Jamii FM

Kilimo

7 October 2024, 12:55

DC Kigoma aagiza watumishi 4 kusimamishwa kazi

Watumishi katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji wametakiwa kufanya kazi kwa weledi pasipo kuingiza hasara kwa serikali ili kurahisisha upatikanaji wa huduma muhimu kwa wananchi na maendeleo ya taifa kwa ujumla. Na Joesphine Kiravu Mkuu wa Wilaya ya Kigoma…

6 October 2024, 5:05 pm

Moto wazuka na kuteketeza vitu vya ndani mjini Sengerema

Matukio ya moto kuzuka gafla kwenye nyumba za watu wilayani Sengerema imekuwa ikijitokeza mara kwa mara ambapo jeshi la zimamoto na uokoaji limeendelea kutoa tahadhali kwa wananchi wilayani hapo. Na;Emmanuel Twimanye Moto  umezuka  ghafla  na kuteketeza vitu mbambali ikiwemo  magunia…

19 September 2024, 2:57 pm

Ajichoma kisu cha tumbo kwa madai ya kusambazwa mitandaoni

” Kabla ya kumkuta amejichoma kisu asubuhi jana alimeza dawa zangu vidonge saba na akaandika kikaratasi kama wosia akiaga watu yeye anadai eti amesambazwa kwenye mtandao wa tiktok kwamba ni shoga” Na Adelinus Banenwa Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la…

14 September 2024, 7:07 pm

Ikolojia ya Simanjiro Lolkisale waaga watumishi wawili

Baadhi ya watumishi wa TAWA Ikolojia ya Simanjiro Lolkisale,viongozi wa serikali na wananchi katika picha ya pamoja kwenye hafla ya kuwaaga watumishi waliomaliza muda wao wa kutumikia Ofisi hiyo. (picha na Fransisca Fabiana) Na Joyce Elius na Grace Nyaki Mamlaka…

29 August 2024, 12:27 pm

Jinsi bodaboda walivyobadili mtazamo wa jamii wilayani Pangani

Shirika la Uzima Kwa Sanaa (UZIKWASA) limekuwa likiwezesha kundi hilo la bodaboda wilayani Pangani hivyo kuwezesha kubadili tabia za vijana hao ambao awali baadhi yao walikuwa wakihusishwa na vitendo vya ukatili kwa wasichana. Na Majabu Ally Bodaboda wilayani Pangani mkoani…

22 July 2024, 6:00 pm

Wazazi Pangani waaswa kusimamia maadili kwa watoto

Mmonyoko wa maadili kwa watoto imekuwa ni ajenda inayozungumzwa kila uchao kutokana na uwepo wa matukio mbalimbali yanayosababaishwa na mmomonyoko wa maadili katika jamii. Na Hamisi Makungu Mbunge wa Jimbo la Pangani Mhe. Jumaa Hamidu Aweso amewataka akina mama kulipa…