabina Martin Jamii nchini imetakiwa kutumia dawa kwa kuzingatia maelekezo yadaktari ili…
24 November 2025, 1:26 pm
Habari za uongo zimekuwa kikwazo kikubwa katika maendeleo ya biashara, hasa katika jamii zinazotegemea taarifa sahihi kufanya maamuzi ya ununuzi na uuzaji. Na Aloycia Mhina Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya ya Kilosa, Ndugu Joshua Chaluza Mbarikiwa, ametoa wito kwa wafanyabiashara na…
24 October 2025, 6:16 pm
Kuelekea uchaguzi mkuu, kumekuwa na ongezeko la habari za uongo na uzushi zinazosambazwa hasa kupitia mitandao ya kijamii. Habari hizi huwalenga wagombea, vyama vya siasa na taasisi mbalimbali kwa lengo la kupotosha umma, kuchafua sifa za watu au kuvuruga amani.…
18 October 2025, 9:12 pm
Hatua hiyo inalenga kurejesha mamlaka ya kiuchumi mikononi mwa wananchi na kuhakikisha rasilimali za taifa zinawanufaisha Watanzania wengi badala ya wachache. Na Mrisho Sadick: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA TADEA, Georges Busungu, amesema…
October 17, 2025, 5:40 pm
“NCCR Mageuzi hatuko tayari kuona uchaguzi unaingiliwa au kuvurugwa na wahuni kwa mwavuli wa Maandano kwa sababu hii chama kinawaagiza wagombea wake, viongozi, wanachama, mashabiki na marafiki zetu kwenda kupiga kura” Amesema ndg Faustine. Na; Irene Charles Mkuu wa idara…
October 16, 2025, 8:02 am
Kwa ajili ya watoto wachanga wanaozaliwa kabla ya muda (njiti) Na Ezekiel Mwinuka Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU nchini Crispin Chalamila amekabidhi vifaa hivyo leo na kwamba vimenunuliwa kwa michango ya watumishi nchini wa Takukuru nchini kwa lengo la kuunga juhudi…
15 October 2025, 3:07 pm
Ngombalemwiru ameeleza kuwa serikali atakayoiunda itaweka mfumo rafiki wa huduma za afya utakaolenga utu na heshima ya binadamu. Na Mrisho Sadick: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Wakulima Tanzania (AAFP) Kunje Ngombalemwiru ameahidi kuondoa kabisa…