Habari za Jumla
16 April 2024, 7:13 am
Nape Nnauye awataka wananchi Ngorongoro kusimama na Samia
Baadhi ya wananchi wachache katika mitandao ya kijamii wamekuwa wakiitumia mitandao yao vibaya ikiwemo kuwatukana na kuwachafua viongozi wa nchi kwenye mitandao hiyo kinyume na matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii,hivyo viongozi wa serikali wamekuwa wakiwasisitiza kuacha kufanya hivyo kwani…
15 April 2024, 8:09 pm
Waziri Biteko ataka mnada wa mifugo, bidhaa ufanyike eneo moja Ngorongoro
Ni uzinduzi wa vituo vya kurushia matangazo TBC Fm na Bongo Fm hapa wilayani uliohudhuriwa na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi na miongoni mwa mambo mengi yaliyozungumziwa ni pamoja na kuhusu swala la mnada wa Wasso, ushuru wa mifugo pamoja…
9 April 2024, 11:17 am
Mbunge Ole Shangai awaka sakata la uhamaji wa hiari Ngorongoro
Katika harakati za kuendelea kuwafikishia viongozi wa juu wa serikali kero za wananchi wa Ngorongoro, mbunge Emanuel Shangai amesimama bungeni kuhoji kwa Waziri Mkuu sakata la uhamaji Ngorongoro ikiwa ni la hiari kwanini wananchi wanawekewa vikwanzo vya kimaendeleo? Na Edward…
6 April 2024, 12:26 pm
Kamishna wa uhifadhi atumia milioni 400 kulala hotelini Ngorongoro
Viongozi wa ngazi za chini waliochaguliwa na wananchi kutetea na kuibua kero zao wilayani Ngorongoro wameendelea kusimama na wananchi, hii ni baada ya diwani wa kata ya Alaitole tarafa ya Ngorongoro kuibua sakata la aliyekuwa kamishna wa mamlaka ya huifadhi…
2 April 2024, 10:46 am
Ngorongoro yaguswa na bilioni 2.5 za TASAF Arusha
Serikali imekuwa ikiendelea na mpango wa kuzinusuru kaya masikini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF kwa halmashauri zote zilizo kwenye mpango huo, halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ikiwemo. Na mwandishi wetu. Jumla ya shilingi bilioni 2.5 zimegawiwa na serikali kwa…
27 March 2024, 11:39 am
Kaya 140 zanufaika na fedha za Tasaf Ngorongoro
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilianza kutekeleza mradi wa mfuko wa maendeleo ya jamii – TASAF kuanzia mwaka 2000, ikiwa ni moja ya mbinu za kutokomeza umasikini ambazo pia zilisaidia ajenda ya ugatuaji wa madaraka. Katika kipindi cha…
14 March 2024, 3:19 pm
Nguzo zaanguka Longido, Ngorongoro yakosa umeme
Umeme umeendelea kuwa kero kwa wananchi kutokana na kukosekana kwa huduma hii muhimu kwa shughuli za kila siku kwa kukatika mara kwa mara kwenye maeneo mengi hapa nchini. Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mh Kanali Wilson Sakulo tarehe 13 Machi…
25 February 2024, 8:46 am
DC Ngorongoro na ziara ya kwanza
Miradi mingi ya maendeleo wilayani Ngorongoro inayotekelezwa kupitia ufadhili wa benki ya maendeleo ya Ujerumani (KFW) imegusa karibu kila sekta muhimu ikiwepo Afya,barabara pamoja na sekta ya elimu. Na mwandishi wetu. Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Kanal. Wilson Sakulo leo…
15 February 2024, 12:22 am
Amuua mke wake, atokomea kusikojulikana
Matukio ya ukatili kwa wanawake hususani ya mauaji yameshamiri kwa mwezi Februari wilayani Ngorongoro ya wanaume kuwaua wake zao hili likiwa ni tukio la pili kwa mwanaume kumua mkewe ndani ya wiki moja tu. Na Edward Shao. Kijana mmoja anayejulikana…
10 February 2024, 1:36 pm
Auawa kwa kuchapwa na mume wake akilazimishwa kuishi nae Ngorongoro
Matukio ya ukatili kwa wanawake yameendela kuripotiwa ambapo mwanamke mwenye umri wa miaka 22 auawa kwa kuchapwa na mume wake akilazimishwa kuishi nae Ngorongoro. Na Edward Shao. Mwanamke mmoja Nanyori Mohe (22) mkaazi wa kijiji cha Malambo kata ya Malambo…