Uncategorized
February 8, 2024, 5:28 pm
Serikali yatoa fedha kujenga kituo cha afya Mfumbi Makete
Kata ya Mfumbi ni miongoni mwa kata ambazo zimepewa mradi wa ujenzi wa kituo cha afya ikiwa ni mpango wa halmashauri ya wilaya ya Makete kujenga vituo vya afya ktika kata zote ambazo hazina vituo vya afya pamoja na kuboresha…
February 7, 2024, 5:36 pm
Serkali yatoa milioni 300 ujenzi madarasa, matundu ya vyoo Mount Chafukwe Makete
Kiasi cha fedha milion miatatu (300,000,000) zitatumika kukamilisha ujenzi wa vyumba 12 vya madarasa na matundu 20 ya vyoo ikiwa nikuendeleza juuhudi za wananchi katika kutika kuleta maendeleo kwa jamii hususani katika sekta ya elimu. Na Lulu Mbwaga Ujenzi wa…
February 6, 2024, 9:24 pm
DC Makete aiagiza MAKEUWASA kuhakikisha mradi wa maji Isaplano unakamilika
Ikiwa ni muda mrefu umepita tangu kuanza kutekelezwa kwa Mradi wa Maji katika kata ya Isaplano Mkuu wa wilaya ya Makete Mh.Juma Samweli Sweda ameagiza Mamlaka ya Maji safi na Mazingira kuhakikisha mradi huo unakamailika kwa wakati Na Ombeni Mgongolwa…
January 19, 2024, 10:34 pm
Dc Makete afanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya wilaya Makete
Katika mwendelezo wa ziara za Mkuu wa Wilaya ya Makete Mh. Samweli Sweda, mapema hii leo amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya wilaya ya Makete na kubaini baadhi ya changamoto ikiwemo baadhi ya vifaa tiba kutotumika tangu 2021. Mkuu…
September 19, 2023, 9:21 pm
Wananchi Makete waishukuru serikali kutoa pembejeo kwa wakati
Kuelekea msimu wa kupanda mazao wananchi wameendelea kujitokeza katika vituo vya pembejeo kwa ajili ya kuchukua mbolea, ikiwa ni siku chache baada ya serikali kutangaza wakulima kuhakiki taarifa zao. Na Aldo Sanga. Wananchi wamejitokeza kwa wingi kwenye vituo vya pembejeo…
February 6, 2023, 3:07 pm
Madereva wa Daladala Njombe wagoma
Madereva wa daladala #Njombe mjini, wamesitisha huduma ya usafirishaji kwa kipindi kisichojulikana baada ya madereva wa bajaji kuruhusiwa kusafirisha abiria katika maeneo yote ndani ya Halmashauri ya mji wa Njombe. Katibu Tawala wilaya ya Njombe Emmanuel George akizungumza na Madereva Daladala Njombe Wamesema kuwa…
January 29, 2023, 8:42 am
Watendaji wa Kata simamieni Wanafunzi waende Shule-Dc Sweda
Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amesema kiwango cha wanafunzi Tarafa ya Ikuwo kuripoti shule ni hafifu Ameagiza Afisa Tarafa, watendaji wa kata kufanya msako maalumu kuhakikisha wanafunzi ambao hawajaripoti kidato cha kwanza mpaka sasa wanaripoti shule na…
January 29, 2023, 8:12 am
Tumieni Vishikwambi kwa manufaa ya Elimu- Mkurugenzi Makete
Mkurugenzi Mtendaji Halashauri ya Wilaya Makete William Makufwe amewataka walimu kutunza Vishikwambi walivyopewa na kuvitumia kwa lengo lililokusudiwa. Makufwe ametoa rai hiyo wakati wa makabidhiano ya Vishikwambi hivyo yaliyofanyika mwishoni mwa mwezi huu Januari, 2023 Ameongeza kuwa kwa yeyote atakayebainika…
January 29, 2023, 8:02 am
Vifaa vya Huduma ya Dharura vimeunganishwa Hospitali ya Wilaya Makete
Zoezi la kufunga vifaa tiba vya kisasa jengo la dharura (EMD) Hospital ya Wilaya ya Makete Mkoa wa Njombe limefanywa na wataalamu kwa lengo la kuanza kutoa huduma za Afya Hospitalini hapo. Serikali imetoa Milioni 300 kujenga jengo hilo la…
January 29, 2023, 7:54 am
UWT Njombe wapanda miti Ilumaki Sekondari
Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Njombe wamefanya Maadhimisho ya miaka 46 ya Chama cha Mapinduzi Wilayani Makete kwa kupanda miti kuzunguka eneo la shule ya Sekondari Ilumaki iliyopo Kata ya Lupalilo Wilaya ya Makete. Zoezi hilo limefanywa…