kuku
26 September 2024, 4:01 pm
Kipindi cha Lishe Bora wiki hii
Kipindi cha Lishe Bora Afya Bora kwa mara ya kwanza kimeruka siku ya Jumanne tarehe 24.09.2024 saa 1 na dakika 30 kupitia Orkonerei FM Radio 94.3. Na Baraka Ole Maika. Kipindi hiki kwa mfumo wa maigizo kimewezeshwa na Shirika la…
22 September 2024, 6:11 pm
‘Amani Kwanza’ Kagera wahofia video za kashfa dhidi ya Rais Samia
Wananchi na makundi mbalimbali ya kutetea haki za binadamu mkoani Kagera wameitaka serikali kuchukua hatua thabiti dhidi ya viashiria vyote vyenye nia ya uvunjifu wa amani vilivyoanza kujitokeza kwa kasi hapa nchini. Theophilida Felician Katika kusherehekea siku ya amani duniani…
19 September 2024, 8:52 pm
FRI-SUCODE yaitaka jamii kuchukua hatua dhidi ya fistula
dalili kwa mama mwenye fistula ya uzazi ambapo ni pamoja na kutokwa na aja ndogo au kubwa kwa mfululizo bila kuwa na uwezo wa kujizuia, kutokwa na harufu mbaya ya mkojo au kinyesi miongoni mwa dalili zingine. Na Adelinus Banenwa…
18 September 2024, 12:03 pm
Katavi walaumu wanaoficha vitendo vya ukatili wa kijinsia
“Vitendo vya ukatili wa kijinsia havifai na vinapaswa kukemewa kwani vinazidi kukithiri na kuleta athari kubwa haswa kwa watoto na wanawake.“ Na Lazaro Maduhu-Katavi Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali iweke juhudi ya ufutiliaji wa masuala…
10 September 2024, 5:50 pm
Mwanafunzi adakwa na polisi jamii akiiba simu chuoni Sengerema
Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Sengerema (FDC) ni miongoni mwa vyuo vikongwe nchini vya maendeleo ya wananchi na kimekuwa kikipokea wanafunzi kutoka maeneo mbalimbali nchini. Na:Emmanuel Twimanye Mwanafunzi wa chuo cha Maendeleo ya Wananachi Sengerema (FDC) kilichopo wilayani Sengerema mkoani…
5 September 2024, 12:08 am
TMO Bunda: “Lazima tutoe lugha nzuri kwa wateja wetu”
Kaimu mganga mkuu halmashauri ya mji wa Bunda (TMO), Dr Yusuph Steven Wambura amewasisitiza watumishi idara ya afya kuhakikisha wanatoa lugha nzuri kwa wateja wanapofika kupata huduma Amesema amekwisha ongea na watumishi na kuwaelekeza kuwa ” sasa hivi sio zamani…
1 September 2024, 6:11 pm
Takukuru Simiyu ilivyorejesha Furaha ya Wananchi Wilayani Itilima
Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru Mkoa wa Simiyu imefanikiwa kurejesha furaha ya Wananchi wa Wilaya Itilima baada ya kufuatilia Mradi wa Maji katika kijiji cha Ng’wang’wita uliotoa Huduma ya Maji kwa Mwezi mmoja tu …
14 August 2024, 9:20 am
CHADEMA Kagera: Kamatakamata ya polisi ni kufunika moto kwa nyasi
Viongozi wa vyma vya upinzani nchini na mashirika ya kutetea haki za binadamu wameendelea kulaani tukio la jeshi la polisi mkoani Mbeya na Tanzania kwa ujumla kuzuia kongamano la baraza la vijana wa CHADEMA BAVICHA wakidai kuwa kitendo hicho ni…
2 August 2024, 7:32 pm
Wanaume wapigwa marufuku kunyonya maziwa ya wake zao
Ni marufuku wanaume kunyonya maziwa ya wake zao badala yake akina mama watumie maziwa hayo kuwanyonyesha watoto wao. Na Adelinus Banenwa Zaidi ya akina mama sabini chini ya mpango wa Compassion wameadhimisha siku ya Unyonyeshaji Mjini Bunda. Wanawake hao kutoka…
30 July 2024, 18:40
Viongozi watakiwa kuhimiza michezo kuchochea ajira kwa vijana
Michezo ni afya na ndiyo sababu wataalam wa afya wamekuwa wakihimizwa ufanyaji wa mazoezi kwani husaidia kujiepusha na magonjwa yasiyoambukizwa. Na Hobokela Lwinga, Mbeya Viongozi mbalimbali wametakiwa kulipa kipaumbele suala la michezo kwenye maeneo yao hali itakayoimarisha ushirikiano katika kuchochea…