Mpanda FM
Mpanda FM
13/02/2026, 21:07
Na Berema Nassor. Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu Zanzibar,Mudrik Ramadhan Soraga, amesema uanzishwaji na utekelezaji wa mfumo wa anuani za makaazi ni hatua ya kimkakati inayolenga kurahisisha utambuzi wa makaazi, biashara na taasisi, sambamba na kuboresha upatikanaji…
13 February 2026, 6:38 pm
Ikiwa tutaimarisha mfumo wa kutoa vifaa kwa wafanya kazi kila baada ya muda ninjia pekee ya kuimarisha uwajibikaji kwa watendaji” Na Juma Haji. Waziri wa Wizara ya mawasiliano teknolojia, habari na ubunifu Zanzibar Mudrik Ramadhan Soraga amesema azma ya Serikali…
13 February 2026, 16:18
Katibu tawala Mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa amewataka wataalamu wa afya Mkoani Kigoma kufanya kazi kwa weledi katika utekelezaji wa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali Na Sadick Kibwana Zaidi ya wajawazito 3,000 wanatarajia kunufaika na kitita jumuishi cha afya ya…
12/02/2026, 16:39
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa ZIC Takaful, Said Abdallah ameitaka jamii kujitokeza kwa wingi na kutumia huduma za bima ya Takaful ili kujiepusha na mifumo ya riba iliyokatazwa katika mafundisho ya dini. Na Mary Julius. Wito huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi…
10/02/2026, 14:59
Na Mary Julius. Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mohammed Ali Abdalla amesema uzinduzi wa maduka mapya ya Airtel Zanzibar ni hatua muhimu katika kusogeza huduma karibu na wananchi pamoja na kufungua fursa zaidi za ajira kwa vijana na wajasiriamali…
07/02/2026, 21:38
Na Hakika Mwinyi Mwaka. Madiwani wa Baraza la Manispaa Kati wametakiwa kuwa wabunifu katika kuibua vyanzo vipya vya mapato kwa lengo la kuongeza mapato katika Manispaa hiyo. Hayo ameyasema Mkuu wa Wilaya ya Kati Rajab Ali Rajab katika kikao cha…
06/02/2026, 17:57
Katika tukio lisilo la kawaida wahitimu wa kujitegemea katika Shule ya Sekondari Keifo wameamua kununua keki na soda na kuwapelekea walimu kwa ajili ya kuwapongeza baada ya kuwawezesha kupata ufaulu mzuri katika masomo yao. Na Emmanuel Jotham Wahitimu wa kujitegema…
3 February 2026, 14:25
Wito umetolewa kwa wadau mbalimbali kuendelea kujitokeza kuchagngia damu ili kuweza kuokoa maisha ya wahitaji. Na Emmanuel Kamangu Jamii na taasisi mbali mbali za dini Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma zimetakiwa kujenga utaratibu wa kujitolea kuchangia damu ili kusaidia hospital wilayani…
26/01/2026, 17:42
Kutokana na mvua za El nino zilizonyesha siku za nyuma serikali imetumia zaidi ya shilingi bilioni 500 kukabiliana na athari za uharibifu huo katika maeneo mbalimbali nchini. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata ya Iponya wilayani Mbogwe mkoani Geita wameishukuru…
25/01/2026, 14:06
Na Mary Julius. Mrajisi wa Asasi za Kiraia Zanzibar, Ahmed Khalid Abdulla, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inathamini kwa kiwango kikubwa juhudi zinazofanywa na jumuiya za wasaidizi wa sheria, akibainisha kuwa zimekuwa na mchango muhimu katika kuwasaidia wananchi, hususan…