Kitulo FM

Uncategorized

January 20, 2023, 7:23 pm

Miti 5,000 ya Asili yapandwa Kijiji cha Ihela

Wananchi wilayani Makete mkoani Njombe wametakiwa kutunza mazingira ikiwemo vyanzo vya maji ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza ikiwemo kuongezeka kwa joto duniani,ukame pamoja na kubadilika kwa msimu wa mvua. Wito huo umetolewa January 20,2023 na Agustino Ngailo ambaye alikuwa mgeni…

January 20, 2023, 7:00 pm

Wananchi 50 Tandala wakabidhiwa Hati Miliki za Ardhi

Ofisi ya Ardhi mkoa wa Njombe imeendesha zoezi la kukabidhi hati zipatazo Hamsini kwa wananchi wa kijiji cha Tandala wilayani Makete pamoja na kusikiliza changamoto za wananchi juu ya zoezi hilo leo Disemba 20 mwaka huu. Emmanuel Mkiwa kutoka ofisi…

January 19, 2023, 8:03 am

AFUNGWA MIAKA 30 WILAYANI LUDEWA KWA KOSA LA UBAKAJI

Mahakama Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe Januari 17, 2023 imemhukumu kifungo cha Miaka 30 jela Daudi David Mligo, mwenye umri wa miaka 26, mkazi wa Ludewa Mjini baada ya kukutwa na kosa la ubakaji. Mnamo Julai 16, 2022 majira ya saa tisa na dakika…

January 19, 2023, 7:53 am

Wajanja wa kurubuni Mbolea kushughulikiwa Njombe

Mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka akishirikiana na Jeshi la Polisi mkoani hapa, wamefika katika nyumba ambayo mfanyabiashara wa mbolea amekuwa akitumia kuchakachua bidhaa hiyo. Mtaka amesema katika nyumba hiyo isiyo na umeme, wamebaini mifuko ya makampuni mbalimbali ya mbolea, majenereta…

January 18, 2023, 11:07 am

Ujenzi Kituo cha Afya Lupalilo, DC ahimiza Usimamizi

  Ujenzi wa Kituo cha Afya Lupalilo awamu ya pili umefikia hatua nzuri baada ya kuwa katika hatua za mwisho wa ujenzi. Kituo hicho ujenzi wake ulianza kwa wananchi kujenga Jengo la wagonjwa wa nje na Serikali ikaunga mkono kwa…

January 18, 2023, 10:39 am

Elimu itolewe utunzaji wa Mazingira Makambako-Njombe

  Halmashauri ya mji wa Makambako imetakiwa kutoa elimu kuhusiana na usafi wa mazingira ili kuhakikisha maeneo yote yanafanyiwa usafi lengo likiwa ni kukabiliana na magonjwa ambukizi. Wakizungumza na Kituo hiki baadhi ya wananchi wa mtaa wa rajabu mahakamani uliopo…

January 18, 2023, 10:04 am

Waziri amfukuza aliyetupa Parachichi Njombe

  WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe ameagiza kukamatwa kwa mmiliki wa Kampuni ya Candia Fresh pamoja na kuifunga kampuni hiyo, kwa kile alichoeleza kuwa inanunua parachichi ambazo hazijakomaa. Bashe amesema kuwa kampuni hiyo imekuwa ikinunua parachichi hizo changa na kisha…

January 17, 2023, 9:58 am

Wazazi wanashawishi Wanafunzi wafeli Mitihani

  Wazazi kijiji cha Usagatikwa Kata ya Tandala na Ibaga Kata ya Mang’oto wamebainika kushawishi wanafunzi wafeli mitihani ya Darasa la Saba kwa maksudi. Kaimu Afisa Elimu Idara ya Msingi Wilaya ya Makete Mwalimu Bakari Msuya amesema kumekuwa na tabia…

January 17, 2023, 9:31 am

Waiomba Serikali kunusuru wanafunzi kupigwa na Radi

  Wananchi wa Kijiji cha Ihela Kata ya Tandala Wilayani Makete wameiomba Serikali kuangalia chanzo cha radi eneo la shule ili kuepusha hatari ya watoto kupigwa radi Wakizungumza na Kitulo Fm kwa nyakati tofauti wananchi hao wameeleza kuwa kumekuwa na…