Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
30 May 2025, 7:20 pm
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Chama Cha Mapinduzi kimesema Wajumbe wake wa Mkutano Mkuu wa Taifa , wanaondoka katika Jiji la Dodoma huku wakiwa wamebeba matumaini ya kupata ushindi kuliko wakati wowote. Mamia ya Wajumbe hao toka Mikoa ya Tanzania Bara…
28 May 2025, 9:06 pm
Wajumbe wanaopokea rushwa kwa wagombea wamekuwa chanzo cha viongozi wasiowajibika kwa wananchi. Na Cleef Mlelwa Uwepo wa mifumo ya kisiasa ambayo inaamini katika kugawa vitu kwa wananchi badala ya kuwajengea uwezo utakao wasaidia kujiletea maendeleo na kujitegemea imetajwa kuwa ndio…
16 May 2025, 7:40 pm
Ikiwa imebaki miezi kadhaa kufanyika kwa uchaguzi mkuu Octoba 2025 ,zoezi la uhakiki wa taarifa pamoja na kuboresha taarifa za wapiga kura katika daftari la kudumu la mpiga kura limeanza rasmi katika maeneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo wilaya ya Hai.…
May 14, 2025, 11:30 am
Ni chakula cha asili, wanadai wanakipenda kuliko nyama ya ng’ombe au mayai Na Mwandishi Wetu Baadhi ya Wakazi wa Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wametoa wito wa kuenzi vyakula vya asili kikiwamo kikanda maarufu kwa jina la kinaka. Wakizungumzia kuhusu…
13 May 2025, 6:49 pm
Kaim Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Manyara Adam Mbwana, amesema TAKUKURU mkoa wa Manyara imeokoa zaidi ya shilingi milioni 300 kwa kipindi cha janaury -march Na Mzidalfa Zaid Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Manyara imeokoa…
12 May 2025, 1:00 pm
Katika kuendelea kulinda ardhi oevu ya Bonde la Kilombero vinara wa uhifadhi wakusudia kujielekeza katika mbinu za kuhakikisha bonde hilo linabaki salama Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya amefungua rasmi Mtandao wa Vinara wa Uhifadhi…
10 May 2025, 8:15 am
Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya amefungua rasmi Mtandao wa Vinara wa Uhifadhi wa Bonde la Kilombero (KNCC) kupitia warsha ya siku mbili iliyofanyika kuanzia Mei 8 hadi 9, 2025. Katika hotuba yake ya ufunguzi,…
19 April 2025, 11:44 AM
Katibu wa NEC, itikadi, uenezi na mafunzo CCM taifa, CPA Amos Makala akihutubia wanachama na wananchi wilayani Masasi. Picha na Godbless Lucius Si kila gari lililobeba makaa ya mawe ni kwaajili ya kusafirisha kwenda kuuza nje ya nchi, kuna viwanda …
11 April 2025, 2:06 PM
Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche akizungumza kwenye kipindi cha Asubuhi cha Morning Booster kinachorushwa na redio Fadhila. Picha na Godbless Lucius Hata chama cha CHADEMA kikifanikiwa kushika dola, kisipotendenda haki kwa watanzania sisi kama…
22 March 2025, 5:24 pm
Na; Isidory Mtunda Zaidi ya miche elfu ishirini imepandwa katika Shule ya Sekondari Njiwa, iliyopo Kata ya Njiwa, Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi pamoja na kuhamasisha elimu ya utunzaji…