Dodoma FM
Dodoma FM
6 December 2025, 12:32 pm
“Sisi kama viongozi wa dini tutashirikiana na wananchi katika kudumisha amani” Na Restuta Nyondo Viongozi wa dini mkoani Katavi wametoa tamko la amani na kuhamasisha utulivu na ushirikiano kwa wananchi huku wakisema ni wajibu wa kila mtu kulinda amani na…
25 November 2025, 7:01 pm
“Sisi tunathamini mchango mnapokuwa na jambo lolote mtufikie” Na John Benjamin Wananchi wa wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wameaswa kudumisha amani na mshikamano utakaokuwa nyenzo muhimu wa kufanya shughuli za maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa masirahi taifa kwa ujumla.…
22 November 2025, 7:26 pm
Baadhi ya wazazi na walezi nchini wamekuwa tabia za kutowapeleka shule watoto wenye ulemavu jambo linalokemewa vikali na Serikali pamoja na asasi za kiraia Na;Joyce Rollingstone Wazazi na Walezi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza, wametakiwa kutowaficha watoto wenye ulemavu na badala…
18 November 2025, 6:16 pm
Viongozi wa bodaboda Katavi wakiwa kwenye picha ya pamoja na bodaboda. Picha na Samwel Mbugi “Lengo ni kuwapongeza bodaboda wa Katavi kwa kuendelea kuitunza amani” Na Samwel Mbugi Mwenyekiti wa umoja wa maafisa usafirishaji (Bodaboda) mkoa wa Katavi Isack Daniel…
11 September 2025, 8:36 pm
Maadhimisho hayo ya 14 yanatarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 12 hadi Septemba 15, 2025, katika Viwanja vya Mwenge, Wilaya ya Butiama, mkoani Mara. Na Thomas Masalu Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, amewataka wananchi wa Mkoa wa Mara na…
2 September 2025, 6:22 pm
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewataka wananchi mkoani Manyara kuzitumia shule za elimu ya watu wazima kwa kujiendeleza kielimu. Na Mzidalfa Zaid Sendiga amesema hayo baada ya kagua na kuweka jiwe la msingi katika jengo la elimu ya…
6 March 2025, 12:05 pm
BAKWATA mkoa wa Geita kupitia mradi wa TABASAMU KWA WOTE waanzisha kituo cha ushonaji na ujasiriamali ili kusaidia vijana wa kike. Na: Edga Rwenduru – Geita Kutokana na kuwepo kwa wimbi la vijana wa kike wanaomaliza elimu ya msingi na…
4 February 2025, 13:04
Ufanyaji kazi mzuri huwa unamweka mtu sehemu nzuri ya kusemwa na watu na hali hiyo huwa inafanya kupongezwa iwe kwa taasisi au mtu binafsi. Na Ezekiel Kamanga Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Mhe. Solomon Itunda ameipongeza Mahakama ya Wilaya ya…
20 May 2021, 2:31 pm
Na;MARIAM MATUNDU. Ikiwa leo ni siku ya vipimo Duniani wakala wa vipimo Mkoani Dodoma wametembelea na kufanya ukaguzi wa mizani katika maeneo ya hospitali na sehemu za kufanyia mazoezi. Akizungumza katika ukaguzi huo kaimu meneja wa wakala wa vipimo Mkoa…