Joy FM

maendeleo

14 June 2025, 4:29 pm

RC Mtambi atoa maagizo Bunda DC

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Evans Alfred Mtambi na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Bunda Charles Manumbu,Piacha na Thomas Masalu Ameitaka Halmashauri hiyo kuongeza vyanzo vya ndani vya mapato na kufanya upembuzi yakinifu katika shughuli za uchimbaji madini…

14 June 2025, 10:08

Wanaouza vyandarua nje ya nchi kuchukuliwa hatua

Serikali imesisitiza wananchi kutumia vyandarua kwa matumizi yaliyokusudiwa ili waweze kujikinga na ugonjwa wa Malaria Na Hagai Ruyagila Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama wilayani humo kuhakikisha vinafuatilia na kubaini wananchi wanaouza…

13 June 2025, 17:03

Serikali kuboresha sera na sheria kwa wenye ualbino

Serikali kuendelea kuboresha sera na sheria kuhusu watu wenye ualbino nchini. Na Kadislaus Ezekiel Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, amesema Serikali itaendelea kuchukua hatua mahususi kuboresha mifumo ya Kisera na sheria katika kuboresha huduma…

13 June 2025, 4:07 am

Bunda TC yapewa kongole hati safi ripoti ya CAG

Mhe. Mtambi ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kupata hati safi na kuwa na hoja chache za ukaguzi ukilinganisha na Halmashauri nyingine za Mkoa wa Mara ambazo zinahoja nyingi. Na Thomas Masalu Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Evans Alfred Mtambi leo…

11 June 2025, 2:05 pm

Ni kilio moto wateketekeza maduka 17 Chato

Wafanyabiashara waangua kilio wakidai kupoteza mamilioni ya pesa baada ya maduka yao kuteketea kwa moto usiku. Na Mrisho Sadick: Moto ambao chanzo chake bado hakijajulikana umeteketeza maduka 17 pamoja na stoo zake usiku wa june 10,2025 katika Kata ya Buseresere…

8 June 2025, 7:12 pm

Auawa na tembo akilinda shamba la nyanya Bunda

Alikuwa analinda mazao yake yasiliwe na tembo na ndiyo kawaida yetu maana bila kulinda huwezi kuvuna chochote. Na Adelinus Banenwa Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Kinyunyi Nyakile mkazi wa mtaa wa Ichamu kata ya Kunzugu Halmashauri ya mji wa…

6 June 2025, 7:32 pm

Wafugaji kufanya kongamano kubwa June, 15 na 16

Watu zaidi ya laki moja wakitalajiwa kuudhulia katika kongamano hilo Na Thomas Masalu Chama cha Wafugaji Tanzania kimetangaza kufanyika kwa kongamano maalum la siku mbili litakalofanyika tarehe 15 na 16 Juni mwaka huu, katika viwanja vya nane nane , Nyakabindi…