Joy FM
Joy FM
8 July 2025, 16:18
Timu ya Aigles Noirs CS kutoka Mkoa wa Makamba imeelekea Afrika Kusinini kwa ajili ya kambi ya kujianda na msimu wa mpya wa mwaka 2025/ 2026 Na Bukuru Daniel Timu ya Aigles Noirs CS kutoka mkoa wa Makamba imeondoka Jumanne,…
8 July 2025, 13:10
Watumishi wa umma Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa weledi ili kuhakikisha wanafikisha huduma bora kwa wananchi. Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simoni Sirro amewataka watumishi Wilayani Kasulu kufanya kazi Kwa weledi ili kufanikisha…
4 July 2025, 16:05
Kubadili taka kuwa fursa ni mchakato wa ubunifu unaohusisha matumizi ya maarifa, teknolojia na ujasiriamali ili kutumia taka kama rasilimali yenye thamani badala ya kuona taka kama uchafu. Na Josephine Kiravu Zaidi ya wafanyabiashara 250 na wadau mbalimbali wa mazingira…
29 June 2025, 12:29 am
Lengo la mafunzo hayo ni kuwawezesha wanawake kuelewa Mkataba wa Afrika wa Haki za Watu Wenye Ulemavu (African Disability Protocol – ADP) na kujifunza mbinu mbalimbali za kuutetea. Na Mary Julius Wanawake wenye ulemavu wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kutoa maoni…
25 June 2025, 12:52 pm
Jamii nchini imetakiwa kutumia nishati mbadala kwa ajili ya kutunza mazingira na kulinda afya za watumiaji. Hayo yameelezwa na kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Ismail Ali Ussi, wakati akitoa salamu za mwenge katika shehia ya Mkanyageni sambamba na kukabidhi…
24 June 2025, 11:30
Na Samwel Mpogole Wazazi na walezi wametakiwa kuwa karibu na watoto wao hasa katika kipindi hiki ambacho shule zimefungwa, ili kuwalinda dhidi ya vitendo vya ukatili vinavyoweza kuwakumba wakiwa majumbani au mitaani. Wito huo umetolewa na Afisa kutoka Ofisi ya…
21 June 2025, 22:19
Pichani ni Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba akiwa katika kikao cha kuvunjwa kwa baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Mufindi lililofanyika jana Juni 20, 2025. Picha na Mwanaidi Ngatala. kuvunjwa kwa Mabaraza ya madiwani nchini ni…
19 June 2025, 18:53 pm
“Mabadiliko makubwa yameanza kujitokeza ambapo wanawake wameanza kushika nafasi muhimu za uongozi katika nyanja mbalimbali kama siasa, uchumi na hata uongozi katika taasisi za dini.” Na Mwanahamisi Chikambu Katika historia ya jamii nyingi duniani, mwanamke ameonekana kuwa nyuma katika masuala…
19 June 2025, 12:18
Wazazi waonywa kuacha tabia ya kuwaachia watoto wao mikononi mwa wafanyakazi wa ndani bila uangalizi, hali inayochochea ukatili dhidi ya watoto Na Samwel Mpogole Jamii imetakiwa kuacha vitendo vya ukatili dhidi ya watoto ili kuwawezesha kutimiza ndoto na malengo yao…
June 18, 2025, 5:25 pm
“Mipango ya ujenzi na miradi inayoendelea hii Makonda hakujanayo ni miradi ilikuwepo ili soko lilipaswa kujengwa na pesa ilitolewa toka 2021 shilingi millioni 500 pesa zimekaa kwenye akaunti”. Na Mariam Mallya Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda ameongoza mamia…