Orkonerei FM

ORKONEREI FM

8 May 2024, 2:11 pm

Unatoaje taarifa za rushwa kwenye kituo cha afya?

Na Isack Dickson. Kwa mujibu wa sera ya afya ya mwaka 2020 inakemea rushwa kwenye utoaji wa huduma za afya na inasisitiza uwazi, uwajibikaji na maadili katika sekta ya afya. Bado changamoto kubwa jamii haina uelewa namna ya kuripoti vitendo…

2 May 2024, 8:08 am

Wazee ni muhimu katika miradi ya Maji.

Na Evander Barnaba. Wazee wamekuwa ni watu muuhimu mno katika maamuzi mbalimbali kwenye jamii,na hii ni zaidi kwa jamii za kifugaji haswa Wamasai iwe ni kwenye maamuzi ngazi ya Familia,Kijiji na hata jamii kwa ujumla. Katika makala fupi hii ya…