Joy FM

elimu

7 July 2025, 7:42 pm

Wanawake Pemba watakiwa kugombea nafasi za uongozi

Chama cha wananchi CUF ni miongoni mwa chama cha siasa ambacho kitashiriki uchaguzi mkuu Taifa ambao unatarajiwa kufanyika October 2025 ambapo viongozi wa chama hicho wamewataka wanachama wao pamoja na wananchi kwa ujumla kuhakikisha wanashiriki kikamilifu kwenye uchaguzi huo kwa…

7 July 2025, 12:19

Viongozi wa dini watakiwa kutokuwa na chuki

Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Wesern Tanganyika amewataka wachungaji kuwatumikia kwa upendo. Na Hagai Ruyagila Wachungaji na viongozi wa Kanisa la Anglikana, Dayosisi ya Western Tanganyika (DWT), wametakiwa kuachana na roho ya chuki na migawanyiko miongoni mwao, badala…

4 July 2025, 10:52 pm

DC Kilosa ahamasisha uwekezaji wa sekta binafsi

Wananchi na wawekezaji wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo wilayani Kilosa, ikiwemo kilimo, utalii na viwanda, ili kuchochea uchumi na maendeleo ya Taifa. Na Beatrice Majaliwa Wananchi ndani na nje ya Wilaya ya Kilosa wametakiwa kutumia kikamilifu fursa zilizopo…

3 July 2025, 16:06

Walimu watakiwa kufanya tathmini ya mitihani

Ili kupandisha ufaulu kwa wanafunzi, Walimu na Maafisa elimu wameshauri kuffuatilia nakufanya tathimini kwa wanafunzi waliofanya vibaya mitihani yao. Na Emmanuel Kamangu Maafisa elimu kata na walimu wakuu wa shule za msingi Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wametakiwa kufanya tathmini…

2 July 2025, 16:01

BoT yataka wakulimu kutohifadhi fedha ndani

Benki Kuu ya Tanzania imeendelea kutoa elimu na kuhamasisha wananchi kuzingatia matumizi na utunzaji bora wa fedha. Na Mwandishi wetu Uvinza Wakulima Mkoani Kigoma wametakiwa kuachana na utamaduni wa kuhifadhi fedha ndani na badala yake kutumia huduma za kibenki ili…

30 June 2025, 14:37

Jamii yatakiwa kufanya usafi mara kwa mara Kasulu

Jamii imeshauriwa kuzingatia suala la utunzaji wa mazingira ili kuhakikisha maeneo yao yanakuwa safi na kudhibiti magonjwa ya mlipuko. Na Hagai Ruyagila Halmashauri ya Mji wa Kasulu imezindua rasmi programu ya usafi wa mazingira kwa lengo la kuhamasisha jamii kuwa…

26 June 2025, 16:12

Jamii imeaswa kutowaficha watoto wenye ulemavu

Ulemavu ni hali ya kuwa na hitilafu ya kudumu mwilini au akilini, inayomzuia mtu kutekeleza shughuli fulani katika maisha yake tofauti na watu wengine lakini watu wenye ulemavu wakiwekewa mazingira rafiki kulingana na hitilafu zao wanaweza kutimiza majukumu yao kama…