Mpanda FM

MAENDELEO

27 October 2025, 8:43 am

Bilion 1.7 kunufaisha vikundi 104 Kilolo

Mikopo hiyo imetolewa kupitia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo katika kipindi cha miezi tisa. Na Godfrey Mengele Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo mkoani iringa imetoa mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 1.7 kwa vikundi 104 vya…

25 October 2025, 10:21

RC Sirro ahimiza wananchi kufanya usafi wa mazingira

Idara ya afya Mkoa wa Kigoma imesema inaendelea kuweka mikakati ya kuhamasisha wananchi kuzingatia suala la usafi wa mazingira ili kuepuka magonjwa ya mlipuko Na Tryphone Odace Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amewataka wananchi kuhakikisha wanafanya usafi wa…

11 October 2025, 16:30

Zaidi ya wananchi 3500 kupatiwa huduma za kibingwa Kigoma

Katika kuadhimisha miaka 53 tangu kuanzishwa kwa Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Kigoma Maweni, Hospitali hiyo inatarajia kutoa huduma za matibabu ya kibingwa kwa wananchi wa Mkoa wa Kigoma kuanzia jumatatu ya Oktoba 13 hadi 17 mwaka huu wa…

10 October 2025, 11:33 am

Wafanyakazi viwanda vya chai wahakikishiwa kupata haki zao

Aidha, amebainisha kuwa serikali inaendelea na mchakato wa kuhakikisha kuwa viwanda hivyo vinarejea katika hali ya uzalishaji ili kuimarisha uchumi wa wananchi wa Rungwe na kuongeza tija katika sekta ya kilimo cha chai nchini. Na Selemani Kodima. Katibu Mkuu wa…

2 October 2025, 09:34

Wazee Kasulu wataka jamii itambue mchango wao

Serikali imeahidi kuendelea kuboresha maisha ya wazee kwa kuwasaidia kupata matibabu na mahitaji mengine muhinu kama sehemu ya kuambua mchango wao katika jamii. Na Hagai Ruyagila Baadhi ya wazee katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameiomba serikali kuwaangalia kwa jicho la…

26 September 2025, 14:59

Umuhimu wa uzazi wa mpango, ushiriki wa wanaume Kigoma

Uzazi wa mpango ni moja ya nyenzo muhimu katika kuimarisha afya ya jamii, kukuza ustawi wa familia na kuchochea maendeleo kiuchumi. Huu ni mchakato unaowezesha wanandoa au watu binafsi kupanga idadi ya watoto wanaotaka kuwapata, muda wa kuwapata na nafasi…