Mpanda FM
Mpanda FM
15 September 2025, 9:50 pm
Na Mary Julius, Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ADA-TADEA, ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho Juma Ali Khatibu amesema dhamira ya chama chake ni kuendelea kuiunga mkono serikali iliyopo madarakani kutokana na kazi nzuri inayofanywa katika kuwaletea…
14 September 2025, 11:18 pm
Na Mary Julius. Mgombea urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha the United People’s Democratic Party UPDP, Hamad Mohammed Ibrahim, ameahidi kuwa endapo itapata ridhaa na kuingia madarakani seriakali yake itajenga viwanda vya kusarifu karafuu na mazao mengine ili kuleta…
September 10, 2025, 6:17 am
Na Denis sinkonde na Anord Kimbulu Jumla ya watahiniwa 2641 wanatarajia kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi wilayani Ileje Mkoani Songwe utakaofanyika Septemba 10 na 11 mwaka huu. Akizungumza na Ileje Fm juu ya maandalizi ya mitihani hiyo Mkurugenzi…
8 September 2025, 7:53 pm
Baadhi ya wachangia mada wa kata ya Mpanda Hotel. Picha na Anna Mhina “Tutamtia moyo na kumheshimu kwani amethubutu” Na Anna Mhina na Roda Elias Baadhi ya wananchi wa kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza wajibu…
3 September 2025, 1:49 pm
Na Mary Julius. Mgombea wa uwakilishi jimbo la Tunguu, kupitia Chama Cha Mapinduzi Simai Mohammed Said, ameahidi kufanya Kampeni za kistaarabu kama ilivyoagizwa na viongozi wakuu wa chama chake. Simai ameyasema hayo leo mara baada ya kuchukua fomu katika ofisi…
27 August 2025, 4:17 pm
Na Is-haka Mohammed. Wananchi wa jimbo la Micheweni Wilaya ya Micheweni Pemba wameombwa kukiunga mkono chama cha CHAUMA na Wagombea wake ambao kitawasimamisha kupitia nafasi mbali mbali za uongozi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.Ombi hilo limetolewa na Makamo Mwenyekiti…
17 August 2025, 3:15 pm
“kikao cha halmashauiri kuu kupitia chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Katavi kilichofanyika August 13,2025 kimewateua wagombea udiwani katika kata hizo“ Na Anna Milanzi-Katavi Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Katavi kimeteua majina ya wagombea udiwani katika kata 58 zilizopo…
16 August 2025, 8:48 pm
Na Mary Julius. Kamishina wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC, Awadhi Ali Saidi, amewataka wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wa majimbo kuhakikisha kila mwenye haki ya kupiga kura anatekeleza haki hiyo bila kuwepo vikwazo. Akizungumza wakati akifunga mafunzo ya siku tano…
16 August 2025, 4:39 pm
Na Mwandishi wetu Kamishina mstaafu wa Tume ya kurejebisha Katiba Tanzania Nassor Khamis Mohamed amesema aliyekuwa Balozi wa Cuba Humphire Polepole anapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu na kufunguliwa mashitaka kwa Manufaa ya Taifa na kulinda misingi ya Muungano wa Tanganyika…
15 August 2025, 5:38 pm
Na Mwandishi watu Mgombea mweza nafasi ya Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ADA Tadea, Ali Makame Issa,amesema Rais Dk Samia Suluhu Hassan kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa tike ya chama cha mapinduzi kunatokana na kudura…