Mpanda FM

AFYA

28 May 2025, 6:52 pm

Siku ya hedhi duniani, huduma kwa mtoto wa kike zipoje?

Siku ya Hedhi Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 28 Mei, ni jukwaa la kimataifa linalotumika kuongeza uelewa kuhusu hedhi kama hali ya kawaida ya kibaiolojia. Na Adelinus Banenwa Lengo kuu la maadhimisho haya ni kuondoa unyanyapaa unaozunguka hedhi, kuhamasisha…

28 May 2025, 4:47 pm

Jamii yatakiwa kuachana na imani potofu kuhusu saratani ya damu

Na Mary Julius. Jamii imetakiwa kuachana na imani potofu zinazohusiana na watu wanaopungukiwa damu mara kwa mara kwa kudhani kuwa wamerogwa au wana majini, na badala yake kuwahisha hospitalini ili kupata uchunguzi wa kitabibu.Akizungumza na Zenji FM, ikiwa ni maadhimisho…

27 May 2025, 10:55 am

Kilio cha shule kata ya Sakina

Na Jane Silayo Diwani wa Kata ya Sakina Mkoani Arusha ameiomba serikali kuwajengea shule ya sekondari ndani ya kata hiyo ili kuchochea maendeleo ya elimu kwa watoto. Akizungumza katika Kipindi cha Ukurasa Mpya cha Triple A Radio, Bw Elvicent Willson…

22 May 2025, 13:33

Wawili mbaroni tuhuma za dawa za kulevya Mbeya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia wanawake wawili, Seva Simwinga (29) na Sara Simwinga (35), wafanyabiashara na wakazi wa Mtaa wa Mponja, Uyole jijini Mbeya, kwa tuhuma za kupatikana na shehena ya dawa za kulevya aina ya bhangi yenye…

20 May 2025, 6:25 pm

Madiwani Iringa waagizwa kusimamia ukusanyaji mapato

Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imekuwa na mafanikio katika ukusanyaji wa mapato, ikipongezwa kwa kufanya vizuri. Na Joyce Buganda Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba amelitaka Baraza la madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kusimamia vyema mapato yanayokusanywa…

12 May 2025, 2:42 pm

Wachimbaji wa madini Geita hawana deni na Rais Samia

Mwenyekiti wa Chama cha wachimba madini mkoa wa Geita (GEREMA) Ndg. Titus Kabuo amesema dhumuni kubwa la kongamano hilo ni kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuiboresha sekta ya madini na kuweka mazingira rafiki ya uchimbaji na ufanyaji biashara.…

9 May 2025, 4:41 pm

Mapambano dhidi ya saratani uchunguzi wa mapema ni silaha

“Uchunguzi wa mapema uliwasaidia kupata tiba kwa wakati, hali iliyowezesha matibabu kuwa na ufanisi mkubwa na hatimaye kupona kabisa saratani ya matiti“ Na Mary Julius Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Saratani Zanzibar Dk Hellen Makwani ametoa wito kwa jamii, hasa…

May 8, 2025, 1:03 pm

Kambi za madaktari bingwa ziwe rasmi

Na Mwandishi wetuMadaktari Bingwa na Bingwa Bobezi wa Rais Samia wamehitimisha kambi ya utoaji huduma za kibingwa katika halmashauri zote nane (8) za mkoa wa Kagera ambapo wananchi wameomba utaratibu huo kurasimishwa ili waendelee kuwapunguziwa gharama za matibabu. Wakihojiwa na…