Podcasts
23 March 2023, 6:41 pm
Usichojua kuhusu Mtaa maarufu wa Mathius Dodoma
Mtaa wa Mathius ni moja ya mtaa wenye miaka mingi jijini Dodoma, Jina la mtaa wa Mathius limetokana na mzee mathius mwenye asili ya kabila la kigogo fahamu historia yake ikiwa ni mtaa maarufu sana jijini humo. Na Martha Mgaya.…
10 March 2023, 5:07 pm
Hizi hapa aina nne za zabibu zinazozalishwa jijini Dodoma
Leo tutaangalia historia ya aina na maumbo mbalimbali ya tunda la zabibu linalozalishwa ndani ya jiji la Dodoma. Na Yusuph Hassani. Darwesh Said ambaye ni mwakilishi wa kikundi cha kutunza mazingira chapakazi anasimulia historia mzima ya kuhusiana na aina ya…
27 February 2023, 3:11 pm
Hii hapa historia ya zabibu kuingia nchini
Leo tutaangalia ni jinsi gani tunda la zabibu lilivyoweza kuingia nchini pamoja na historia nzima ya kuhusiana na zabibu. Na Yusuph Hassani. Darwesh Said ambaye ni mwakilishi wa kikundi cha kutunza mazingira chapakazi anasimulia historia mzima ya kuhusiana na tunda…
22 February 2023, 1:00 pm
Zifahamu siri za fimbo za kitemi
Simulizi hii inatufafanulia masuala ya fimbo zilizokuwa zikimilikiwa na watemi wa kabila la wagogo na majaabu ya fimbo hizo. Na Yusuph Hassan. Chifu Lazaro Masuma Chihoma kutoka katika kata ya Iyumbu himaya ya Bwibwi jijini Dodoma amesimulia simulizi hiyo ya…
19 February 2023, 4:13 pm
Andaeni mikakati ya usafi ili itekelezwe
Na Rifati Jumanne Katika kuhakikisha Halmashauri ya Mji wa Ifakara inarejea katika usafi wa mazingira,mashirika yasiyo ya kiserikali Wilayani Kilombero imewaomba Halmashauri ya Wilaya kuandaa mikakati maalumu ili wao waitekeleze kama ilivyo azma yao ya kusaidiana na serikali katika kila…
18 February 2023, 09:24 am
Makala: Uhamasishaji wa kutunza bahari kwa manufaa ya baadae
By Musa Mtepa Ni mkala inayohusisha tasisi ya kiraia ya jumuia ya umoja wa wavuvi wa Jodari nchini Tanzania maarufu TUNA ALLIANCE ambao walifanya utafiti wa mazingira ya Bahari ya Hindi kutoka visiwani Zanzibar hadi mikoa ya Lindi na Mtwara.…
14 February 2023, 9:41 pm
Huku PSG vs Bayern Munich huku AC Milan vs Spurs: uchambuzi toka Pangani
Na Erick Mallya Barani ulaya hii leo wapenzi wa soka watakuwa wameelekeza hisia zao pale katika dimba la parc des Princes Ufaransa katika mchezo wa hatua ya 16 bora kati ya PSG na Bayern Munich mchezo uliosubiriwa kwa hamu kubwa…
10 February 2023, 10:37 am
Suluhisho la migogoro ya Ardhi na uharibifu wa mazingira Pangani
Katika ngazi ya kijiji mamlaka inayohusika na maandalizi ya mpango wa matumizi ya ardhi ya kijiji ni halmashauri ya Kijiji ambayo inaweza kufanya utekelezaji wake kupitia kamati ya usimamizi na matumizi ya ardhi. Na Erick Mallya Serikali ya kijiji cha…
8 February 2023, 12:08 pm
Yaliyoibuka kwenye ziara ya kushtukiza ya DC kwenye soko la Pangani
Soko la Pangani liko kwenye maboresho makubwa yaliyoplekea kituo cha mabasi ya Pangani-Tanga na Pangani-Muheza kilichokuwa ndani ya Soko hilo kuhamishwa ili kupisha maboresho hayo. Kwa miaka mingi soko hilo limekuwa taswira ya mji wa Pangani na kituo maarufu kwa…
7 February 2023, 2:44 pm
Muendelezo wa Simulizi Ya Utawala wa Kitemi katika Kabila La Kigogo
Muendelezo wa Simulizi hii inatuonyesha maswala mazima yanayomuhusu chifu,mavazi yake utawala na vitu mbalimbali ambavyo alikuwa akitumia Chifu wa kabila la Kigogo. Na Yussuph Hassan. Chifu Lazaro Masuma Chihoma kutoka katika kata ya Iyumbu himaya ya Bwibwi jijini Dodoma asimulia…