Jamii FM
Jamii FM
5 December 2025, 5:45 pm
Na Hamisi Makungu. Kipindi cha Sauti ya Mwanamke kimeangazia Mabadiliko ya tabianchi yanavyopelekea ukatili wa kijinsia, hasa kwa wanawake waliopo kwenye mnyororo wa uchumi wa buluu. Katika Mjadala kupitia kipindi hiki, wanawake wachuuzi wa Samaki wamepaza sauti zao juu ya…
3 December 2025, 11:47 am
“Kitengo cha dawati la jinsia jeshi la polisi Pangani tuliandaa program ya kuwapa elimu jamii, tulifika katika maskani mbalimbali na nyumba za ibada hivyo imesaidia jamii kuripoti matukio ya ukatili mapema.“Majid Ismail Ally afisa wa polisi kitengo cha dawati la…
October 14, 2025, 2:54 pm
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mheshimiwa Amos Makalla, amewataka vijana nchini kuendelea kudumisha amani na utulivu kabla na baada ya uchaguzi, na kuacha kuendeshwa na mihemko ya mitandao ya kijamii inayohamasisha maandamano. Na Jenipha Lazaro Akizungumza na wazee wa Mkoa…
2 October 2025, 6:09 pm
Imekuwa desturi kwa wazee kote nchini kulalamikia uduni wa huduma za afya kila inapofika Oktoba mosi na kuiomba serikali kuwapa unafuu wa maisha kwa kuwapatia penseheni na matibabu bila malipo. Na Respicius John, Missenyi, Kagera Wazee wilayani Missenyi mkoani Kagera…
September 27, 2025, 4:59 pm
Wenyeviti wa vijiji wilayani Kyerwa mkoani Kagera wameonywa juu ya kujichukulia maamuzi ya kuuza ardhi ya kijiji bila kuwashiriki wananchi kupitia mikutano mikuu ya vijiji. Na Anold Deogratias Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera Zaituni Msofe, amewataka wenyeviti wa…
11 September 2025, 7:56 pm
Ushahidi uliotolewa na Jamhuri ulithibitisha bila kuacha shaka. Na Kuruthumu Mkata Mahakama kuu iliyoketi Ifakara Kilombero imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Elopi Kibolile Mwasuku (33) mkazi wa Kata ya Mchombe Halmashauri ya Mlimba baada ya kupatikana na hatia ya…
1 September 2025, 4:18 pm
Wawekezaji mkoani Manyara wanaohitaji kufuga wanyamapori na kuwapa fursa wananchi kuona wanyama katika maeneo yao, wametakiwa kuwasiliana na uongozi wa pori la akiba Mkungunero ili kupewa utaratibu wa kufuga wanyama hao. Na Mzidalfa Zaid Hayo yameelezewa leo na afisa Utalii…
August 22, 2025, 12:42 pm
Baadhi ya wakazi wa Songwe wameeleza uelewa wao kuhusu ilani za vyama vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu, huku wanasiasa waandamizi wakifafanua maana halisi ya ilani. Na Mkaisa Mrisho Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Songwe wamezungumzia uelewa wao kuhusu kitu…
19 July 2025, 9:35 am
Uzembe wa Madereva na kutofuata alama za usalama barabarani imetajwa kuwa sababu za ajali barabarani. Na Hafidh Ally Watu watatu wamefariki Dunia na wengine sita kujeruhiwa kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyotokea katika Kijiji cha Imalutwa, Kata ya Lugalo, wilayani…
17 July 2025, 9:41 pm
Awali imeelezwa mahakamani kuwa mtuhumiwa alitenda makosa hayo kwa nyakati tofauti kuanzia tarehe 16 Julai 2024 ambapo alifanya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia kwa wanafunzi watano wa kike na mmoja wa kiume, wote wenye umri kati ya miaka 14 na…