Mpanda FM
Mpanda FM
10 October 2025, 10:15 pm
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema Manyara ni sehemu moja wapo ambayo inakabiliwa kwa kiasi kikubwa na ugonjwa wa afya ya akili kwani matukio ya kikatili, kujidhuru na kudhuru wengine yamekithiri . Na Mzidalfa Zaid Sendiga amesema hayo…
6 October 2025, 6:03 pm
Picha ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule katika hafla ya Capital City Marathon . Picha na Lilian Leopold. Amesisitiza kuwa ni wajibu wa kila mtu kujitokeza kushiriki katika shughuli za michezo ili kudumisha afya na kuongeza ubunifu…
2 October 2025, 7:11 pm
Wananchi wametakiwa kushilikiana na serikali katika kuibua changamoto ya unyanyasaji wa kijinsia unaofanyika kwa wazee. Na Dunia Stephano Kaimu mtendaji ambaye pia ni Afisa maendeleo wa kata ya nguruka wilaya ya Uvinza Sarafina jonijo mapasi amewataka wananchi kushilikiana na serikali…
1 October 2025, 1:03 pm
Karibu msikiliza usikilize makala inayozungumzia matumizi sahihi ya uzazi wa mpango, Makala yetu imezungumza na mwanamke anaetumia uzazi wa mpango, mwanamke asietumia uzazi wa mpango, mwanamume anaempa ushirikiano mke wake kutumia uzazi wa mpango na wataalam wa afya . Na…
30 September 2025, 5:10 pm
Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani hufanyika Oktoba 1 kila mwaka, yakilenga kutambua mchango wa kundi hilo na kuhamasisha jamii kuendelea kuliheshimu, kulilinda na kulipatia huduma bora. Na Mariam Matundu.Katika kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani, Serikali…
28 September 2025, 2:40 pm
Siku ya Kichaa cha Mbwa Duniani imeadhimishwa leo kitaifa wilayani Kiteto mkoani Manyara ambapo jamii imetakiwa kuwatunza mbwa na kuwapatia chakula cha kutosha ili kudhibiti tatizo la mbwa kuzurura. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza na FM Manyara Daktari wa mifugo halmashauri…
24 September 2025, 10:27 am
Makala hii inaelezea Changamoto ambazo wanawake wanazipitia pindi wanapoonesha nia ya kutaka kujihusisha na masuala ya kisiasa kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa Octoba 2025. Na Hafidh Ally na Dorice Olambo Wakati Tanzania ikitarajiwa kuingia katika kinyang’anyanyiro cha kupata viongozi wapya…
September 23, 2025, 7:03 pm
Taasisi ya utafiti wa wanyamapori Tanzania (TAWIRI) kwa kushirikiana na Mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori Tanzania (TAWA) na Mamlaka ya hifadhi za Taifa (TANAPA), imeanza zoezi maalum la kuvalisha tembo mikanda ya mawasiliano katika Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi, mkoani…
22 September 2025, 7:50 PM
“Kama wana Masasi jumanne ya septemba 23, 2025 tuna kila sababu ya kwenda kumsikiliza mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, maana kuna mengi mazuri ameyatenda kwetu“ Na Neema Nandonde Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kimesema kimejipanga…
22 September 2025, 4:32 pm
Jamii pia imeshauriwa kujitokeza katika kliniki za watoto ili kupata elimu zaidi kuhusu lishe bora na namna ya kuandaa milo ya watoto kwa njia salama na yenye mvuto. Na Peter Mnunduma.Afisa Lishe kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma,…