Podcasts
10 April 2023, 1:20 pm
Yafahamu matumizi sahihi ya PrEP na PEP
Inaelezwa kuwa dawa hizi za PrEP na PEP kama zitatumika kwa usahihi zinaweza kuzuia maambukizi ya VVU. Na Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa matumizi ya sahihi ya dawa kinga za PrEP na PEP, ni moja wapo kati ya njia salama ya…
10 April 2023, 11:29 am
Fahamu matumizi ya gesi asilia nyumbani
Na Mussa Mtepa Uwepo wa mtandao wa gesi asilia kwaajili ya kupikia katika baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Mtwara kumesaidia kumtunza mazingira na muda wa kukaa jikoni kwaajili ya maandalizi ya chakula. Katika makala haya utasikia wanufaika mbalimbali wa…
8 April 2023, 13:28 pm
Makala: Fahamu namna dawa za kulevya zinavyomuathiri mtoto tumboni
Mama mjamzito akiwa anatumia madawa ya kulevya zinamuathili mama mwenyewe na kwenye mfumo wake wa uzazi na kupelekea mtoto kuathirika moja kwa moja kama ambavyo mama anaathirika kwa dawa hizo, na kupelekea mtoto kuwa na uraibu na wakati mwingine husababisha…
7 April 2023, 5:23 pm
Zifahamu athari za ugonjwa wa P.I.D
Je mtu asipopata tiba au kutozingatia tiba aliyopewa atapata athari gani. Na Yussuph Hassan. Tukiendelea na mfululuzo wa kuzungumzia juu ya Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke P.I.D, baada ya kufahamu chanzo matibabu yake na leo tunazungumzia juu athari…
6 April 2023, 4:34 pm
Ifahamu tiba ya maambukizi ya via vya uzazi vya Mwanamke P.I.D
Huu ni mfululizo wa makala hii ya Afya ambapo kipindi kilicho pita tulingazia kuhusu P.I.D ni nini Na Yussuph Hassan. Tunaendelea na mfululuzo wa kuzungumzia juu ya Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke P.I.D, baada ya kufahamu chanzo na…
5 April 2023, 12:10 pm
Makala fupi kuhusu bei za bidhaa katika kipindi cha Mwezi wa Ramadhani
Wafanyabiashara Manispaa ya Iringa wamesema kuwa bei ya bidhaa za vyakula katika kipindi kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani haijapanda ila kuna changamoto ya ukosefu wa wateja. Na Bertina Chambila
4 April 2023, 3:48 pm
Ufahamu ugonjwa wa P.I.D
Maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke yanayosababishwa na bakteria wakati mwingine huweza kupelekea ugumba. Ugonjwa wa maambukizi katika via vya uzazi P.I.D ni moja kati ya magonjwa ya zinaa yanayoweza kusababisha ugumba kwa mwanamke endapo hatapatiwa tiba kwa wakati.
28 March 2023, 16:26 pm
Kipindi: Wanawake wahamasishwa kupima saratani ya mlango wa kizazi
Na Mussa Mtepa na Mwanahamisi Chikambu Saratani ya mlango wa kizazi ni ugonjwa ukuaji usio wa kawaida wa chembechembe hai na mgawanyo wa chembechembe hai usio wa kawaida ambapo havionekani kwa macho ya kawaida. Ugonjwa huu husambazwa kwa njia ya…
27 March 2023, 3:41 pm
Simulizi ya makaburi ya wahanga katika eneo la Mathius Kata ya Miyuji Dodoma
Hii hapa simulizi nzima ya ajali ya treni hiyo na ni kwanini eneo hilo limeitwa eneo la makaburi ya wahanga. Na Martha Mgaya. Tarehe 24 juni 2002 ni tarehe isiyo sahaulika katika kumbukumbu ya wana Dodoma na watanzania wote kwasababu…
27 March 2023, 11:18 am
Kipindi: Elimu ya ugonjwa surua na rubella
Na Gregory Millanzi, Mwanahamisi Chikambu na Mussa Mtepa Utoaji wa chanjo ya surua na rubella kwa watoto umeanza kwa awamu ya dharula baada ya uwepo wa mlipiko wa magonjwa hayo ambayo yanawaadhiri watoto. Kupitia kipindi cha dira ya asubuhi tumewapata…