Dodoma FM
Dodoma FM
22 October 2025, 3:09 pm
Zikiwa zimebaki siku chache Tanzania kufanya uchaguzi mkuu wa kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani, baadhi ya wanawake mkoani Manyara wameonekana kuwa mstari wa mbele kushiriki uchaguzi mkuu na kuwachagua viongozi wanaowataka. Na Mzidalfa Zaid, Hawa Rashid Fm Manyara imekuandalia makala…
7 October 2025, 11:22 am
Wanafunzi wa shule ya sekondari Esperanto waeeleza namna somo la Tehama litakavyowasaidia kukabiliana na mabadiliko na ukuaji wa ya teknolojia. Na Catherine Msafiri Katika dunia ya sasa inayokua kwa kasi kiteknolojia, somo la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) limekuwa…
24 May 2025, 20:52
Wataalamu wa afya watakiwa kutoa kipaumbele kwa vijana katika kuwapa elimu ya afya ili kuwasaidia kuondokana na changamoto zinazochangiwa na ukosefu wa elimu hiyo.Na Lukia ChasanikaShirika la DSW Tanzania limeendelea kutoa elimu mbalimbali kwa vijana waliopo vyuoni na nje ya…
11 April 2025, 11:32 am
Watoto 102 wa kituo cha kulea watoto yatima cha moyo wa huruma kilicho chini ya kanisa katoliki geita wamekabidhiwa bima za afya za NHIF jana April 09 2025. Na: Daniel Magwina: Akizungumza katika zoezi hilo la kukabidhi bima hizo mkuu…
17 August 2024, 3:58 pm
Dkt Philip Mpango ataanza ziara yake mkoani Dodoma tarehe 19 mwezi huu hadi tarehe 21 mwezi nane kwenye wilaya za Chamwino ,Bahi ,Mpwapwa,Kongwa ,chemba na Kondoa. Na Seleman Kodima.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Dkt. Philip Isdory…
17 July 2024, 2:38 pm
lengo la ziara hiyo ni kutekeleza Sera ya Elimu ya mwaka 2023 na kuwaongezea watoto ari ya kujifunza masomo ya amali. Na Steven Noel.Jamii imeshauriwa kuzitumia taasisi za kitafiti katika kujifunza na kujiongezea uelewa wa mambo mbalimbali yahusuyo maendeleo na…
29 February 2024, 3:48 pm
Mh. Senyamule ametembelea kituo cha afya cha Rudi ambacho kinahudumia wananchi takribani 15,440 kutoka vijiji vitano, kituo kilipokea kiasi cha shilingi Milioni 701 kwa ajili ya ujenzi wa Maabara ambayo ipo katika hatua ya umaliziaji na Shilingi Milioni 300 kwa…
8 July 2021, 11:49 am
Dawati la Habari. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan amezitaka taasisi za dini Nchini kufanya kazi kwa uwazi na kuaminiana ikiwemo kuweka wazi mahesabu ili watoza kodi waweze kujua hali halisi ya uendeshaji wa taasisi…
2 June 2021, 6:42 am
Na; Mariam Kasawa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Kwa Azizi Ali mara baada ya kufanya ziara ya kushtukiza kukagua mradi wa ujenzi wa Barabara ya Mabasi ya Mwendokasi katika barabara…