

11 October 2024, 4:51 pm
Na Mary Julius. Siku ya ganzi na usingizi huwazimishwa kila ifikapo tarehe 16 ya mwezi wa 10 ya kila mwaka ambapo Zanzibar itaadhimisha siku hii kwa mara ya kwanza. Vijana wanaosoma kada ya afya wameshauriwa kutumia fursa ya kusomea kada…
10 October 2024, 5:27 pm
Kwa mujibu wa ripoti ya afya ya akili duniani ya 2022 inasema takribani Mtu mmoja kati kila watu manne wanaugua aina moja ya ugonjwa Unaohusiana na afya ya akili. Na Mwanamiraji Abdallah. Mkuu wa Divisini ya Afya ya Akili Inayo…
10 October 2024, 4:58 pm
baadhi ya wazee manispaa ya Mpanda “Kuwepo na msisitizo juu ya matibabu ya bure kwa wazee wasiojiweza kumudu gharama za matibabu.“ Na Lazaro Maduhu-Katavi Baadhi ya wazee wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kuhimarishiwa huduma ya matibabu katika…
10 October 2024, 3:48 pm
Na Adelphina Kutika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeahidi kuendelea kushirikiana na wafanyabiashara mkoa wa iringa ili kuboresha mazingira ya mazuri yatakayowawezesha kulipa kodi kwa wakati. Hayo yamebainishwa na Kamishina mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Yusufu Mwenda katika kikao…
7 October 2024, 8:34 pm
Serikali yalaani tukio la mwanamke aliyebakwa na kulawitiwa mkoani Manyara ambapo jamii imetakiwa kukemea vitendo hivyo vya kikatili nakuwalea watoto wao katika maadili mazuri. Na Mzidalfa Zaid Mwanamke mmoja wa kata ya Magugu mkoani Manyara amefariki baada ya kubakwa na…
3 October 2024, 6:08 pm
Ili kuinua uchumi wa wananchi serikali imejenga barabara ya kiwango cha lami kwa lengo la mkulima kuweza kusafirisha mazao yake kwa urahisi. Na Lennox Mwamakula Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba John Kabudi ametembelea na kukagua mradi wa barabara …
26 September 2024, 8:54 pm
Wananchi Halmashauri ya Buchosa wametakiwa kujitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika November 27 mwaka huu nchini. Hayo yamebainishwa na msimamizi wa uchaguzi halmashauri hiyo Bwn. Benson Mihayo, ambapo amesema kuwa…
26 September 2024, 4:14 am
Baadhi ya wananchi mkoani Geita wamekuwa wakijihusisha na shughuli za uchimbaji madini ya dhahabu ili kuendesha maisha yao pamoja na kupata kipato cha kumudu gharama za maisha. Na: Edga Rwenduru -Geita Wachimbaji wadogo katika mgodi wa Isanjabhadugu (maarufu Area B)…
24 September 2024, 9:16 pm
picha na mtandao “Kitaalamu unywaji wa maji unatofautiana kulingana na jinsia; wanawake, wanaume na watoto kuzingatia unywaji huo husaidia zaidi mzunguko mzuri wa damu,“ Na Rachel Ezekia -Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuzingatia viwango sahihi vya unywaji…
24 September 2024, 9:30 am
Mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmshauri hapa Nchini imetajwa kuwa mkombozi kwa wanufaika huku Serikali ikisubiriwa kutoa tamko juu utaratibu wa utolewaji wake. Na Hafidh Ally Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imetenga zaidi ya shilingi milioni 918 ambazo zitatumiwa…