Podcasts

14 April 2023, 3:12 pm

Asili ya ngoma za wagogo

Ngoma zimeendelea kuwa moja ya urithi wa katika kabila hili la wagogo ka njia njia ya kuburudika katika sherehe mbalimbali. Na Yussuph Hassan. Ngoma za wagogo, ngoma hizi ni jadi ya kabila la kabila la wagogo katika shughuli mbalimbali  huchezwa…

13 April 2023, 6:33 pm

Ifahamu maana ya alama ya Ndonye kwa kabila la Wagogo

Ndonye ilitumika kwa watoto wadogo hapo zamani wa kabila hili la wagogo kama kinga ya macho lakini kwasasa wanasema hawaweki tena alama hiyo. Na Yussuph Hassan. Makabila mbalimbali Afrika na Tanzania huwa na alama mbalimbali ambazo hutambulisha kabila hilo kwa…

13 April 2023, 3:53 pm

Ifahamu dawa aina ya PEP

Hii ni njia ya kuzuia maambukizi ya VVU kwa mtu asiye na VVU ambaye anaweza kuwa ameambukizwa virusi hivi Na Yussuph Hassan. Tunaendelea na mfululizo wa kuzungumzia juu ya dawa kinga za VVU, Prep na Pep, na leo Afisa Tabibu…

11 April 2023, 5:17 pm

Yafahamu makundi yanayopaswa kupatiwa PREP

Afisa Tabibu Glory Martin kutoka zahanati ya makole leo akiendelea kuzungumzia makundi hayo. Na Yussuph Hassan. PrEP ni matumizi ya dawa za kupunguza makali ya VVU kwa watu wasio na VVU, ili kuzuia upatikanaji wa maambukizi ya VVU, dawa kinga…

11 April 2023, 1:34 pm

Jamii yatakiwa kuchukua mikopo kwa malengo

Wananchi wengi wamekuwa wakijiingiza kwenye mikopo ambayo baadae huwa changamoto kwao. Na Leonard Mwacha. Jamii imepaswa kuepuka mikopo ambayo hugeuka kuwa changamoto kwao badala yake wafuate utaratibu wa kifedha ili kuweza kukopa kwa malengo.

10 April 2023, 1:20 pm

Yafahamu matumizi sahihi ya PrEP na PEP

Inaelezwa kuwa dawa hizi za PrEP na PEP kama zitatumika kwa usahihi zinaweza kuzuia maambukizi ya VVU. Na Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa matumizi ya sahihi ya dawa kinga za PrEP na PEP, ni moja wapo kati ya njia salama ya…

10 April 2023, 11:29 am

Fahamu matumizi ya gesi asilia nyumbani

Na Mussa Mtepa Uwepo wa mtandao wa gesi asilia kwaajili ya kupikia katika baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Mtwara kumesaidia kumtunza mazingira na muda wa kukaa jikoni kwaajili ya maandalizi ya chakula. Katika makala haya utasikia wanufaika mbalimbali wa…

7 April 2023, 5:23 pm

Zifahamu athari za ugonjwa wa P.I.D

Je mtu asipopata tiba au kutozingatia tiba aliyopewa atapata athari gani. Na Yussuph Hassan. Tukiendelea na mfululuzo wa kuzungumzia juu ya Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke P.I.D, baada ya kufahamu chanzo matibabu yake na leo tunazungumzia juu athari…