AFYA
10 April 2024, 11:47 pm
Wananchi Katavi waomba elimu zaidi kuhusu gonjwa wa red eyes
“Changamoto inayochangia kuongezeka kwa Ugonjwa huo ni pamoja na baadhi ya Watu kutokufahamu ugonjwa huo unaambukizwa kwa njia ipi“ Na Veronika Mabwile -Katavi Baadhi ya wakazi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi hawana uelewa wa namna ya kujikinga na maambukizi…
4 April 2024, 3:54 pm
Wananchi Mkoani Katavi Wasisitizwa Kupima Ugonjwa wa Kifua Kikuu
Mratibu wa kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma Manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi Bruno Cronely.picha na Samwel Mbugi “Mtu yoyote mwenye ugonjwa unaoweza kupelekea upungufu wa kinga za mwili, ni rahisi kupata kifua kikuu” Na Samwel Mbugi-Katavi Wananchi wa Manispaa…
1 April 2024, 9:16 pm
Maabara yajengwa Katavi kutatua kero zinazowakabili akinamama wa kiisilam
Jengo la Maabara inayojengwa .Picha na Mtandao Akinamama wa kiislamu wamefurahishwa na uanzishwaji wa maabara hiyo huku wakidai itakapokamilika itasaidia kutatua changamoto zinazowakabili kwani watapatiwa huduma na wataalam wa kike na si wa kiume kama ilivyo sasa. Na Betold Chove…
21 March 2024, 10:55 am
Wananchi Katavi hawana elimu ya utunzaji wa kinywa, meno
Picha na Mtandao “Utafiti uliofanyika umegundua kuwa watoto wenye umri wa miaka sita hadi tisa ndio waathirika wakubwa“ Na Samwel Mbugi -Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni mseto kuhusiana na maadhimisho ya wiki ya afya ya kinywa…
15 March 2024, 6:01 pm
KATAVI, TMDA Yabaini Ongezeko la Ugonjwa wa Figo
“Kuna changamoto ya Ini na Figo kushindwa kufanya kazi, na Saratani kuongezeka katika Jamii Yanayosababishwa na matumizi mabaya ya dawa kwa baadhi ya Wananchi” Picha na Mtandao Na Samwel Mbugi-katavi Mamlaka ya dawa na vifaa tiba [TMDA] kutoka makao Makuu…
20 February 2024, 5:24 pm
Wabeba taka Mpanda wameshindwa kazi?
Wananchi wamesema mtaa huo umekuwa na harufu kali ambayo imekuwa haivumiliki na wamekosa namna ya kufanya hivyo wanahifadhi kwenye mifuko kwa sababu taarifa za taka hizo wamelalamika kwa viongozi wao bila mafanikio yeyote. Na Samwel Mbugi-Katavi Wananchi wa kata ya…
26 November 2022, 6:56 am
Wafanyabiashara watakiwa kuchukua tahadhari ya magonjwa ya mlipuko
MPANDA Wafanyabiashara kata ya Kashaulili manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kufanya usafi katika maeneo yao ya biashara ikiwa ni pamoja na kuchukuwa tahadhari dhidi ya magonjwa ya mlipuko. Wito huo umetolewa na Afisa mtendaji wa Kata ya Kashaulili Merry…
20 November 2021, 11:35 am
Huduma Mkoba Kuimarisha Zoezi la Chanjo ya Uviko 19
Serikali mkoani katavi imekuja na mpango harakishi na shirikishi wa kutoa huduma mkoba ya uviko19 ambavyo itawasaidia wananchi kupata chanjo hiyo popote pale walipo. Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkao wa katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko ambapo ameeleza kuwa wamekuja na…
19 November 2021, 12:01 pm
Katavi na Maadhimisho ya Magonjwa Yasiyoambukiza
Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye kilele cha maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasiyoambukiza wameeleza umuhimu wa mazoezi sambamba na kuwaasa wananchi wenzao kujitokeza kwenye mazoezi. Wameyasema hayo walipozungumza na mpanda redio fm katika uwanja wa Azimio ambapo yaefanyika maadhimisho ya…
19 November 2021, 11:16 am
Wanawake Acheni Kukanda Maji
Wanawake mkoani Katavi wametakiwa kuachana na dhana ya kuwakanda maji ya moto pindi wanapojifungua kwani kufanya hivyo kuna madhara zaidi ikilinganishwa na faida zinazoainishwa na jamii nyingi. Editha Ngavatula ni muuguzi katika hospitali teule ya mkoa wa Katavi amesema kuwa…