Podcasts
November 9, 2022, 10:12 am
Wananchi Nyandekwa waunga juhudi za maendeleo
Wananchi wa vitongoji vya kigungumli na baseka vilivyopo nyandekwa manispaa ya kahama mkoani shinyanga wameungana kwa ajili ya kuunga juhudi za serikali ya awamu ya sita katika maendeleo kwa kuitisha harambee yenye lengo la ujenzi wa shule ya msingi. Hatua…
25 October 2022, 12:18 pm
Wagawa Mizinga 40 ya Nyuki Pangani
Taasisi ya Foundation for Trees Tanzania iliyopo Jijini Tanga imetoa Mizinga 40 ya Nyuki kwa Kikundi cha Ufugaji Nyuki cha MSETO kilichopo Wilayani Pangani ili kuwezesha wananchi hao kufanya shughuli za ufugaji na kuachana na uharibifu wa Mazingira. Akizungumza wakati…
19 October 2022, 2:50 pm
Mpango wa Ofisi ya Umwagiliaji Pangani.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekusudia kuanzisha Ofisi ya umwagiliaji wilayani Pangani ili kusaidia sekta ya kilimo wilayani humo ambayo imeonekana kuathiriwa na mabadiliko ya tabia nchi huku wahanga wakubwa wakitajwa kuwa ni wakulima wadogo Katika mahojiano…
19 October 2022, 1:51 pm
Benzema ashinda Ballon d’Or kwa Sauti ya Pangani FM.
Ulimwengu wa Soka hujumuika mara moja kwa kila mwaka tangu mwaka 1956 ili kumtangaza mwanasoka bora wa mwaka husika. Oktoba 15 mwaka huu jijini Paris pale katika Théâtre du Châtelet Mshambuliaji wa Klabu ya Real Madrid na Timu ya…
12 October 2022, 4:08 pm
Siku ya kimataifa ya mtoto wa kike wazazi wameaswa kuwa karibu na watoto
RUNGWE-MBEYA NA: SABINA MARTIN Wazazi na walezi wilayani Rungwe mkoani Mbeya wametakiwa kutenga muda wa kukaa na kuzungumza na watoto wao kuhusu mambo mbali mbali ili kuwaepusha na vitendo vya ukatili vinavyoendelea katika jamii. Rai hiyo imetolewa na baaadhi ya…
12 October 2022, 3:56 pm
wakulima wilayani Rungwe wametakiwa kutumia mbolea kwa usahihi
RUNGWE-MBEYA NA:SABINA MARTIN Kuelekea madhimisho ya siku ya mbolea duniani ambayo hufanyika kila mwaka ifikapo octoba 13 wakulima wilayani hapa wametakiwa kutumia mbolea kwa usahihi ili kupata mazao mengi. Akizungumza kwa njia ya simu na Chai FM afisa kilimo wilayani…
6 October 2022, 1:34 pm
Vikundi ni Njia ya Maendeleo kwa Jamii
NA: Mary Julius na Thuwaiba Mohd : Mwakilishi wa jimbo la Paje Soud Nahodha Hassan wamewataka wakinamama kujiunga kwenye vikundi vya ujasiriamali ili kuweza kusaidiawa katika kujiletea maendeleo na kujikwamua kiuchumi. Akizungumaza mara baada ya kuzindua na kukabidhi kisima cha…
5 September 2022, 9:21 pm
Mwanafunzi bora wa kijiji aomba msaada kuendelea na masomo Pangani
Mwanafunzi Aisha Ramadhani (20) mkazi wa Kijiji cha Stahabu wilayani Pangani mkoani Tanga ameomba wadau mbalimbali kumsaidiwa kwa hali na mali ili ili aweze kumudu kujiunga na masomo ya chuo baada ya kufanikiwa kuhitimu na kufaulu masomo ya Sekondari. …
19 August 2022, 10:22 am
Stamina ndani ya Banja Beat ya Pangani FM
Niaje, Karibu kusikiliza Podcast ya Pangani FM Leo hii tumekuletea mkali wa vina na ‘wordplay’ stamina ambaye amepia stori na Mtangazaji wetu Stephano Simanagwa katika kipindi cha Banja Beat kinachokwenda hewani Jumatatu mpaka Ijumaa saa 8 kamili mchana mpaka saa…
17 August 2022, 4:04 pm
Watu Nane wa Familia Moja wahisiwa kula chakula chenye Sumu Pangani.
Hali ya afya ya watu wa familia moja waliopata madhara baada ya kula chakula kinachohisiwa kuwa kimechanganyika na sumu wilayani Pangani Mkoani Tanga inaendelea vizuri na tayari saba kati yao wameruhusiwa kutoka hospitalini huku mmoja akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.…