Dodoma FM
Dodoma FM
28 November 2025, 6:16 pm
Udhalilishaji, kusambazwa kwa picha au video bila ridhaa, na vitisho kupitia mitandao ya kijamii vimekuwa vikiongezeka. Katika ulimwengu wa kidigitali, wanawake wameendelea kuwa wahanga wakuu wa ukatili wa kijinsia mtandaoni. Vitendo vya matusi, udhalilishaji, kusambazwa kwa picha au video bila…
20 October 2025, 4:43 pm
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mpanda wa pili kutoka kulia akiwanadi wagombea wa jimbo hilo. Picha na Leah Kamala “Ndugu zangu wa Kasokola kwenye kilimo Rais Samia amefanya kazi kubwa” Na Leah Kamala Mgombea Ubunge wa jimbo la mpanda mjini…
6 October 2025, 5:07 pm
Kazi ya ukondakta ni kazi kama kazi nyingine, hivyo wanawake wana nafasi sawa ya kuifanya bila kubaguliwa. Picha na Blog. Amesema wanawake hao wamekuwa wakijituma kama watu wengine katika kutafuta kipato, ili kuhakikisha familia zao zinapata mahitaji ya msingi na…
25 September 2025, 1:32 pm
Hakuna shaka kuwa ili kufikia usawa wa kijinsia, wanawake wanahitaji kujiandaa kwa namna ya kipekee na kujipanga vizuri zaidi katika kupata nafasi za uongozi. Ingawa vyama vya siasa vimeanzisha mikakati ya kuwawezesha wanawake, bado kuna upungufu wa ufanisi katika utekelezaji…
30 August 2025, 2:58 pm
Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaeleza wanabunda kuwa sera za mgombea urais Dkt.Samia zinalenga kuwaletea maendeleo wananchi na kuboresha kwa kiwango kikubwa. Na Catherine Msafiri. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM na mgombea mwenza wa urais kupitia chama hicho Dkt.Emmanuel Mchimbi…
17 August 2025, 12:22 pm
Mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA)imebaini uwepo wa bidhaa ya Dettol za maji bandia zinazotengenezwa kinyume cha sheria kwa njia haramu na kubandikwa lebo kuonesha ni dettol zilizo halisi. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza na Fm Manyara, Meneja wa TMDA…
30 July 2025, 10:05 am
Shirika la Under the Same sun kwa kushirikiana na tasisi ya Village of Hop (VOH) wamefanya kumbukizi ya kuwakumbuka watu wenye ualbino waliouawa na kukatwa viungo vyao nchini, tukio hilo limefanyika mjini Sengerema kwenye mnala wa nithamini ulio na majina…
14 April 2025, 6:14 pm
Lengo la kuandaa warsha hiyo ni pamoja na kujadili fursa na chanagamoto za wanawake ili kukuza na kuendeleza ushirika. Na Lilian Leopord.Mila na desturi na majukumu ya kifamilia vimekuwa ni vikwazo kwa wanawake kugombea nafasi za uongozi katika vyama vya…
11 March 2025, 12:36 pm
Siku ya wanawake duniani ilianza kuadhimishwa mwaka 1975 baada ya Umoja wa Mataifa kutangaza siku hii kama siku ya kukumbusha dunia kuhusu haki za wanawake. Tangu wakati huo, siku hii imekuwa ikitumiwa kama fursa ya kuhamasisha harakati za usawa wa…
17 February 2025, 5:41 pm
Serikali imeendelea kuimarisha na kuboresha huduma za wizara ya fedha ikiwemo kusogeza huduma hizo karibu na wananchi zaidi. Na: Edga Rwenduru – Geita Wizara ya fedha imetoa onyo kwa watu na taasisi mbalimbali za fedha zinazotoa mikopo umiza kwa wananchi…