Jamii FM

kilimo

17 September 2023, 17:20 pm

Ushirika kuuza korosho kidijitali msimu huu

Na Gregory Millanzi Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) wanatarajia kuuza korosho kwa mfumo wa kidijitali kwa msimu wa mazao wa 2023/2024 mfumo ambao utatumia kompyuta kwenye kila chama cha ushirika cha msingi (AMCOS) na kutumia mizani ya kidijitali ili…

Wanawake wanabangua korosho

31 January 2023, 12:07 pm

Wanawake washauriwa kukuza kipato cha familia

“Wanawake wa Mkoani Mtwara wameshauriwa kupambana katika kutafuta  na kuongeza kipato cha familia  na kuachana na tabia ya kuwaacha wanaume pekee katika kutekeleza majukumu ya Nyumbani.“ Na Mohamed Massanga Akizungumza na Jamii fm Radio Mwenyekiti wa kikundi cha ‘’LIYAKAYA  WOMENI GROUP’’…