Joy FM

msaada

June 28, 2024, 4:51 pm

Jamii Manyara yatakiwa kupinga vitendo vya kikatili

Ili kupunguza vitendo vya kikatili vinavyoendelea nchini, wazazi mkoani Manyara wametakiwa kuwalea watoto wao na kuwapa malezi bora yatayowakinga na ukatili unaofanyika katika familia na mitandao. Na Angel Munuo Wazazi na walezi wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuwalea watoto wao…

27 June 2024, 2:21 pm

Sakata la mgomo wafanyabiashara lafika Katoro Geita

Sakata la mgomo kwa wafanyabiasha lililoanzia soko la kariakoo jijini Dar es salaam limeendelea kuchukua sura mpya katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania. Na: Evance Mlyakado – Geita Wafanyabiashara wa Mamlaka ya mji mdogo wa Katoro mkoani Geita jana Juni 26,…

June 18, 2024, 7:25 pm

Ubakaji, ulawiti vyashamiri Manyara

Katika kukomesha vitendo vya ukatili kwa watoto mkoani Manyara jamii yatakiwa kuwapa elimu watoto wao kwakua  kufanya hivyo kutawasaidia watoto hao kupambanana na kila aina ya ukatili. Na Marino Kawishe Idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Mji Babati  imetoa…

June 15, 2024, 5:09 pm

Binti wa kazi za ndani anusurika kifo Manyara

Wakati dunia ikielekea kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika Juni 16, 2024, binti wa miaka 15 mkoani Manyara amepigwa na mwajiri wake wakishirikiana na baba mwenye nyumba maeneo mbalimbali ya mwili  ikiwemo kichwani na miguuni kwa kutumia kisu, nondo na…

15 June 2024, 3:17 pm

EWURA CCC Kagera yaeleza huduma zao kwa wanafunzi

Kumekuwa na pengo kubwa la elimu kuhusu majukumu ya baadhi ya taasisi na wanufaika wa huduma za taasisi hizo ambapo Baraza la ushauri la watumiaji wa huduma za nishati na maji EWURA CCC mkoa wa Kagera limebuni mkakati wa kusambaza…

12 June 2024, 9:45 am

Manispaa ya Iringa kuendesha kliniki ya kutatua migogoro ya ardhi

Mara nyingi migogoro midogo midogo ya ardhi isiposhughulikiwa kikamilifu na dalili zake kupuuzwa hugeuka kuwa migogoro mikubwa jambo lililopelekea Halmashauri ya manispaa ya Iringa kuanzisha kliniki ya ardhi kwa wakazi wake. Na Adelphina Kutika Wananchi wa kata ya Nduli Halmshauri…

27 May 2024, 20:20

MNEC Mwaselela apeleka kicheko kwa vijana Mbeya

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama Cha mapinduzi CCM Taifa Mnec, Ndele Mwaselela amesema kuwa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan anajivunia vijana kuwa ndio nguvu kazi ya Taifa. Na Lukia Chasanika Mnec Mwaselela ameyasema hayo akiwa mgeni rasmi katika mahafari ya…

22 May 2024, 7:08 pm

65% ya wanafunzi Bunda hufeli mtihani kidato cha nne

Wazazi kutofatilia maendeleo ya watoto shuleni , utoro na ukosefu wa chakula shuleni chanzo cha wanafunzi wengi kufeli mtihani wilayani Bunda. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda chini ya mkuu wa wilaya dkt Vicent Naano imewasilisha utekelezaji wa ilani ya …