kijamii
16 April 2024, 12:13 pm
Gambi: Marufuku pikipiki hizi kubeba nyara
Viongozi wa CCM ngazi ya kata wakabidhiwa pikipiki waonywa kuzitumia kufanyia uhalifu. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa viongozi wa CCM ngazi ya kata waliopata pikipiki za chama kuepuka kutumia vyombo hivyo kufanya uhalifu. Wito huo umetolewa na Afisa wa…
13 April 2024, 6:34 pm
Aliyebaka ahukumiwa kupigwa viboko 6 na kuachiwa
Mahakama ya willaya ya bunda imemuhukumu Mshtakiwa Frank Majani (18) kuchapwa viboko sita (6) baada ya kupatika na hatia kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa darasa la tano ambaye pia ni binamu yake. Na Adelinus Banenwa Jeshi la Magereza Bunda…
12 April 2024, 4:36 pm
Mwanamke akutwa amejinyonga chumbani kwake Bunda
Mwanamke mmoja liyetambulika kwa jina la Nyanjara Haruni Rubailo [48] amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake Bunda. Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja liyetambulika kwa jina la Nyanjara Haruni Rubailo [48] amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake Bunda. Akizungumza na Mazingira…
11 April 2024, 11:23 am
Wafugaji wamchagua Mshota mwenyekiti taifa
Mrida Mshota ambaye ni mjumbe wa bodi ya wakurugenzi NARCO amefanikiwa kutetea nafasi yake ya uenyekiti wa wafugaji taifa katika uchaguzi uliofanyika 8 April 2024 Dodoma. Na Adelinus Banenwa Mrida Mshota ambaye ni mjumbe wa bodi ya wakurugenzi NARCO amefanikiwa…
4 April 2024, 6:42 pm
Mbunge Maboto atoa milion 2 kwa umoja wa bajaji Bunda
Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto ametoa shilingi milioni mbili kwa chama cha waendesha bajaji bunda ikiwa ni sehemu ya kuwaunga mkono katika shughuli zao. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert…
4 April 2024, 5:42 pm
Wanaojipitisha kusaka uongozi CCM Bunda waonywa
Katibu awa siasa na uenezi CCM Bunda ndugu Gasper Petro amewaonya wanachama wa CCM wanaopitapita kwa nia ya kugombea nafasi ambazo bado viongozi wake wapo kama vile uwenyekiti, udiwani au ubunge ndani ya wilaya ya Bunda. Akizungumza katika ziara ya…
4 April 2024, 5:24 pm
Mbunge wa Bunda mjini awataka viongozi wa mitaa na kata kulinda maeneo ya serika…
Mbunge Wa Jimbo La Bunda Mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewaomba viongozi ngazi za serikali za mitaa na kata kulinda maeneo ya serikali yaliyotengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo katika maeneo yao. Na Adelinus Banenwa Mbunge Wa Jimbo La…
3 April 2024, 9:59 am
Waandishi wa habari Mara wajengewa uwezo programu ya kitaifa ya malezi na makuzi…
Vyombo vya Habari nchini vimetajwa kuwa nguzo muhimu katika utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto ( PJT – MMMAM). Na Adelinus Banenwa Vyombo vya Habari nchini vimetajwa kuwa nguzo muhimu katika…
3 April 2024, 7:02 am
Afisa kilimo Bunda auliwa na mke wake ikidaiwa chanzo ni wivu wa mapenzi
Afisa kilimo Bunda auawa na mke wake sababu zikitajwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Na Adelinus Banenwa Afisa kilimo bunda auwa na mke wake sababu zikitajwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Julius Rubambi [38] afisa kilimo kata ya Neruma halmashauri…
28 March 2024, 9:50 am
Mtoto mwingine wa miaka 7 ajeruhiwa na fisi kijiji cha Mumagunga Bunda
Misipina Silivester 7 mkazi wa kitongoji cha Arusha kijiji cha Mumagunga halmashauri ya wilaya ya Bunda ameshambuliwa na fisi akiwa anaanua udaga mwambani karibu na nyumbani kwao. Na Adelinus Banenwa Mtoto mwingine ajeruhiwa na fisi kijiji cha Mumagunga zikiwa ni…