Mpanda FM
Mpanda FM
27 October 2025, 8:43 am
Mikopo hiyo imetolewa kupitia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo katika kipindi cha miezi tisa. Na Godfrey Mengele Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo mkoani iringa imetoa mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 1.7 kwa vikundi 104 vya…
25 October 2025, 10:21
Idara ya afya Mkoa wa Kigoma imesema inaendelea kuweka mikakati ya kuhamasisha wananchi kuzingatia suala la usafi wa mazingira ili kuepuka magonjwa ya mlipuko Na Tryphone Odace Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amewataka wananchi kuhakikisha wanafanya usafi wa…
17 October 2025, 7:00 pm
Na Ivan Mapunda Kila safari kubwa huanza kwa hatua moja, na hatua ya Zena Ahmed Said zimemfanya kuwa nyota halisi inayong’aa katika utumishi wa umma. Hadithi yake ni ushuhuda wa uwezo wa uthabiti, uadilifu na ufuatiliaji usio na kikomo wa…
17 October 2025, 3:19 pm
Picha ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya Salum wakati wa uzinduzi wa jengo la Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) jijini Dodoma. Picha na Anwary Shaban. Uzinduzi wa TIRA Bima…
11 October 2025, 16:30
Katika kuadhimisha miaka 53 tangu kuanzishwa kwa Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Kigoma Maweni, Hospitali hiyo inatarajia kutoa huduma za matibabu ya kibingwa kwa wananchi wa Mkoa wa Kigoma kuanzia jumatatu ya Oktoba 13 hadi 17 mwaka huu wa…
10 October 2025, 11:33 am
Aidha, amebainisha kuwa serikali inaendelea na mchakato wa kuhakikisha kuwa viwanda hivyo vinarejea katika hali ya uzalishaji ili kuimarisha uchumi wa wananchi wa Rungwe na kuongeza tija katika sekta ya kilimo cha chai nchini. Na Selemani Kodima. Katibu Mkuu wa…
2 October 2025, 09:34
Serikali imeahidi kuendelea kuboresha maisha ya wazee kwa kuwasaidia kupata matibabu na mahitaji mengine muhinu kama sehemu ya kuambua mchango wao katika jamii. Na Hagai Ruyagila Baadhi ya wazee katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameiomba serikali kuwaangalia kwa jicho la…
2 October 2025, 08:39
Wananchi zaidi ya elfu saba mkaoni Kigoma wamenufaika na huduma ya matibabu kutoka kwa madaktari bingwa wabobevu wa Mama Samia na kuokoa maisha ya Watanzania hasa wenye hali ya chini. Na Tryphone Odace Wananchi zaidi ya laki mbili wamepatiwa matibabu…
26 September 2025, 14:59
Uzazi wa mpango ni moja ya nyenzo muhimu katika kuimarisha afya ya jamii, kukuza ustawi wa familia na kuchochea maendeleo kiuchumi. Huu ni mchakato unaowezesha wanandoa au watu binafsi kupanga idadi ya watoto wanaotaka kuwapata, muda wa kuwapata na nafasi…
19 September 2025, 08:41
Serikali imesema itaendelea kuboresha huduma za afya ili wananchi waweze kupata huduma karibu na maeneo yao Na Hagai Ruyagila Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Ussi, ameweka jiwe la msingi katika jengo la wodi ya wazazi katika…