Recent posts
April 19, 2021, 8:05 am
Babu wa miaka 53 Ambaka mjukuu wake wa miaka 7 wakati mkewe akiwa Hospitali.
WAKATI Taifa na wanaharakati mbalimbali wakiendeleza mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili kwa wanawake na watoto, matukio ya udhalilishaji na ukatili kwa watoto yameendelea kuripotiwa mkoani Shinyanga. Ambapo, Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Juma Emmanuel (53) mkazi wa…
April 18, 2021, 7:46 pm
Harakati za mwanamke katika kujikwamua kiuchumi.
Nchini Tanzania wanawake wako mstari wa mbele katika kujikwamua kiuchumi na kuleta mabadiliko katika jamii inayowazunguka, hususan kuondokana na dhana ya utegemezi. Miongoni mwa wanawake hao ni bi JANETH mkazi wa Shunu Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga ni mama pia…
April 15, 2021, 4:32 pm
Serikali Wilayani Kahama Yaipongeza Benki ya TPB Kwa kutoa madawati 92 Ushetu.
SERIKALI Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga imeishukuru Benki ya Posta Tanzania (TPB) Kwa kujali na kutumia faida yake waliopata kuirudisha kwenye jamii kwa kutoa jumla ya madawati 92 katika Shule ya Sekondari Ubagwe Halmashauri ya ushetu. Akizungumza mara baada ya kupokea…
April 15, 2021, 4:15 pm
Wadau Shinyanga walia na Shria ya ndoa ya Mwaka 1971 ya binti kuolewa akiwa na m…
SHERIA ya ndoa ya mwaka 1971 ambayo inaruhusu mtoto mwenye umri wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya wazazi, na 15 Mahakama, imetajwa kuwa tatizo kukomesha mimba na ndoa za utotoni. Mkurugenzi wa Shirika la Agape linalotetea haki za wanawake…
April 15, 2021, 4:14 pm
Waandishi wa habari wametakiwa kuandika kwa weledi, habari zinazohusu watu wen…
Waandishi wa habari mbalimbali nchini Tanzania wametakiwa kuandika na kuziwasilisha kwa weledi habari zinazohusu watu wenye ulemavu ili kupunguza unyanyapaa katika jamii. Hayo yameelezwa leo na mkufunzi ALLY MWADINI akiwa visiwani zanzibar kwenye mafunzo yanayohusu habari za watu wenye ulemavu…
April 15, 2021, 4:04 pm
Vijana walionzisha kiwanda cha chaki Shinyanga walia kukosa soko.
Kikundi cha vijana 15 ambao ni wakazi wa Manispaa ya Shinyanga, walioanzisha kiwanda cha kutengeneza Chaki kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi, wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Zainab Telack, kuwaunga mkono kwa kutoa maagizo kwa shule zote mkoani humo zinunue…
April 12, 2021, 6:57 am
Wawekezaji wa viwanda Shinyanga wapongeza maamuzi ya Rais Samia Kuhusu Kodi.
BAADHI ya wawekezaji wa viwanda katika Manispaa ya Shinyanga mkoani hapa, wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa hotuba yake aliyoitoa hivi karibuni, wakati akiwapisha makatibu wakuu na manaibu kutoka wizara mbalimbali, na kuonyesha neema kwa wawekezaji hasa kwenye suala la…
April 9, 2021, 8:32 am
Mwandishi wa habari auwawa kwa kupigwa Risasi kichwani.
Mwandishi wa habari wa Shirika la utangazaji Kenya -KBC, Betty Barasa ameuawa kwa kupigwa risasi nyumbani kwake ambako ni pembezoni mwa mji mkuu wa Nairobi. Wanaume wawili wenye silaha waliingia nyumbani kwa Barasa wakati alipokuwa anaendesha gari akiwa anatoka kazini…
April 9, 2021, 8:14 am
Wachimbaji wadogo watinga ofisi za DC na mabango ya kumkataa mwekezaji.
Mgogoro wa mara kwa mara kati ya wachimbaji wadogo na watu wanaopewa leseni za uchimbaji na tume ya madini katika mgodi wa Bulambaka ulioko katika Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu umeingia katika sura mpya. Mgogoro huo umewalazimu wachimbaji wadogo kuandamana…
April 6, 2021, 7:49 am
Mwanafunzi wa darasa la kwanza aliwa na mamba Ziwa Victoria.
Janeti Mganga (8) aliyekuwa anasoma darasa la kwanza shule ya msingi Busikimbili iliyoko kata ya Maisome, Halmashauri ya Buchosa, wilayani Sengerema mkoani Mwanza ameuawa na mamba wakati akioga kwenye Ziwa Victoria huku baadhi ya viungo vya mwili wake vikiwa vimenyofolewa…