Uncategorized
January 29, 2023, 7:43 am
Mfuko wa Jimbo Makete waongezeka kutoka Milioni 36 hadi Milioni 59
Serikali imeongeza mfuko wa Jimbo la Makete kutoka Milioni 36,282,000 kwa mwaka 2021/2022 hadi kufikia Milioni 59,647,000 kwa mwaka 2022/2023. Kupitia Kikao cha Baraza maalumu la Madiwani kilichofanyika leo Tarehe 27 Januari 2023 cha kupitisha Bajeti ya mwaka wa fedha…
January 27, 2023, 10:56 am
Nchi ya Haiti yaja Njombe kujifunza Mbinu za utoaji wa Chanjo ya Uvico 19
Serikali ya Hait toka Amerika ya kusini imetuma wajumbe wake kuja kujifunza katika wilaya ya Njombe namna ilivyofanikiwa katika utekelezaji wa utoaji wa Chanjo ya UVICO 19 kupitia kampeni maalum ya kijiji kwa kijiji chini ya mkuu wa Wilaya ya…
January 27, 2023, 7:55 am
Jamii ijikite kusuluhisha Migogoro-Mhe. Ivan Msaki
Hakimu mkazi mfawidhi Mahakama ya Wilaya ya Makete Mh. Ivan Msaki amesema jamii ikijikita katika utatuzi wa migogoro kwa njia ya usuluhishi kutaifanya jamii yenyewe kuishi bila uhasama. Mh. Msaki ameyasema hayo januari 25,2023 wakati akizungumza na wanafunzi wa chuo…
January 27, 2023, 7:28 am
Wazazi wawajibike kulea Watoto-Mwanasheria Makete
Wananchi wametakiwa kuhakikisha wanahudumia Familia hususani watoto pale wazazi/wanandoa wanapokuwa wametengana kwa sababu mbalimbali. Rai hiyo imetolewa na Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Wilaya ya Makete Ndg. Appolo Laizer akizungumza na Kitulo FM kwenye Kipindi cha Daladala tarehe 27…
January 25, 2023, 4:00 pm
MNEC Njombe ampongeza DC Makete kuaminiwa na Rais
Mwakilishi wa Mkutano Mkuu CCM Taifa Mkoa wa Njombe (MNEC) Ndg. Abraham Okoka amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda kwa kuaminiwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuendelea kuwatumikia wananchi wa Makete MNEC ametoa pongezi hizo leo…
January 25, 2023, 2:19 pm
Miche elfu 20 ya Parachichi kugawiwa kwa Walengwa wa TASAF Makambako-Njombe
Ili kukabiliana na umasikini uliopo kwenye baadhi ya familia mkoani Njombe Serikali chini ya Wizara ya Kilimo imegawa miche elfu 20 kwa kaya zinazonufaika na mpango wa TASAF Katika Halmashauri ya mji wa Makambako. Akitoa miche hiyo katika kata ya…
January 25, 2023, 2:18 pm
Wazazi Sababu Wanafunzi kufanya Vibaya Mitihani
Wazazi na walezi katika kijiji cha nyamande kilichopo kata ya kitandililo halmashauri ya mji wa Makambako wametajwa kuwa sababu ya wanafunzi hasa wa darasa la saba kufanya vibaya katika mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi. Wazazi hao wametajwa kuwashawishi watoto…
January 25, 2023, 2:16 pm
Katekista Kizimbani kwa tuhuma za kumbaka Mwanafunzi
Katekista wa kanisa la Roman Catholic parokia ya Mlangali wilayani Ludewa mkoani Njombe Simon Njavike (43) amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya hiyo kwa Tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu (17) ambaye jina lake limehifadhiwa. Akisomewa shitaka hilo…
January 25, 2023, 2:13 pm
Hatuwezi kuwa na Furaha wakati watu wetu wanateseka-Mhe. Sweda
Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amesema Halmashauri na TARURA inapaswa kuhakikisha wannanchi waa Kigulu wanapata huduma ya Barabara kulingana na kukosa huduma hiyo kwa miaka mingi kwa kuwa hali si nzuri. Mhe. Sweda amesema Mwanamke akipatwa na…
January 25, 2023, 12:36 pm
Jengo la Dharula limekamilika na Milioni 900 zimeanza kujenga Hospitali ya Wilay…
Serikali imekamilisha ujenzi wa Jengo la dharula katika Hospitali ya Wilaya Makete kwa zaidi ya Milioni 300 ambapo tayari vifaa vinefika kwa ajili ya kuanza kutoa huduma. Kamati ya Siasa Wilaya ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya Clement Ngajilo akiambatana…