Mpanda FM

SIASA

18 October 2025, 5:49 pm

Samia aahidi kuimarisha miundombinu Katavi

“kama watampa ridhaa ya kuendelea kuiongoza nchi atahakikisha mkoa wa Katavi unapata kipaumbele katika ujenzi wa barabara na madaraja ili kuunganisha mkoa huo na maeneo jirani ya ndani na nje ya nchi.” Na Restuta Nyondo Mgombea urais wa Jamhuri ya…

October 15, 2025, 9:44 am

Wakulima wapewa mbinu bora za uzalishaji kahawa Songwe

Na Anord Kimbulu, Songwe Katika kuhakikisha kuwa zao la kahawa aina ya Arabika kutoka Nyanda za juu Kusini linaendelea kufanya vizuri kwenye soko la kimataifa, wakulima wa kahawa wilayani Mbozi mkoani Songwe, wameanza kunufaika na mafunzo ya kitaalamu pamoja na…

October 10, 2025, 9:54 am

Siku ya afya ya akili duniani Dkt. Hokololo atoa somo

Kwenye picha ni Dkt. Hokororo mtalamu wa Afya ya Akili kutoka hospitali ya wilaya ya Nyasa Hayo yameelezwa na Mtaalamu wa Masuala ya kiafya ya akili na Saikolojia, Dkt. Hokololo akizungumza na Unyanja Fm katika kipindi maalumu ambapo amesema kuwa…

06/10/2025, 22:28

Safari ya Asha Juma kombo,kwenye ulingo wa Siasa

Na Ivan Mapunda “Niligombania mwaka 2020 katika nafasi ya uwakilishi jimbo la mfenesini ila kura zangu hazikutosha kura Nilipata kura 1  katika kura 100” Katika uchaguzi wa uwakilishi uliofanyika  katika jimbo la Mfenesini jina la Asha Juma Kombo lipo katika…

03/10/2025, 10:28

Wazee Kasulu wataja changamoto zinazowakabili

Wazee Katika Halmashauri ya Mji Kaasulu walia na serikali kukabiliana na uonevu wanaoupitia katika maishayao ya kawaida. Na; Emily Adam Baadhi ya wazee katika Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa huduma bora ya…

02/10/2025, 22:24

UDP yaja na mapinduzi ya karafuu Zanzibar

Na Mary Julius. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha United Democratic Party (UDP), Saumu Rashid, amesema akipata ridhaa ya kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atahakikisha kuwa kilimo cha karafuu kinakuwa chanzo kikuu…