Dodoma FM
Dodoma FM
25 September 2025, 3:53 am
Mgombea udiwani kata ya Bukoli (CCM) Faraji Seif amewaomba wananchi wa kata hiyo kuendeleza imani na Chama cha mapinduzi kwa kuweza kuwachagua katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Na: Ester Mabula Mgombea wa udiwani kata ya Bukoli kupitia Chama…
24 September 2025, 10:20 am
Changamoto kubwa kwa wananchi wa Nyankumbu ni usalama na mazingira bora ya kufanyia biashara, hivyo utekelezaji wa ahadi hizo utakuwa mkombozi Na Mrisho Sadick: Mgombea Udiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Nyankumbu, Manispaa ya Geita mkoani Geita,…
24 September 2025, 9:45 am
Vyama mbalimbali vya siasa nchini Tanzania vimeendelea kunadi sera na ilani za vyama vyao ikiwa ni kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025. Na: Ester Mabula Mgombea udiwani wa kata ya Butobela, jimbo la Busanda, wilaya ya Geita,…
September 21, 2025, 8:40 am
Ikiwa ni utekelezaji wa agizo la serikali la matumizi ya nishati safi Na Stephano Simbeye KIKOSI cha Jeshi la kujenga Taifa (JKT) 845KJ Itaka wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kimeanza kufundisha jinsi ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia taka za shambani.…
15 September 2025, 12:46 pm
Licha ya wananchi hao kutumia mafuta ya dizeli kukabiliana na changamoto ya umeme bado mafuta hayo hayakidhi mahitaji yao. Na; Victor chigwada.Imeelezwa kuwa matumizi ya mafuta ya Diesel Kwa wakazi wa Kijiji Cha Ngh’ambaku Wilaya ya Chamwino imekuwa ni changamoto…
10 September 2025, 12:02 pm
Mtihani wa kumaliza elimu ya Msingi unafanyika kuanzia leo Septemba 10 hadi Septemba 11, 2025 Na Noela Lucas na Stephen Gerald Ikiwa wanafunzi wa Darasa la 7 Nchini wameanza kufanya mitihani ya kuhitimu elimu ya Msingi, wananchi Manispaa ya iringa…
26 August 2025, 2:59 pm
Dkt Biteko amesema baada ya miaka michache, Mkoa wa Kagera hautakuwa na changamoto ya umeme. Na Seleman Kodima.Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, ameagiza wananchi waliopisha mradi wa Umeme Kagera walipwe fidia haraka. Agizo hilo amelitoa…
22 August 2025, 5:45 pm
Na Berema Suleiman. Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Zanzibar imesema jumla ya matukio 107 ya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia yameripotiwa kwa mwezi wa Julai 2025 ambapo waathirika walikuwa 107 huku waathirika wengi wakiwa watoto sawa na asilimia…
15 May 2025, 3:03 pm
“Huu ndiyo wakati wa kuhakikisha maeneo yetu ya malisho yanalindwa, kuhifadhi mbegu za majani, na kuhakikisha tunafuata utaratibu wa kulisha mifugo ili kipindi cha ukame kisitukute hatuna maandalizi,” Kone Medukenya Na Baraka David Ole Maiaka Jamii ya wafugaji wa kijiji…
21 March 2025, 22:08
Serikali inapotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye maeneo yetu jamii inapaswa kuwa walinzi ili kuondoa uharibifu unaoweza kujitokeza. Na mwandishi wetu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa Mh,Halima Mdee amemuomba Mkuu wa Wilaya…