Podcasts
4 July 2023, 14:23
Mafuriko yakwamisha huduma ya elimu kwa wanafunzi Kigoma
Wananchi wa Mtaa wa Mgumile, kata ya Kagera, manispaa ya Kigoma Ujiji, wameomba serikali kuangalia namna ya kuokoa majengo ya shule ya msingi Mgumile ambayo yamezingirwa na maji ya ziwa Tanganyika na kupelekea miundombinu yake kuharibika.
22 June 2023, 5:20 pm
Fahamu jinsi uchunguzi wa utapiamlo unavyofanyika
Na Yussuph Hassan. Afisa lishe juma swedi anazungumzia utambuzi wa utapiamlo unavyofanyika katika vituo vya afya.
16 June 2023, 1:28 pm
Siku ya mtoto Afrika huadhimishwa kuangalia maslahi mapana ya watoto
Siku ya mtoto wa Afrika inaadhimishwa kwa lengo la kuangalia maslahi mapana ya watoto wa Afrika na huwapasa watu wazima kujitolea kwa hali na mali ili kushughulikia changamoto zinazokabili watoto katika bara zima la Afrika pamoja na kulindwa dhidi ya…
13 June 2023, 16:54 pm
Kipindi: Hali ya mahudhurio darasa la kwanza, awali
Sikiliza kipindi cha dira ya asubuhi juu ya mada Hali ya Mahudhurio Darasa la awali na Darasa la Kwanza kwa Wilaya ya Mtwara Sikiliza hapa
9 June 2023, 1:12 pm
Msanii wa kizazi kipya kuwasaidia mabinti walioshindwa kutimiza ndoto zao
Na Lonard Mwacha. Msanii wa kizazi kipya kutoka Dodoma Suleiya Abdi ameweka wazi dhamira yake ya kuwasaidia mabinti walioshindwa kutimiza ndoto zao kutokana na mimba za utotoni ili waweze kujikwamua kiuchumi.
8 June 2023, 14:34 pm
Makala: NEMC Mtwara yateketeza taka za plastiki
Na Musa Mtepa. Siku ya mazingira duniani Juni 6, 2023 Baraza la taifa la uhifadhi wa mazingira mkoani Mtwara (NEMC) imeadhimishwa mkoani Mtwara kwa kuteketezwa kwa taka za plastiki zaidi ya kilo 600 zenye thamani ya shilingi milioni nne. Akizungumza…
June 8, 2023, 2:26 pm
Makete: Zaidi ya shilingi mil. 300 kujenga shule ya msingi Ighala-Ikuwo
Mkuu wa Wilaya akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Ikuwo na kuwaeleza dhamira ya Serikali kuboresha miundombinu ya Elimu nchini
June 8, 2023, 2:03 pm
Wito: Maafisa ugani tembeleeni wakulima shambani
Wakulima wilayani Makete Mkoani Njombe wametakiwa kuendelea kuwatumia maafisa ugani waliopo katika maeneo yao katika shughuli zao za kilimo
June 8, 2023, 10:29 am
Zimamoto: Wananchi kuwa makini uchomaji moto kipindi cha kiangazi
Hali ya uchoamaji moto Makete
June 8, 2023, 10:23 am
Wanaume washauriwa kuona wataalam tatizo nguvu za kiume
Wanaume washauriwa kwenda kwa Wataalamu tatizo la Nguvu za Kiume