Mpanda FM

AFYA

13 June 2025, 8:22 pm

PM Majaliwa kufunga Lindi Mining Expo 2025

Na loveness josefu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (MB), anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe ya kufunga Maonesho ya Madini na Fursa za Uwekezaji Mkoa wa Lindi (Lindi Mining Expo 2025) Taarifa hiyo imethibitishwa leo 13Jun…

12 June 2025, 9:00 pm

SMZ yapinga ajira za utotoni

Picha ya waziri wa nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Sharif Ali Sharif. Picha na Vuai Juma “Ipo haja ya kuiunga mkono Serikali katika mapambano dhidi ya ajira za utotoni ili kuwapa watoto haki zao za kimsingi“ Na…

28 May 2025, 6:52 pm

Siku ya hedhi duniani, huduma kwa mtoto wa kike zipoje?

Siku ya Hedhi Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 28 Mei, ni jukwaa la kimataifa linalotumika kuongeza uelewa kuhusu hedhi kama hali ya kawaida ya kibaiolojia. Na Adelinus Banenwa Lengo kuu la maadhimisho haya ni kuondoa unyanyapaa unaozunguka hedhi, kuhamasisha…

28 May 2025, 4:47 pm

Jamii yatakiwa kuachana na imani potofu kuhusu saratani ya damu

Na Mary Julius. Jamii imetakiwa kuachana na imani potofu zinazohusiana na watu wanaopungukiwa damu mara kwa mara kwa kudhani kuwa wamerogwa au wana majini, na badala yake kuwahisha hospitalini ili kupata uchunguzi wa kitabibu.Akizungumza na Zenji FM, ikiwa ni maadhimisho…