Kilimo
9 October 2024, 3:42 pm
MTAKUWWA Madanga kuendelea kuielimisha jamii madhara ya ukatili wa kijinsia
“Nitaendelea kufuatilia matukio ya ukatili na kuhakikisha wahusika wanachukuliwa hatua hatua” Diwani kata ya Madanga Mheshimwa Jumaa Haji Juma“ Na Kokutona Banyikila Wajumbe wa Kamati ya MTAKUWWA kata ya Madanga Wilayani Pangani Mkoani Tanga wameahidi kuendelea kuielimisha jamii juu ya…
7 October 2024, 12:55
DC Kigoma aagiza watumishi 4 kusimamishwa kazi
Watumishi katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji wametakiwa kufanya kazi kwa weledi pasipo kuingiza hasara kwa serikali ili kurahisisha upatikanaji wa huduma muhimu kwa wananchi na maendeleo ya taifa kwa ujumla. Na Joesphine Kiravu Mkuu wa Wilaya ya Kigoma…
6 October 2024, 5:05 pm
Moto wazuka na kuteketeza vitu vya ndani mjini Sengerema
Matukio ya moto kuzuka gafla kwenye nyumba za watu wilayani Sengerema imekuwa ikijitokeza mara kwa mara ambapo jeshi la zimamoto na uokoaji limeendelea kutoa tahadhali kwa wananchi wilayani hapo. Na;Emmanuel Twimanye Moto umezuka ghafla na kuteketeza vitu mbambali ikiwemo magunia…
19 September 2024, 2:57 pm
Ajichoma kisu cha tumbo kwa madai ya kusambazwa mitandaoni
” Kabla ya kumkuta amejichoma kisu asubuhi jana alimeza dawa zangu vidonge saba na akaandika kikaratasi kama wosia akiaga watu yeye anadai eti amesambazwa kwenye mtandao wa tiktok kwamba ni shoga” Na Adelinus Banenwa Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la…
14 September 2024, 7:07 pm
Ikolojia ya Simanjiro Lolkisale waaga watumishi wawili
Baadhi ya watumishi wa TAWA Ikolojia ya Simanjiro Lolkisale,viongozi wa serikali na wananchi katika picha ya pamoja kwenye hafla ya kuwaaga watumishi waliomaliza muda wao wa kutumikia Ofisi hiyo. (picha na Fransisca Fabiana) Na Joyce Elius na Grace Nyaki Mamlaka…
September 13, 2024, 3:54 pm
Maafisa wa majeshi wafanya usafi, kutoa msaada hospitali ya Kahama
Jeshi la polisi, Jeshi la Magereza na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kwa pamoja wamefanya usafi wa mazingira na kutoa misaada mbalimbali kwa watoto njiti katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama. Na Paschal Malulu-Huheso FM…
29 August 2024, 12:27 pm
Jinsi bodaboda walivyobadili mtazamo wa jamii wilayani Pangani
Shirika la Uzima Kwa Sanaa (UZIKWASA) limekuwa likiwezesha kundi hilo la bodaboda wilayani Pangani hivyo kuwezesha kubadili tabia za vijana hao ambao awali baadhi yao walikuwa wakihusishwa na vitendo vya ukatili kwa wasichana. Na Majabu Ally Bodaboda wilayani Pangani mkoani…
1 August 2024, 2:42 pm
Chem chem Association yakabidhi maboma 15 kwa wafugaji Manyara.
Kutokana na uwelewa mdogo wa wafugaji namna ya kulinda mifugo yao ili isivamiwe na wanyama wakali serikali itaendelea kutoa elimu kwa kushirikiana na wadau ili kujenga maboma hai mengine na kulinda wanyama wanaofugwa na binadamu . Na Marino Kawishe Taasisi…
22 July 2024, 6:00 pm
Wazazi Pangani waaswa kusimamia maadili kwa watoto
Mmonyoko wa maadili kwa watoto imekuwa ni ajenda inayozungumzwa kila uchao kutokana na uwepo wa matukio mbalimbali yanayosababaishwa na mmomonyoko wa maadili katika jamii. Na Hamisi Makungu Mbunge wa Jimbo la Pangani Mhe. Jumaa Hamidu Aweso amewataka akina mama kulipa…
6 July 2024, 9:56 am
Tamasha la utalii, utamaduni Kanda ya Ziwa lazinduliwa Simiyu
Kila kabila wana utamaduni wao, wasukuma wana utamaduni wao pia, ni vema kila kabila likaenzi utamaduni wake unasaidia katika Kulinda maadili na kukuza uchumi wa Taifa kupitia Utalii “Dunstan Kitandula ” Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Tamasha la Utali na …