Loliondo FM

Habari za Jumla

15 February 2024, 12:22 am

Amuua mke wake, atokomea kusikojulikana

Matukio ya ukatili kwa wanawake hususani ya mauaji yameshamiri kwa mwezi Februari wilayani Ngorongoro ya wanaume kuwaua wake zao hili likiwa ni tukio la pili kwa mwanaume kumua mkewe ndani ya wiki moja tu. Na Edward Shao. Kijana mmoja anayejulikana…

22 January 2024, 1:29 pm

Matukio ya mvua Ngorongoro mmoja afariki

Katika Matukio makubwa ya wiki wilayani hapa yametawaliwa kwa kiasi kikubwa ni athari mbalimbali ambazo zimesababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha kwa wingi ikiwemo mtu mmoja kupoteza Maisha baada ya kusombwa na maji. Na Edward Shao, Mvua zinazoendelea kunyesha hapa wilayani…

26 December 2023, 3:59 pm

Matukio makubwa Ngorongoro

Matukio makubwa kwa wilaya ya Ngorongoro kwa wiki mbili zilizopita na yaliyowagusa wananchi walio wengi wilayani hapa ni pamoja na ujio wa mkuu mpya wa wilaya wengi wakisubiri kuona utendaji wake wa kazi. Na Edward Shao. Haya hapa ni matukio…

30 November 2021, 11:14 pm

MABARAZA YA HAKI YAGAWIWA KONDOO NGORONGORO

Na Edward .S.Shao. Baraza la wanawake wakifugaji Pastoral Women Council-PWC-kupitia shirika la Norway -NODAK- lagawa kondoo 168 kwa mabaraza saba ya haki na uongozi wa wanawake wilayani Ngorongoro. Akizungumza katika hafla hiyo Novemba 29, 2021 ya ugawaji wa kondoo hao…